Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mimea mikubwa tumia samadi ya wanyama wakubwa, mimea midogo tumia samadi ya wanyama wadogo.. Kwa mfano mbogamboga zinakubali sana ukitumia samadi ya kuku tofauti na ya ng'ombeWadau mbalimbali wa kilimo na ufugaji, ninaomba muongozo wa namna bora ya kutumia Samadi ya asili shambani. Kwa kuanzia, nilitaka kufahamu, Samadi ipi ya asili inafaa shambani kwa kilimo cha mboga mboga, matunda au mahindi?
Je kati ya kinyesi cha ng'ombe, mbuzi, Kuku, Nguruwe, Sungura ipi ni bora zaidi?
Samahani, kwaio ukichanganya hyo ya ng'ombe na ya noah it means unapata double effects au?Samadi ya ngombe ina long lasting effect ukiwa unaweka shambani rutuba yake inaweza kaa hata miaka mitatu. Samadi ya nguruwe ina nguvu ya kukuza mimea dakika sifuri tu nayo ukiweka shamba la mahindi utashangaa kijani chake. .
Samadi za kuku zina utaalamu wake utaunguza mazao usipokuwa makini ukaweka tu, na maa nyingine kutokana na pumba kwenye samadi ukakuta unachoma badala ya kustawisha mmea. Unaweka samadi ya kuku unakuta inaleta msururu wa sisimizi. .
Hapa ninafunga vibata juzi nimefagia kama mtu anahitaji mbolea niko manzese. .
Nilienda sehemu nikakuta wanaweka mbolea ya kuku shambani wanaiacha mpaka miezi miwili kabla ya kupanda. Hii mbolea ni kali mno ila kama nilivyosema ina utaalamu wakeSamahani, kwaio ukichanganya hyo ya ng'ombe na ya noah it means unapata double effects au?
😁😁😁😁😁😁😁Nguruwe🐖🐖🐖🐖 N.b hata nyama yake pia.
Zinatofautiana ubora na conent, Mfano Mbolea ya kuku ndio bora miongoini mwa mbolea zote za mifugo, na mbolea ya punda au farasi ni ya mwisho kabisa.Wadau mbalimbali wa kilimo na ufugaji, ninaomba muongozo wa namna bora ya kutumia Samadi ya asili shambani. Kwa kuanzia, nilitaka kufahamu, Samadi ipi ya asili inafaa shambani kwa kilimo cha mboga mboga, matunda au mahindi?
Je, kati ya kinyesi cha ng'ombe, mbuzi, Kuku, Nguruwe, Sungura ipi ni bora zaidi?
Small the body size higher the body size, mnyama mdogo ana N kubwa kuliko wakubwa na hupungua kutoka mkubwa kwnd yule mdogo ie popo, awe specific kwa mazao yakeMimea mikubwa tumia samadi ya wanyama wakubwa, mimea midogo tumia samadi ya wanyama wadogo.. Kwa mfano mbogamboga zinakubali sana ukitumia samadi ya kuku tofauti na ya ng'ombe
Kila mbolea ya Samadi ina uzuri na mapungufu yake.Zinatofautiana ubora na conent, Mfano Mbolea ya kuku ndio bora miongoini mwa mbolea zote za mifugo, na mbolea ya punda au farasi ni ya mwisho kabisa.
ClueMimea mikubwa tumia samadi ya wanyama wakubwa, mimea midogo tumia samadi ya wanyama wadogo.. Kwa mfano mbogamboga zinakubali sana ukitumia samadi ya kuku tofauti na ya ng'ombe
Umejibu sahiii kabisaa , mboga mboga samadi ya kuku ni boraa zaidii. Sifa yake kuuu inawahi kufanya kazi kwa haraka sanaaMimea mikubwa tumia samadi ya wanyama wakubwa, mimea midogo tumia samadi ya wanyama wadogo.. Kwa mfano mbogamboga zinakubali sana ukitumia samadi ya kuku tofauti na ya ng'ombe
Umemaliza kila kituMimea mikubwa tumia samadi ya wanyama wakubwa, mimea midogo tumia samadi ya wanyama wadogo.. Kwa mfano mbogamboga zinakubali sana ukitumia samadi ya kuku tofauti na ya ng'ombe
Unaweza kuitreat wakafa labda useme mambo ya imani ila n nzuriKila mbolea ya Samadi ina uzuri na mapungufu yake.
1.Samadi ya ngo'mbe iliyoiva vzr inatoa nutrient kwa mmea taratibu kwa mda mrefu.
2.Samadi ya kuku ni kali na inatoa nutrient kwa mmea kwa haraka sana na baada ya mda mchache huisha. Ndio maana inafaa sana kwenye mazao ya mda mfupi km mboga mboga. Ni nzuri endapo itatumika km mbolea ya kupandia kwa upande wa mahindi. Weka kwenye mmea wiki baada ya mahindi kuota. Ukipandia moja kwa moja na mbegu inaweza kuunguza hasa km mvua ni chache.
3.Samadi ya nguruwe ni nzuri pia japo inachangamoto ya harufu kali na inabeba pathogen (wadudu) wanaoweza kusababisha magonjwa shambani.
Namie nimeambiwa pia hii ya popo, kwamba inastawisha vizuri sana...ila ya kuku inaunguza mazao.Niliwahi kuambiwa kua ile ya popo ni hatare sana