Yule ngoma zake za mwanzoni ndio zilikuwa Kali, za sikuhizi za kawaida sana. Hawezi kuwafikia kina Wizkid na Davido ambao tangu wametoka wanagonga hit after hit. Sema kuna wimbo wa Tekno nimeshindwa kuuchoka kabisa ule 'Where'Sio kitoto.
Ila wiz hawez mziki wa tecno yule dogo nae matata sana
Davido?
Starboy ni The Weeknd wa Marekani au sio ?Star Boy Wizkid na O.B.O Davido nani zaidi kwenye mziki wa Afrika na nje ya Afrika?
Starboy ni The Weeknd wa Marekani au sio ?
Sikujua hiloStarboy ni Album ya 3 ya The Weeknd yule M'Canada anaefanyia kazi zake Marekani,ilitoka 2016 ikiwa na ngoma kama Reminder, I feel it coming,Starboy,Party monster, Secrets nk.,,Na Wizkid aka yake ndo hiyo Starboy na ndo wakwanza kujiita ivo ata kabla ya Album ya The Weeknd.
Pamoja sana buddahSikujua hilo
Sikujua hilo
True Wizkid kaanza kujiita Starboy 2013/14 kabla huyo The Weekend hajatoka,kipindi hiko yupo chini ya Bank W.Starboy ni Album ya 3 ya The Weeknd yule M'Canada anaefanyia kazi zake Marekani,ilitoka 2016 ikiwa na ngoma kama Reminder, I feel it coming,Starboy,Party monster, Secrets nk.,,Na Wizkid aka yake ndo hiyo Starboy na ndo wakwanza kujiita ivo ata kabla ya Album ya The Weeknd.
Oooooh yeahNow you know.
Kumbe wizkd ashawahi kuwa chini ya Banky WTrue Wizkid kaanza kujiita Starboy 2013/14 kabla huyo The Weekend hajatoka,kipindi hiko yupo chini ya Bank W.
Tizama hiyo nyimbo yake ya On Top your matter (2014),mwanzoni kabisa utaona Starboy.
Yes aliondoka baada ya kumaliza mkataba wake.Kumbe wizkd ashawahi kuwa chini ya Banky W
Usimlimganishe wizkid na utopoloStar Boy Wizkid na O.B.O Davido nani zaidi kwenye mziki wa Afrika na nje ya Afrika?
Yeah mbugira[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Starboy ni The Weeknd wa Marekani au sio ?
Jua sasa katulie tuliSikujua hilo