Kati ya Spika mstaafu Msekwa na Halima Mdee nani yuko sahihi juu ya uhalali wa Wabunge 19 wa CHADEMA?

Kati ya Spika mstaafu Msekwa na Halima Mdee nani yuko sahihi juu ya uhalali wa Wabunge 19 wa CHADEMA?

Hivi hata Sheria kidogo hata za Mahakama ya Kuku hizijui au? Mtu akifungwa jela akikata rufaa kabla rufaa yake haijasikilizwa anakuwa huru?
Covid 19 walivuliwa Uanachama, wamekata rufaa. Kabla ya rufaa kusikilizwa wanakuwa wanachama au siyo wanachama?
Baada ya mfano huo linganisha Sasa akili za Msekwa na za Mdee.
Labda nikukumbushe.

Huko nyuma kuna mbunge wa viti maalumu wa CUF alivuliwa uanachama akaenda kudai haki yake mahakamani,

Wakati kesi inaendelea yeye aliendelea kuwa mbunge na ndipi msamiati wa " mbunge wa mahakama " ulipoasisiwa.

Labda kwa mfano huo utaelewa hata kama nyakati hizo ulikuwa bado vinenani!
 
Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.

Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.

Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.

Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.

Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.

Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.

Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?

Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?

Maendeleo hayana vyama.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Pia soma
Msekwa anaongelea sheria na kanuni za ubunge, Mdee anajihami kulinda ubunge wake huku akijia hana chama cha siasa kuhalalisha ubunge wake.
 
Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.

Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.

Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.

Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.

Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.

Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.

Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?

Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?

Maendeleo hayana vyama.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Pia soma
Msekwa yuko sahihi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa nchi yenye misimamo ya dimokurasia, au yenye wasomi walio jifunza hao wabunge 19, ni aibu kubwa sana kuendelea kuka humo bungeni, hata Kenya tu hilo lisingetokea ila hi Tz ni ya kisani chochote kinawezakana, kama mtu kichaa anaweza kua Raisi kipi kinashindikana.
Hahahahaha
 
Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.

Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.

Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.

Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.

Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.

Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.

Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?

Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?

Maendeleo hayana vyama.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Pia soma
Kamati Kuu ya CCM
 
Hiyo ndio siasa mkuu wale wabunge walipelekwa na chama.pale wameegeshwa tu ukiwatoa wale wabunge chadema sio chama kikuu cha upinzani kwa hiyo usishangae siku ikatoka taarifa kuwa wamesamehewa.

Si umeona mwenyewe Sumaye na Lowassa wako wapi pamoja na kauli nzuri walizotoa kwa upinzani na kejeli kwa chama tawala.Lisikuhangaishe hilo wenzako wameona mbali na siku wakiwasamehe akina Mdee watapata malimbikizo kibao ya ruzuku.aluta continua.
Ningekubaliana sana na wewe kama Chadema hawaku take action, Chadema waliwafukuza na wakaiuliza tume ya uchaguzi wapi waliyapata hayo majina, NEC ilikaa kimya hadi leo, spika akawatetea, sasa ulitaka Chadema ifanye nini zaidi? Yaani unataka kulazimisha lawama kwa asie husika?? Bro hebu peleka lawama kwa muhusika, Chadema hapa unawaonea kaka, kua mkweli tu
 
Hiyo ndio siasa mkuu wale wabunge walipelekwa na chama.pale wameegeshwa tu ukiwatoa wale wabunge chadema sio chama kikuu cha upinzani kwa hiyo usishangae siku ikatoka taarifa kuwa wamesamehewa.

Si umeona mwenyewe Sumaye na Lowassa wako wapi pamoja na kauli nzuri walizotoa kwa upinzani na kejeli kwa chama tawala.Lisikuhangaishe hilo wenzako wameona mbali na siku wakiwasamehe akina Mdee watapata malimbikizo kibao ya ruzuku.aluta continua.
Hivi hao wanaoitwa COVID 19 wanapeleka sehemu ya mishahara yao kwenye chama wanachodai kuwa bado ni wanachama? Maana huko nyuma ilisemekana kuwa wabunge wote wa CHADEMA hulazimika kukatwa sehemu ya mishahara yao kuchangia chama chao kitendo kilichopigiwa kelele sana na baadhi yao hasa waliokihama.
 
Jibu hili hapa, ndugai alifanya uhuni wa wazi wazi.

 
Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.

Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.

Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.

Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.

Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.

Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.

Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?

Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?

Maendeleo hayana vyama.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Pia soma
Hapa umekosea kidogo (Msekwa ndio ametunga sheria za Mabunge mengi Africa)
 
Hiyo ndio siasa mkuu wale wabunge walipelekwa na chama.pale wameegeshwa tu ukiwatoa wale wabunge chadema sio chama kikuu cha upinzani kwa hiyo usishangae siku ikatoka taarifa kuwa wamesamehewa.

Si umeona mwenyewe Sumaye na Lowassa wako wapi pamoja na kauli nzuri walizotoa kwa upinzani na kejeli kwa chama tawala.Lisikuhangaishe hilo wenzako wameona mbali na siku wakiwasamehe akina Mdee watapata malimbikizo kibao ya ruzuku.aluta continua.
Unafikiria Kwa kutumia nini?!!.. Serikali ndio imewapeleka pale sio Chadema ndio maana umeona Msekwa anasema hili na yeye ndio mtunzi wa Sheria nyingi na vitabu vingi vya Mabunge ya Africa!!..
 
Back
Top Bottom