Rich mwana sana tena mwana ambae yuko real namuelewa sana tukikutana maeneo anavua cheo mnapiga mishe wote mnakua sawa kwa wanaoishi Stone town pale watakua wananielewa achana na muigizaji Bashite/Paul ambae anapenda sifa tu.
Wote waigizaji na wanapenda kick. Baada ya kupata vyeo vya kuteuliwa ndio wanajituma nyuma ya pazia ni mafisadi. Huyi mmoja kwenye kamati ya kanisa amepiga mpunga wa kutosha akaingia kwenye ngo ya ukimwi kote ramani za pesa tuu