Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Ni kweli spea za nissan ni gharama ila ukifunga umefunga...hizi plug nilifunga August 2016 nimezitoa mwezi uliopita November 2018...zimepiga miaka miwili...na ninezitoa huku fundi akilalamika mbona bado zinadai[emoji3]Mkuu Bila bila
Sitofautiana sana na wewe, ni jambo lililo wazi kwamba spea za Nissan ni bei ya juu tofauti na Toyota.
Sasa kama Plug original za Nissan NGK zinauzwa elfu 35 kwa moja wakati za Toyota zinauzwa elfu 6 - 10 Kwa moja kwa nini mtu asikwambie Nissan ni gari mbaya.??
Bongo bado hatuna mafundi....kuna injini za toyota D4 nasikia mafundi wengi wanaziogopa sana.tatizo ni mafundi hapa bongo
Ni kweli kabisa mdau,Ni kweli spea za nissan ni gharama ila ukifunga umefunga...hizi plug nilifunga August 2016 nimezitoa mwezi uliopita November 2018...zimepiga miaka miwili...na ninezitoa huku fundi akilalamika mbona bado zinadai[emoji3]
Ila kwa upande wangu nikaona inatosha na zimesharudisha mpaka chenchi.[emoji23]
Nikupe uzoefu wangu, nimeshawahi kutumia Mazda huko awali had watu wananiuliza ebana tunaambiwa hizi gari vimeo sana sasa mbona wewe hata siku moja hatukusikii au kuona gari yako inasumbua.?Bongo bado hatuna mafundi....kuna injini za toyota D4 nasikia mafundi wengi wanaziogopa sana.
Huo ndiyo ukweli...unakutakuta mtu anakukatisha tamaa gari fulani siyo gari...ukimuuliza unewahi kuimiliki kwa miaka mingapi?anaaza povu.Nikupe uzoefu wangu, nimeshawahi kutumia Mazda huko awali had watu wananiuliza ebana tunaambiwa hizi gari vimeo sana sasa mbona wewe hata siku moja hatukusikii au kuona gari yako inasumbua.?
jibu langu likawa moja tuu: Watu wengi tunapenda sana kuamini maneno ya kuambiwa..
kweli kabisa kaka, had leo naziona volkswagen za engine nyuma ambazo hazitumii radiator watu wanazitumia kwa aliyeitunza lakin.Huo ndiyo ukweli...unakutakuta mtu anakukatisha tamaa gari fulani siyo gari...ukimuuliza unewahi kuimiliki kwa miaka mingapi?anaaza povu.
Sunia ya leo magari ya mjapan karibu yote yanafanana hivyo ni swala tu la kuzingatia masharti na uwe na hela ya spea husika.
Bado nasisitiza hakuna gari kimeo endapo utatii mashrti yake.
kweli kabisa kaka, had leo naziona volkswagen za engine nyuma ambazo hazitumii radiator watu wanazitumia kwa aliyeitunza lakin.
bado mtu anaonekana mjanja kwa sababu ameitunza halaf ameiremba kwaiyo ina compete na magari mapya mtaan.
Gari kama gari haina tatizo, tatizo lipo kwa mtumiaji.
Kwa ushauri wangu Toyota fielder hutajutia na kulingana na mazingira ya hudumu kwa Fielder huduma ziko njenje japo kama pochi nene na maintanaince ya Nissan Note ilivyo na inavyohitaji umakin bado ni gari zuriexactly...
ndo maana nimemshauri achukue toyota fielder..na tatizo sio nissan mbovu la mafundi hatuna
Ameomba ushauri mwaka juzi we unamshauri leo?Kwa ushauri wangu Toyota fielder hutajutia na kulingana na mazingira ya hudumu kwa Fielder huduma ziko njenje japo kama pochi nene na maintanaince ya Nissan Note ilivyo na inavyohitaji umakin bado ni gari zuri
Opa ilivyo ngumu mpaka ifikie kuwa juu ya mawe ujue mmiliki hata hela ya kulisha tumbo lake ni mtihani😁😁😁!!!Mkuu New Nytemare habari yako mdau,
Ebana kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe, hii mentality imeshajengeka sana kitaan kwamba ukitaka kununua gari nunua Toyota by defaulty, lakini zipo brand za Toyota kwa mfano Oppa had leo nyingi zipo juu ya mawe. lakin tunaambiwa kwamba spea zake bei rahisi.
wapo watu wanamilik benz A class had leo tunaziona road na maisha yanaendelea kama kawaida
Ohoooachana nazo chukua piagio