Kati ya Post zangu nilizopost hii imepata wachangiaji wengi

Yaani wewe huku nikutaka kuanzisha thread au kitu gani?? Hili ni swali kweli la kuuliza watu??

Kwani wewe ulivyokuwa unaleta hiyo thread ulikuwa unataka watu wasichangie??

Watu wengine bana sijui mkoje. PJ kakwmabia ukweli umefilisika kimawazo wewe tunakuonea huruma aahh
 


Nilikuwa sijaona hii post yako. Utakomaa tu ukiwa humu na usirudie tena umesikia mtoto mzuri eehhh???
 
mi naona post hii ndo imechangiwa zaidi

You should also ask urself y?
 


Nilikuwa sijaona hii post yako. Utakomaa tu ukiwa humu na usirudie tena umesikia mtoto mzuri eehhh???

DA bwana, kang'ata halafu kapuliza :laugh::laugh::laugh:

Anyway my friend Kokudo, dont expect pipo to answer as you expect
Kuna baadhi ya watu hapa wapo kwa ajiri ya kugawanya wenzao, kujenga makundi baina ya wana JF, kudharau comment za wengine, na wengine ndo kabisaaaa haoni mtu mwingine wa ku-share nae mawazo zaidi ya mtu wake
Matokeo yake mtu anafundishwa kwa kupewa vidongo na kejeli
Tumepitia njia hiyo ndugu
You have to be strong in your mind, dont disappoint yourself
 

Halafu wewe umenianza asubuhi leo naona haya mpaka jioni lazima zipigwe leo!!!

Hakuna makundi wewe mbona unaanzisha mambo mabaya humu bwana hebu acha kumtisha mtoto wa watu.

Kokudo usimsikilize CPU anakudanganya umesikia??

We anzisha tu thread kibao usichoke!!!
 

Ha ha ha ha ha . . . . DA mimi nina fimbo wewe hauna sijui utazipigaje?? . . lol
Ukiona nakufwata-fwata ujue "SIMBA MWENDA POLE . . . . . "
 
Ha ha ha ha ha . . . . DA mimi nina fimbo wewe hauna sijui utazipigaje?? . . lol
Ukiona nakufwata-fwata ujue "SIMBA MWENDA POLE . . . . . "

Ha ha ha ha ha ha ha leo umenichekesha kweli tena kwa mara nyingine haya bana
"sina neno mimi kwa kuwa najua huyo ni mzazi mwenzio mpenzi maua?? Iko sikuuuu mpenzi maua!! aaa,...................
 
Jamani dena yani mpaka nimeona aibu umenidekeza jaman asante dena
 
kokudo , ukiona na sredi hili linachangiwa sana na linakukera unaweza ukamtumia PM mod alifunge (only if interested). ipo hii option.

ni mimi klorokwini a.k.a "kata umeme, eneza furaha aibu kwa tanesco"
 
Hizi handbag za kina dada hizi!!?
Je ni 7bu zipi zimepelekea post hii kuchangiwa?naomba kuwakilisha.

good observation and question

WANACHANGIA SABABU ZIMEBEZI KWENYE NGONO NA SIASA CHOCHEZI (kwa ujumla post zinazochangiwa humu JF) ANDIKA KUHUSU ...ELIMU....UCHUMI...MAENDELEO...MALEZI....UZALENDO UONE KAMA ZITACHANGIWA VYA KUTOSHA (just do that simple research)

kwa kweli hata mimi nimenza kuyaona haya mambo.

lakini pia kwa muda wangu mfupi hapa JF nimegundua pia nguvu ya majina fulanifulani. kuna watu wakiweka chochote hata mguno tu"mmh" na kuacha , utakuta watu wote wanahamia kwenye thread yake na anapewa na thanks nyingi tu!

hahahhapa ndipo magreat thinkers wanapopatikana. thenks for everything though
 
Ha ha ha ha ha ha ha leo umenichekesha kweli tena kwa mara nyingine haya bana
"sina neno mimi kwa kuwa najua huyo ni mzazi mwenzio mpenzi maua?? Iko sikuuuu mpenzi maua!! aaa,...................

