Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Mkuu tupo pamoja! Kwa range sipindui iwe ya kinduu au kike hayo ni makelele tu! Akipita Range Rover hata asiyejua gari lazima aitolee macho! Range tamu has a muungurumo wake,tatizo wabongo mnafikiri kila gari inatengenezwa kwa kuangalia njia zenu! Range si ya vjjn,hii gari kwake lami utaipenda! Kila mtengenezaji huwa anaangalia
soko lake ,sisi huku ubishi tu ,range kwa kwenda kwetu Tarime tena kijijini Nyarero sijui Nyamongo utaitesa tu. Range ni tamu kweli, naomba kiwanda kisife mpaka ninunue yangu!
Ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Mkuu tupo pamoja! Kwa range sipindui iwe ya kinduu au kike hayo ni makelele tu! Akipita Range Rover hata asiyejua gari lazima aitolee macho! Range tamu has a muungurumo wake,tatizo wabongo mnafikiri kila gari inatengenezwa kwa kuangalia njia zenu! Range si ya vjjn,hii gari kwake lami utaipenda! Kila mtengenezaji huwa anaangalia
soko lake ,sisi huku ubishi tu ,range kwa kwenda kwetu Tarime tena kijijini Nyarero sijui Nyamongo utaitesa tu. Range ni tamu kweli, naomba kiwanda kisife mpaka ninunue yangu!
Mkuu, vipi umeshanunua?
 
hahahahahah! umenifurahisha! kwaiyo unapima nguvu ya gari kwasababu ililipita ulivyokuwa unasafiri!nyinyi ndio mnasemaga basi fulani linakimbia sana kuliko lingine kwasababu 2lilipita tulipokuwa tunasafiri! unapima gari kama linakimbia kwa kucheki accelation yake kutoka 0-100km/h. SASA CHEKI ACCELATION ZA IYO DISCOVARY 4 YAKO NA LAND CRUISER
DISCOVARY 4 (2013) 3.0 TDV6 0-100Km/h ni 9.60sec WAKATI LAND CRUISER VX V8 (2013) 0-100Km/h ni 8.4sec. acha story za zamani za kitoto
Ha ha ha ha ha ha upo sahihi kabisa Mkuu!
 
Back
Top Bottom