ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Wadau salam.
Mungu buana, mwache aitwe Mungu. Na akitaka kukupaisha atakupitisha njia ambazo hutoamini macho yako.
Pierre katoka huyo, na kitendo cha Makonda kumponda ndo kimemtoa ile mbaya, sasa hakamatiki kabisa. Hata mimi nimemfahamu leo kwa kuwa Makonda alimchana live, hbr zake zikaanza kutrend, ikabidi niulize tu, Pierre ni nani?
Nimepewa majibu, nikaingia YouTube, kuna mengi kumhusu tena kitambo. Hivyo makonda alichofanya, ni kumpiga chura teke atumbukie majini.
Back to topic.
Pierre na Dudubaya, wote wanatumia neno #KONKI# japo kwa style tofautitofauti. Wakati Pierre anachomeka maneno kama fire, Dudu yeye anaitaja mara tatu na kumalizia neno master.
Je, nani mwanzilishi wa neno hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu buana, mwache aitwe Mungu. Na akitaka kukupaisha atakupitisha njia ambazo hutoamini macho yako.
Pierre katoka huyo, na kitendo cha Makonda kumponda ndo kimemtoa ile mbaya, sasa hakamatiki kabisa. Hata mimi nimemfahamu leo kwa kuwa Makonda alimchana live, hbr zake zikaanza kutrend, ikabidi niulize tu, Pierre ni nani?
Nimepewa majibu, nikaingia YouTube, kuna mengi kumhusu tena kitambo. Hivyo makonda alichofanya, ni kumpiga chura teke atumbukie majini.
Back to topic.
Pierre na Dudubaya, wote wanatumia neno #KONKI# japo kwa style tofautitofauti. Wakati Pierre anachomeka maneno kama fire, Dudu yeye anaitaja mara tatu na kumalizia neno master.
Je, nani mwanzilishi wa neno hili?
Sent using Jamii Forums mobile app