ntakuja kwa wazazi wako mamaaaaaaaaa
penzi mauaaaaaaaaaaa
na barua ya uchumba mie
penzi upepoooo
tufunge ndoa na weweeeeeeee
penzi mauaaaaaaa . . . sina neno mimi (neemaaaaa) kwakuwa najuaaaa (ooooooh) , huyo ni mzazi mwenzio . . . . .
penziiiii mauaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


ipo sikuu eeeeeeeeh
penzi upepoooooooooooooooo
ntakuja kwa wazazi wako mamaaaaaaaaa
penzi mauaaaaaaaaaaa
na barua ya uchumba mie
penzi upepoooo
tufunge ndoa na weweeeeeeee
penzi mauaaaaaaa . . . sina neno mimi (neemaaaaa) kwakuwa najuaaaa (ooooooh) huyo ni mzazi mwenzio . . . . .
penziiiii mauaaaaaaaaaaaaaaaaaaa



ntoontooooo talilliiiiiiiiii . . . . . . ntoontooooo talilliiiiiiiiii . . . . .ntoontooooo talilliiiiiiiiii
ntoontooooo talilliiiiiiiiii . . . . . . ntoontooooo talilliiiiiiiiii . . . . .ntoontooooo talilliiiiiiiiii
ntoontooooo talilliiiiiiiiii . . . . . . ntoontooooo talilliiiiiiiiii . . . . .ntoontooooo talilliiiiiiiiii
tuliluuuuuuuuuu tuliluuuuuuuuuuu . . . . tolilooooooo tu

papaaalaaaaaaaaaaaaa. . . .. puuuuaaaaaaaaaaaaaaaaaa paliiiii paaaaliiiiii


ngoja nijikumbushe daaaah :clap2::clap2:
 
Jamani dena yani mpaka nimeona aibu umenidekeza jaman asante dena

Aaaiiii wewe umeonea aibu keyboard na computer yako.

Usijali mwaya hii ndo JF bwana utakomaa tu ndugu yangu!!!
 
kokudo , ukiona na sredi hili linachangiwa sana na linakukera unaweza ukamtumia PM mod alifunge (only if interested). ipo hii option.

ni mimi klorokwini a.k.a "kata umeme, eneza furaha aibu kwa tanesco"


Mmmm haya
 



Ha ha ha nilijua tu itakugusa kumbe na wewe umo eehhh
 

Miss Judith

Hii ya kweli?? Mie nilikuwa sijagundua hebu ngoja nianze uchunguzi dear asante kwa taarifa mpendwa
 

hii post yako mke mtarajiwa wa mwakani miss wa judith nimeisoma kwa makini na unaonekana kuzungumzia habari ya ubaguzi ndani ya JF . dah! hii ni balaa kwakweli. sasa unashauri nini kifanyike ili hii hali iondoke?
 
ubaguzi ndani ya JF . dah! hii ni balaa kwakweli. sasa unashauri nini kifanyike ili hii hali iondoke?
Huwezi kuondoa..ni kama 'the popular kid at school' hata akifanya kitu cha kawaida au cha kijinga anaonekana wa maana!Hapa kuna the IN group na watu wengi tu wanataka wawe washiriki na waliobaki ni OUT group!Nimeshaona mtu anaanzisha thread inakaa masaa haichangiwi ila mtu wa IN group hata akiandika CRAP tu wengine ndo wanaanza kuchangia!
 

Lizzy mie unajua sijagundua mwenzio ndo leo nimefumbuliwa nilikuwa sijajua aisee haya mambo ya watanzania yatakwisha lini??
 
Lizzy mie unajua sijagundua mwenzio ndo leo nimefumbuliwa nilikuwa sijajua aisee haya mambo ya watanzania yatakwisha lini??

Mami hii kitu iko kila mahali haina weusi wala weupe..mashuleni..makazini..kwenye nyumba za ibada..mitaani hata majumbani kwa wale wenye familia kubwa(hii ya majumbaninajua from personal experience)!Ni natural kabisa na ndio maana hukugundua humu kwasababu hua hatufikirii vitu kama hivi labda uamue kabisa unataka kuona watu wanakuaje humu!
 

Nilidhani niko peke yangu niliyekuwa nawaza hivi . . . lol
Mbaya zaidi hao watu ndio wanaitwa GREAT THINKERS sisi wengine ndo kama hivyo . . . thread uliyoianzisha wewe inaonekana booooomu, ngoja thread hiyo hiyo ianzishwe na HAYO MAJINA, watu vuluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kama kuku kaona mtama, thanks 70, sifa kedekede, mabusu ndo usiseme hayana idadi . . . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…