Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

Shida bongo simu za mkononi nyingine zinakua za wizi,inaweza kuja kukugharimu,ukaingia kwenye matatizo yasiyokuhusu!!
J-series wamethitisha Production zake...
Tangu mwaka 2018.... matoleo ya J6+, J8 J7 Crown n.k ndio yalikua ya mwisho


Kumbuka
S/Note - High end
A/C - Series - Mid range
J/M - Series - Low end..

C & J hazipo tena kwenye market..

kwenye Mid-range imebaki A - series
Katika low end wameweka M-series...
Japo kdg wanachanganya watu maana M-Series za mwaka huu na mwaka jana zina bei zaid ya A-series.....

Kwa hela hio Nakushauri usije ukanunua Ma A-series ya Mwaka jana au mwaka huu...

Utakua disapointed sana kwenye Camera, speaker na Plastic body zao....

Bora za mwaka 2018.....
Japo m nakushauri kwa hela hio (800k) Mjini unapata S9+ na ukitulia zaidi Note 9..
NOTE : Jitahidi Upate Global/international Model/version.. epuka carrier unlocked..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi natumia A10, kwa baadhi ya maeneo ya vijijini kwa kweli hii simu ni changamoto kwani suala la network inasumbua sana. Utakuta simu nyingine inanetwork lakini yakwangu inakwandikia net work not registered. Yani huwa nachukia sana kuona tecno ya laki moja inaizidi sumsang ya laki 3

Nishawahi kupoteza dili kisa network sim ipo hewani watu wananitafuta wanipe mchongo eti sipatikani. Yaani niliiichukia sana siku hiyo.
A10 au A10s? A10 HAINA HIZO MAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mi naamini sio a10 labda anasema a10s maana kuna tofaut kubwa kati ya hizo simu a10s ni mtk wakat a10 sio mtk labda ukute ndo ulinunua mikononi kwa watu ila kwa elimu hii nilopata leo nashukuru nimezifahamu simu za samsung labda kwa aina zingine ila kwa Samsung nmezielewa vizuri
A10 au A10s? A10 HAINA HIZO MAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nashukur sana kwa elimu hii kiukweli nilikuwa sjui mengi kuhusu hizi simu za samsung ila leo nimepata. Darasa zuri sana kwako nmezifahamu kisawasawa naomba ulete na somo la aina aina zingine za cm kama oppo, xioami, vivo nk ili tusiwe tinapigwa aisee ili hata kama una nunua uwe unajua
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK...


Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfnao spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani....
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+ ...
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, namba au herufi itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili)

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung hasa matoleo ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0 Au .....U
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k
 
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK...


Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfnao spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani....
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+ ...
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, namba au herufi itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili)

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung hasa matoleo ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0 Au .....U
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k
Kwenye Hizi mambo huwa Nakukubali Sana, kuna maelezo yako Niliyafuata, Siku naenda nunua simu Pale aggrey yalinisave sana la sivyo ningeliwa kichwa....
Warning zote ulizoandika nikakutana nazo...
 
Mkuu nashukur sana kwa elimu hii kiukweli nilikuwa sjui mengi kuhusu hizi simu za samsung ila leo nimepata. Darasa zuri sana kwako nmezifahamu kisawasawa naomba ulete na somo la aina aina zingine za cm kama oppo, xioami, vivo nk ili tusiwe tinapigwa aisee ili hata kama una nunua uwe unajua
Huyu jamaa ashawahi nisaidia sana kwenye maelezo yake siku naenda kununua simu nikarudi tu jf nika refer.....
Nikapona maana isingekua yy ningeliwa kichwa kbsa... maaana kila mtego aliosema nikaukuta...
 
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK...


Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfnao spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani....
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+ ...
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, namba au herufi itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili)

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung hasa matoleo ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0 Au .....U
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k
Nimesoma mpaka nimeridhika nafsi, unajua kuelekeza kwakweli...Ubarikiwe
 
Lete link ya huo uzi hapa alokusaidia na wengine tuchote hayo madini uloyachota ww mkuu tuongeze nondo maana hawa waunza cm wanatuibia sana kwa makusudi sasa ukiwa unazijua cm vizuri wanasanda
Huyu jamaa ashawahi nisaidia sana kwenye maelezo yake siku naenda kununua simu nikarudi tu jf nika refer.....
Nikapona maana isingekua yy ningeliwa kichwa kbsa... maaana kila mtego aliosema nikaukuta...
 
Lete link ya huo uzi hapa alokusaidia na wengine tuchote hayo madini uloyachota ww mkuu tuongeze nondo maana hawa waunza cm wanatuibia sana kwa makusudi sasa ukiwa unazijua cm vizuri wanasanda
Anza Na hii Halaf nakuletea nyingne...

https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1537697/

Km unapitia Ule uzi wa wauza smartphone Anatoaga ushauri wa bure sana..

Njoo hapa tena
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/33821902

Soma hii comment hapa

https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/33463791

Nyingine...

https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/33143204

https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/31869306

Ni nying nashindwa tafta
 
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK...


Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfano spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani ili ile tray isome Laini ZOTE.
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Au ukabadilisha tu mazingira unaona simu yako inasumbua network nakat za wenzako zinapga kazi...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Model # Yake Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+,
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, namba au herufi itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili)

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung hasa matoleo ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0 Au .....U
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k
Ya kwangu ni SM-A105F/DS
Sumsang hiyo vp nimeliwa kichwa?
 
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK...


Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfano spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani ili ile tray isome Laini ZOTE.
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Au ukabadilisha tu mazingira unaona simu yako inasumbua network nakat za wenzako zinapga kazi...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Model # Yake Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+,
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, namba au herufi itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili)

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung hasa matoleo ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0 Au .....U
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k
Hii ndiyo jf inavyo takiwa kuwa shule tosha kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom