Kati ya prado Tx na landcruiser V8 ninunue gari gani?

Matajiri wa JF bana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kabla hujaondoka Sweden inabidi uweke oda ya kununua boti ya kifahari, maana watu wanaona wewe sio member wa Dar Yatch Club.
 
V8 inaanzia 200m kama angemzabua mhindi tungesikia matangazo mkuu

Huyu anajaribu kutudanganya watu wazima kuwa alianza kukimbia kabla ya kutambaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…