Kati ya Rosa Ree na Chemica nani zaidi katika michano?

Rosa ree anatukana tukana tuu sioni anachoimba plus kiki za navi kenzo zinambarikia. She is gud kwa international market achane zaidi kwa ngeli labda atatoboa nje ila kwa ndani mimi nadefine upuuzi ulee.

Chemical jike dume,hivi mliambiwa kuwa jike dume ndo unakua mchanaji bora?? Nao ni upuuzi japo anajitahidi kwa soko la ndani amefit kwa soko la nje ajipange.
 
Chemical kana swaga flani ivi kwenye flow zake....ndo ananimalizaga...huyo mwengine cjawahi kumuelewa kbs..yaani hata kiitikio cha ngoma yake yoyote ile cjawahi kuhifadhi hata.
 
Chemical is the best tena namuelewa sana ila uyo Rosa ajipange pia aache ile tabia ya kukunja kunja mdomo
 
Achana na hao wanawake hua hawaeleweki
Nipo kwenye public car nikajikuta nacheka kwa nguvu watu wote macho kwangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu wamekuchanganya nin
 
Rosa ni fundi wa kubinua mdomo kama beberu lililoramba mkojo wa jike
 
Nipo kwenye public car nikajikuta nacheka kwa nguvu watu wote macho kwangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu wamekuchanganya nin
Hao ni hatari mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…