Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Lx cruiser 1HZ safii Ni mkataba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lx cruiser 1HZ safii Ni mkataba
Tungesikia anatangazwaUkishinda sportpesa ya mil200??? Utashindwa?
Kijana anayevaa kisuruali njiwa na viatu bila soksi namuonaga ana akili kama za akina aslay.Mkuu una uhakika?
Mbona naona yuko na mke mkali?Kama huna uhakika bora umuombe radhiView attachment 1311143
Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wa JF bana.Habari! Nlikuwa na meeting na investors kadhaa hapa nchini Sweden ndo maana nmekuwa busy kidogo.nmeshangaa jamaa anaulizia vitu vya ajabu.nmeangalia hiyo prado tx ni kama Toy kubwa la kuchezea watoto. Jamaa hana lolote.wenye pesa hatuulizi maswali ya kipuuzi hivi.tunaenda show room tunanunua Gari.siyo vyombo vya usafiri.hapo anaulizia hivyo kwenye account yake utakuta ana tsh 20,000,000 au mil 50. Then anapata wapi uhalali wa kuzungumzia hivyo vitu kama anazungumzia magari.mimi nlinunua Range 2. Bila kumuuliza mtu.nikanunua GMC, nikanunua JEEP, nilinunua Benz na BMW sikuwah uliza mtu.sababu nayafahamu magari.nmezaliwa nmeyakuta pale home.naendelea kiyatumia.nikisema niwe nauliza humu mtachoka.
Mkuu kabla hujaondoka Sweden inabidi uweke oda ya kununua boti ya kifahari, maana watu wanaona wewe sio member wa Dar Yatch Club.Habari! Nlikuwa na meeting na investors kadhaa hapa nchini Sweden ndo maana nmekuwa busy kidogo.nmeshangaa jamaa anaulizia vitu vya ajabu.nmeangalia hiyo prado tx ni kama Toy kubwa la kuchezea watoto. Jamaa hana lolote.wenye pesa hatuulizi maswali ya kipuuzi hivi.tunaenda show room tunanunua Gari.siyo vyombo vya usafiri.hapo anaulizia hivyo kwenye account yake utakuta ana tsh 20,000,000 au mil 50. Then anapata wapi uhalali wa kuzungumzia hivyo vitu kama anazungumzia magari.mimi nlinunua Range 2. Bila kumuuliza mtu.nikanunua GMC, nikanunua JEEP, nilinunua Benz na BMW sikuwah uliza mtu.sababu nayafahamu magari.nmezaliwa nmeyakuta pale home.naendelea kiyatumia.nikisema niwe nauliza humu mtachoka.
Mkuu kabla hujaondoka Sweden inabidi uweke oda ya kununua boti ya kifahari, maana watu wanaona wewe sio member wa Dar Yatch Club.
Mhaya wetu kafika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sana Kiduku lilo
Sent using Jamii Forums mobile app
V8 inaanzia 200m kama angemzabua mhindi tungesikia matangazo mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda kashinda lottery [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaaaah, me nashangaa anavyoruka step daaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Exactly yeye hatakuwepo siku zote, na hapo akishaondoka haitamsaidia tena V8. Kitakachomsaidia ni mema yake aliyoyatenda duniani, sadaka zake aizozitowa kwa moyo safi kuwasaidia maskini
V8 inaanzia 200m kama angemzabua mhindi tungesikia matangazo mkuu
Huyu anajaribu kutudanganya watu wazima kuwa alianza kukimbia kabla ya kutambaa
Sent using Jamii Forums mobile app