driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 246
jamani hivi unajua mara nyingi ninajiuliza hili swali nashindwa kuelewa ni kwanini wakati watu wanakua wanatokeana wanakua wanaishi life ambalo ni artificial.....! kwanini wasiwe wanaishi maisha ambayo ni yao kila siku..! utakuta mtu anataka kuonekana yeye kazoea kwenda kempiski kila weekend eti pametulia..! unakuja kugundua ukweli wakati watu mmekaa kwenye love kwa mda mrefu...! ndo unagundua kumbe huyu dada alikua anajisifia tu kumbe hakuna kitu...! sitaki kum offend mtu ilaaaa!!!... nilikua ninauliza hiviiii!!! kati ya mwanamke na mwanaume ni wakina nani zaidi wanaishi artificial life wakiwa wanaanza kupata wapenzi..!