Kati ya PEDRO na WILLIAN nani aanze na nani asubiri mechi ya Chelsea

RASCO BOY

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
428
Reaction score
485
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Chelsea leo tunashuka Dimbani kupambana na Newcastle ushindi ni lazima.

Nachojiuliza ni kwamba kati ya PEDRO na WILLIAN nani aanze na nani asubiri ikiwa mwenye nyumba Leo anaanzishwa si mwingine bali ni EDEN HAZZARD. !!

Mtazamo wangu.
PEDRO..ni mzuri mwepesi mjanja na anajua kufunga hasa streik anapopotea yeye uibuka na kutikisa nyavu

WILLIAN..ni mzuri anakasi na nguvu pia anauwezo wa kukaa na mpira anafosi mashambulizi n.k

Kati ya hawa wawili kila mmoja ana Ubora wake na mapungufu yake. Mimi kwa upande wangu naamini kocha SARRI atamuanzisha PEDRO na kumuweka WILLIAN bench

Je wewe mtazamo wako ni upi kati ya hawa jamaa wawili......

Sent using Jamii Forums mobile app pkease Change my Name to mkuu wa kaya
 
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Chelsea leo tunashuka Dimbani kupambana na Newcastle ushindi ni lazima.

Nachojiuliza ni kwamba kati ya PEDRO na WILLIAN nani aanze na nani asubiri ikiwa mwenye nyumba Leo anaanzishwa si mwingine bali ni EDEN HAZZARD. !!

Mtazamo wangu.
PEDRO..ni mzuri mwepesi mjanja na anajua kufunga hasa streik anapopotea yeye uibuka na kutikisa nyavu

WILLIAN..ni mzuri anakasi na nguvu pia anauwezo wa kukaa na mpira anafosi mashambulizi n.k

Kati ya hawa wawili kila mmoja ana Ubora wake na mapungufu yake. Mimi kwa upande wangu naamini kocha SARRI atamuanzisha PEDRO na kumuweka WILLIAN bench

Je wewe mtazamo wako ni upi kati ya hawa jamaa wawili......

Mambo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app pkease Change my Name to mkuu wa kaya
 
Willian bila shaka ataingia kipindi cha pili,.

Ushindi ndio habari ya leo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…