Kati ya Post zangu nilizopost hii imepata wachangiaji wengi

greti thinka sasa hii sredi ni kwamba unashangilia? unataka tukupongeze?, unalalamika? unahitaji ushauri? au umeamua kujaza server la JF tu?
 
jamani ckua na maana mbaya ebu punguzen jazba kiukwel mnajua mi c mwenyej na nilishatoa post zangu hapa lakni hazikupata wachangiaj wengi kama ilivyo hii ckua na maana tofaut na mlivyoninukuu pia kuanza upya c ujinga na kuteleza c kuanguka naomba mnisamehe toka ndani ya nafc zenu wote niliowakwaza either kwa kutofahamu au kwa kufahamu ingawa ckujua kma ntawakwaza najua binadamu hatujakamilika pia kila mmoja ana uwezo wake wa kufikiri hvyo jamani mnisamehe bure.Nategemea msamaha wenu baada ya kuisoma hii Nawapenda nyote
 
Halafu na wewe bwana, hii tathimini ya kwa nini thread imechangiwa? Mmmmh mbona zingine zinachangiwa kuliko hata hio? Anyway........
Ni kweli LD lakni ckusema za w2 wengne nilsema kati ya zile nilizowah kupost ok am sorry
 
sasa ww kokudo umefurahi ilivyochangiwa sana au umechukia?
Nimefurah sana wit hakuna anaeweza kuchukia kuona wazo lake likipata wachangiaji.Cwez kuchukia wit
 

uusijali kokudo tupo pamoja
 

dah!
Pole sana kokudo wangu.
Usijali, hizi ni changamoto tu.
 
PEACE and LOVE kokudo. you are a living hero!
 
uchoyo umepunguza lakini? sasa nani amempiga madongo kokudo mpaka kokudo akawa vere down?

mi siyo mchoyo. Natoa tu hasa kama ninavyo vingi.
Kama ni kimoja sitoi.
Jamaa imetokea tu kismati kimerudi down kidogo.
Ila mambo yashanyoka.
 
mi siyo mchoyo. Natoa tu hasa kama ninavyo vingi.
Kama ni kimoja sitoi.
Jamaa imetokea tu kismati kimerudi down kidogo.
Ila mambo yashanyoka.

dah! hapo red panatisha aisee! hata kokudo akiona hiyo hatopenda. legeza masharti bana
 
Jamani cjui hata niseme nini kwa jinsi mlivyonirudisha kwenye khali ya kawaida HUSNINYO,KLOROKWINI,HASHYCOOL ECT.ukweli jana nilipa wakati mugum sana hasa baada ya kusoma comment za wa2.nashukuru kwa kunipa moyo wa kuendelea kuepo humu jamvini niliamini ckua na njia nyingine zaidi ya kuwaplease na thanks kwa kunisamehe.Pia husninyo na klorokwini nimeyapenda majibishano yenu kweli humu jamvini kuna changamoto nyingi na burudani kweli kuwemo humu.Uclegeze endelea kukaza uzi nawapenda jamani mungu awape moyo huo wa kusamehe cku zote za maisha yenu nje ya jamvi pia humu jamvini.
 
Jamani cjui hata niseme nini kwa jinsi mlivyonirudisha kwenye khali ya kawaida HUSNINYO,KLOROKWINI,HASHYCOOL ECT.ukweli jana nilipa wakati mugum sana hasa baada ya kusoma comment za wa2.nashukuru kwa kunipa moyo wa kuendelea kuepo humu jamvini niliamini ckua na njia nyingine zaidi ya kuwaplease na thanks kwa kunisamehe.Pia husninyo na klorokwini nimeyapenda majibishano yenu kweli humu jamvini kuna changamoto nyingi na burudani kweli kuwemo humu.Uclegeze endelea kukaza uzi nawapenda jamani mungu awape moyo huo wa kusamehe cku zote za maisha yenu nje ya jamvi pia humu jamvini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…