Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Usiogope ndugu apo mpamaa, komaaMbukwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope ndugu apo mpamaa, komaaMbukwa
EeeehKama wa damu basi awe yule ambaye ni una mmudu hata vibao unaweza kumuweka.
kama mmekulia kwenye malezi mazuri yaliyojenga heshima, uchapakazi na uaminifu ni rahisi kuweza kushirikiana ila tofauti na hapo ni ngumu mno.Haya mambo hayana formula maalum. Japo nakubali kuwa ndugu wengi huwa na kawaida ya kubweteka, lakini kuna familia zenye ndugu wazuri sana sana na ni waaminifu. Kwa mfano mimi ndugu zangu wote wa kuzaliwa naweza kuwaamini wakati wowote. Tumebahatika sana kwenye kuaminiana kutokana na malezi tuliyopata.
Maisha yana formula ngumu sn,kwangu mm nikumsoma mtu zaidi either ndugu or rafiki and trust no one hasa Ktk biasharaNdugu wa damu mkuu
OkUKIHITAJI MTU BAKI NIPO HAPA MKUU,, NDUGU LAWAMA TU BORA UNICHUKUE MIMI HATUFAHAMIANI KABISA......
HakikaMaisha yana formula ngumu sn,kwangu mm nikumsoma mtu zaidi either ndugu or rafiki and trust no one hasa Ktk biashara
Kwa bidhaa ndogo ndogo km pipi,mafuta vibaba na vikoLokolo vingne nawezaje kutengeza huo mfumo?Haijalishi utaajiri ndugu au mtu baki unachotakiwa kwanza andaa system nzuri ya utendaji kazi kama vile ripoti ya mauzo, mapato na matumizi n.k ili yeyote atakayekuja kufanya biashara afuate tofauti na hapo utalalamika kuibiwa kila siku.
Hata mm ndugu zang niko nao vizuri na tunahaminiana sana changamoto ni kuwa mimi ndo wa mwisho nao washabanwa na majukum mengn na tumetawanyika kimakazi sasa hao kushilikiana nao ni ngumu laba kimawazokama mmekulia kwenye malezi mazuri yaliyojenga heshima, uchapakazi na uaminifu ni rahisi kuweza kushirikiana ila tofauti na hapo ni ngumu mno.
Shirikiana nao kwa jambo unaloona wataweza likafanilkiwa.Hata mm ndugu zang niko nao vizuri na tunahaminiana sana changamoto ni kuwa mimi ndo wa mwisho nao washabanwa na majukum mengn na tumetawanyika kimakazi sasa hao kushilikiana nao ni ngumu laba kimawazo
Asante kwa mchango wako mkuuShirikiana nao kwa jambo unaloona wataweza likafanilkiwa.