unakulaga zabibu?Kufilisika kote kunaruhusiwa, lakini mtu anapofilisika kimawazo, MWONEE HURUMA!
unakulaga zabibu?
jamani ckua na maana mbaya ebu punguzen jazba kiukwel mnajua mi c mwenyej na nilishatoa post zangu hapa lakni hazikupata wachangiaj wengi kama ilivyo hii ckua na maana tofaut na mlivyoninukuu pia kuanza upya c ujinga na kuteleza c kuanguka naomba mnisamehe toka ndani ya nafc zenu wote niliowakwaza either kwa kutofahamu au kwa kufahamu ingawa ckujua kma ntawakwaza najua binadamu hatujakamilika pia kila mmoja ana uwezo wake wa kufikiri hvyo jamani mnisamehe bure.Nategemea msamaha wenu baada ya kuisoma hii Nawapenda nyote
jamani ckua na maana mbaya ebu punguzen jazba kiukwel mnajua mi c mwenyej na nilishatoa post zangu hapa lakni hazikupata wachangiaj wengi kama ilivyo hii ckua na maana tofaut na mlivyoninukuu pia kuanza upya c ujinga na kuteleza c kuanguka naomba mnisamehe toka ndani ya nafc zenu wote niliowakwaza either kwa kutofahamu au kwa kufahamu ingawa ckujua kma ntawakwaza najua binadamu hatujakamilika pia kila mmoja ana uwezo wake wa kufikiri hvyo jamani mnisamehe bure.Nategemea msamaha wenu baada ya kuisoma hii Nawapenda nyote
changamoto gani wakati mnamrushia madongo kokudo bana? dah Mungu atamlipia kokudodah!
Pole sana kokudo wangu.
Usijali, hizi ni changamoto tu.
PEACE and LOVE kokudo. you are a living hero!jamani ckua na maana mbaya ebu punguzen jazba kiukwel mnajua mi c mwenyej na nilishatoa post zangu hapa lakni hazikupata wachangiaj wengi kama ilivyo hii ckua na maana tofaut na mlivyoninukuu pia kuanza upya c ujinga na kuteleza c kuanguka naomba mnisamehe toka ndani ya nafc zenu wote niliowakwaza either kwa kutofahamu au kwa kufahamu ingawa ckujua kma ntawakwaza najua binadamu hatujakamilika pia kila mmoja ana uwezo wake wa kufikiri hvyo jamani mnisamehe bure.Nategemea msamaha wenu baada ya kuisoma hii Nawapenda nyote
changamoto gani wakati mnamrushia madongo kokudo bana? dah Mungu atamlipia kokudo
uchoyo umepunguza lakini? sasa nani amempiga madongo kokudo mpaka kokudo akawa vere down?mi sijampa dongo bwana. Usinichonganishe na kokudo.
uchoyo umepunguza lakini? sasa nani amempiga madongo kokudo mpaka kokudo akawa vere down?
mi siyo mchoyo. Natoa tu hasa kama ninavyo vingi.
Kama ni kimoja sitoi.
Jamaa imetokea tu kismati kimerudi down kidogo.
Ila mambo yashanyoka.
dah! hapo red panatisha aisee! hata kokudo akiona hiyo hatopenda. legeza masharti bana
aleluyah!haya nimelegeza. Nitakikata nusu.