johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Labda nikukumbushe.Hivi hata Sheria kidogo hata za Mahakama ya Kuku hizijui au? Mtu akifungwa jela akikata rufaa kabla rufaa yake haijasikilizwa anakuwa huru?
Covid 19 walivuliwa Uanachama, wamekata rufaa. Kabla ya rufaa kusikilizwa wanakuwa wanachama au siyo wanachama?
Baada ya mfano huo linganisha Sasa akili za Msekwa na za Mdee.
Msekwa anaongelea sheria na kanuni za ubunge, Mdee anajihami kulinda ubunge wake huku akijia hana chama cha siasa kuhalalisha ubunge wake.Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.
Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.
Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.
Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.
Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.
Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.
Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?
Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?
Maendeleo hayana vyama.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia soma
- Halima Mdee: Sisi ni wawakilishi wa chama na hatukuja Bungeni kwa bahati. Nafasi zetu za Ubunge hazipo hatarini hata kiduchu ( 01/02/2022)
- Mzee Msekwa: Wabunge 19 hawana uhalali kuwepo Bungeni, anayebisha aende mahakamani (08/01/2022)
- Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile (01/11/2021)
- Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge ( 28/11/2020 )
- Spika Mstaafu Msekwa awapongeza CHADEMA kwa kuwafukuza uanachama wabunge waliokwenda kinyume na taratibu zao ( 18/05/2020)
Msekwa yuko sahihiSpika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.
Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.
Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.
Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.
Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.
Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.
Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?
Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?
Maendeleo hayana vyama.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia soma
- Halima Mdee: Sisi ni wawakilishi wa chama na hatukuja Bungeni kwa bahati. Nafasi zetu za Ubunge hazipo hatarini hata kiduchu ( 01/02/2022)
- Mzee Msekwa: Wabunge 19 hawana uhalali kuwepo Bungeni, anayebisha aende mahakamani (08/01/2022)
- Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile (01/11/2021)
- Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge ( 28/11/2020 )
- Spika Mstaafu Msekwa awapongeza CHADEMA kwa kuwafukuza uanachama wabunge waliokwenda kinyume na taratibu zao ( 18/05/2020)
HahahahahaKwa nchi yenye misimamo ya dimokurasia, au yenye wasomi walio jifunza hao wabunge 19, ni aibu kubwa sana kuendelea kuka humo bungeni, hata Kenya tu hilo lisingetokea ila hi Tz ni ya kisani chochote kinawezakana, kama mtu kichaa anaweza kua Raisi kipi kinashindikana.
Kamati Kuu ya CCMSpika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.
Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.
Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.
Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.
Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.
Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.
Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?
Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?
Maendeleo hayana vyama.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia soma
- Halima Mdee: Sisi ni wawakilishi wa chama na hatukuja Bungeni kwa bahati. Nafasi zetu za Ubunge hazipo hatarini hata kiduchu ( 01/02/2022)
- Mzee Msekwa: Wabunge 19 hawana uhalali kuwepo Bungeni, anayebisha aende mahakamani (08/01/2022)
- Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile (01/11/2021)
- Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge ( 28/11/2020 )
- Spika Mstaafu Msekwa awapongeza CHADEMA kwa kuwafukuza uanachama wabunge waliokwenda kinyume na taratibu zao ( 18/05/2020)
Hiyo ndio injini ya nchi!Kamati Kuu ya CCM
Ningekubaliana sana na wewe kama Chadema hawaku take action, Chadema waliwafukuza na wakaiuliza tume ya uchaguzi wapi waliyapata hayo majina, NEC ilikaa kimya hadi leo, spika akawatetea, sasa ulitaka Chadema ifanye nini zaidi? Yaani unataka kulazimisha lawama kwa asie husika?? Bro hebu peleka lawama kwa muhusika, Chadema hapa unawaonea kaka, kua mkweli tuHiyo ndio siasa mkuu wale wabunge walipelekwa na chama.pale wameegeshwa tu ukiwatoa wale wabunge chadema sio chama kikuu cha upinzani kwa hiyo usishangae siku ikatoka taarifa kuwa wamesamehewa.
Si umeona mwenyewe Sumaye na Lowassa wako wapi pamoja na kauli nzuri walizotoa kwa upinzani na kejeli kwa chama tawala.Lisikuhangaishe hilo wenzako wameona mbali na siku wakiwasamehe akina Mdee watapata malimbikizo kibao ya ruzuku.aluta continua.
Hivi hao wanaoitwa COVID 19 wanapeleka sehemu ya mishahara yao kwenye chama wanachodai kuwa bado ni wanachama? Maana huko nyuma ilisemekana kuwa wabunge wote wa CHADEMA hulazimika kukatwa sehemu ya mishahara yao kuchangia chama chao kitendo kilichopigiwa kelele sana na baadhi yao hasa waliokihama.Hiyo ndio siasa mkuu wale wabunge walipelekwa na chama.pale wameegeshwa tu ukiwatoa wale wabunge chadema sio chama kikuu cha upinzani kwa hiyo usishangae siku ikatoka taarifa kuwa wamesamehewa.
Si umeona mwenyewe Sumaye na Lowassa wako wapi pamoja na kauli nzuri walizotoa kwa upinzani na kejeli kwa chama tawala.Lisikuhangaishe hilo wenzako wameona mbali na siku wakiwasamehe akina Mdee watapata malimbikizo kibao ya ruzuku.aluta continua.
Hapa umekosea kidogo (Msekwa ndio ametunga sheria za Mabunge mengi Africa)Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.
Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.
Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.
Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.
Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.
Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.
Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?
Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?
Maendeleo hayana vyama.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia soma
- Halima Mdee: Sisi ni wawakilishi wa chama na hatukuja Bungeni kwa bahati. Nafasi zetu za Ubunge hazipo hatarini hata kiduchu ( 01/02/2022)
- Mzee Msekwa: Wabunge 19 hawana uhalali kuwepo Bungeni, anayebisha aende mahakamani (08/01/2022)
- Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile (01/11/2021)
- Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge ( 28/11/2020 )
- Spika Mstaafu Msekwa awapongeza CHADEMA kwa kuwafukuza uanachama wabunge waliokwenda kinyume na taratibu zao ( 18/05/2020)
Unafikiria Kwa kutumia nini?!!.. Serikali ndio imewapeleka pale sio Chadema ndio maana umeona Msekwa anasema hili na yeye ndio mtunzi wa Sheria nyingi na vitabu vingi vya Mabunge ya Africa!!..Hiyo ndio siasa mkuu wale wabunge walipelekwa na chama.pale wameegeshwa tu ukiwatoa wale wabunge chadema sio chama kikuu cha upinzani kwa hiyo usishangae siku ikatoka taarifa kuwa wamesamehewa.
Si umeona mwenyewe Sumaye na Lowassa wako wapi pamoja na kauli nzuri walizotoa kwa upinzani na kejeli kwa chama tawala.Lisikuhangaishe hilo wenzako wameona mbali na siku wakiwasamehe akina Mdee watapata malimbikizo kibao ya ruzuku.aluta continua.