Lecturer ana uwezo wa kufundisha shule ya msingi ila huyo mwalimu hawezi kufundisha wanachuo.
So hapo unaona wametofautiana maarifa.
Wametofautiana levels za elimu, sijui umewaza nini mpaka kuleta huu uzi mkuu!!
Lecturer ana uwezo wa kufundisha shule ya msingi ila huyo mwalimu hawezi kufundisha wanachuo.
So hapo unaona wametofautiana maarifa.
Wametofautiana levels za elimu, sijui umewaza nini mpaka kuleta huu uzi mkuu!!
Wewe huna majibu. Umepewa majibu huyataki ilhali hakuna hoja yoyote uliyotoa hapo juu.
We kijana una tatizo mahala, halafu ndo unataka ulipwe zaidi ya lecturer wa chuo.
Na hii akili yako iongeze kwenye tofauti kati yenu.