binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Sep 16, 2020 #21 sawima said: Siku tatu bila kusinzia[emoji849] niliwahi kukesha usiku mmoja bila kusinzia nilikuwa kama zezeta! Click to expand... Najaribu kufikiria naona ntaweza, lakini kula hapana siwezi kuvumilia.
sawima said: Siku tatu bila kusinzia[emoji849] niliwahi kukesha usiku mmoja bila kusinzia nilikuwa kama zezeta! Click to expand... Najaribu kufikiria naona ntaweza, lakini kula hapana siwezi kuvumilia.
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 22,527 Reaction score 79,976 Sep 16, 2020 #22 binti kiziwi said: Sijawahi lakini kila nikijipima kwa kufikiria mie njaa siwezi vumilia aisee. Usingizi naweza sababu hata huwa sina usingizi. Click to expand... Kula kutabaki kuwa juu 🤣
binti kiziwi said: Sijawahi lakini kila nikijipima kwa kufikiria mie njaa siwezi vumilia aisee. Usingizi naweza sababu hata huwa sina usingizi. Click to expand... Kula kutabaki kuwa juu 🤣
Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 Sep 16, 2020 #23 binti kiziwi said: Sijawahi lakini kila nikijipima kwa kufikiria mie njaa siwezi vumilia aisee. Usingizi naweza sababu hata huwa sina usingizi. Click to expand... Ila siku 3 nyingi sana ujue, mafaili yanaweza kuchanganyikana na yakataka kutoka kwa pamoja aisee.
binti kiziwi said: Sijawahi lakini kila nikijipima kwa kufikiria mie njaa siwezi vumilia aisee. Usingizi naweza sababu hata huwa sina usingizi. Click to expand... Ila siku 3 nyingi sana ujue, mafaili yanaweza kuchanganyikana na yakataka kutoka kwa pamoja aisee.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Sep 18, 2020 #24 Usingizi