Kati ya mwanasiasa na mwanataaluma yupi apewe kipaumbele kufanya maamuzi yenye kugusa maslahi ya watu na Taifa?

Kati ya mwanasiasa na mwanataaluma yupi apewe kipaumbele kufanya maamuzi yenye kugusa maslahi ya watu na Taifa?

Jerry Farms

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2022
Posts
202
Reaction score
167
Ni kaswali nimekaa tu nikatafakarii nikaona hemu niwaletee na ninyi wadau? Wanasiasa na wana taaluma someni comment za wadau mtapata kitu.
 
Sijakusikia vizuri umesema?


Apewe kipaumbele nanani?. Wakati maamuzi ya wananchi hayasikilizwi. Huku kwetu Bora liendetu, kiongozi akichaguliwa anatia Pini kujilinda ufedhuli wake.
Wao wapo kwaajili Yao sio kwaajili yetu. Stupid readership
 
Back
Top Bottom