KATI YA SUA,MZUMBE,MUCCOBs,UDSM,SAUTna UDSM KIPI CHUO BORA NA KWA SABABU GANI?

KATI YA SUA,MZUMBE,MUCCOBs,UDSM,SAUTna UDSM KIPI CHUO BORA NA KWA SABABU GANI?

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
wan jf ninaomba michango yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora wake il tukat mziz wa fitin
 
Ubora unatoka kwa msomaji mwenyewe na sio chuo. Kuna thread uliletwa hapa Ina title "DIGREE ZA CHUPI......!!!
 
wan jf ninaomba michango yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora wake il tukat mziz wa fitin

Ukate mzizi wa fitina we na nani? Hamna ligi za kipuuzi ka kushindanisha vyuo hasa hivi vya Tanzania. Chuo bora ni wewe mwenyewe.. Kama umetoka na msingi mbovu toka primary hata ukasome Harvard ni bure..
 
Nazani udsm,sua,ardhi,muhimbili,mzumbe,ndo viko hot.
 
vyuo vina kuwa graded kwa ubora kwa course zinazotoa mfano muhimbili ni bora kwa medicine n pharmacy, sua ni bora kwa agriculture mzumbe kwa mambo ya biashara nk, huwezi kushindanisha ubora wa vyuo wakati hazitoi course moja au zenye facult tofauti, Badili hilo swali lako maana halina mantiki yoyote
 
Watoto utawajua kwa maneno yao na mawazo yao!! Ficha Upumbavu wako ndugu,ni muhimu kila mtu akajua kuwa una busara kuliko kila mtu akijua kuwa wewe ni mpumbavu!!!!
Ningalikuwa na matusi,ningesema,"Wewe ni mpumbavu"
 
saaaaaafyyyy 🙂
vyuo vina kuwa graded kwa ubora kwa course zinazotoa mfano muhimbili ni bora kwa medicine n pharmacy, sua ni bora kwa agriculture mzumbe kwa mambo ya biashara nk, huwezi kushindanisha ubora wa vyuo wakati hazitoi course moja au zenye facult tofauti, Badili hilo swali lako maana halina mantiki yoyote
 
Mpigamsuli, tunahitaji sana constructive contribution kutoka kwako na si maswali au mawazo yasiyo na faida.
Tukusaidie kukujibu kuwa, Vyuo Vikuu vyote viko sawa baada ya kupata Ithibati ya NACTE, kozi zote lazima zitambuliwe na kusajiliwa na NACTE ili kutambulika. Kwa hiyo, hakuna chuo bora kuliko kingine ktk soko la ajira ila kuna products bora za vyuo hivyo.
 
HOPE udsm is the best of all.!! Hata ukimuuliza mzee yeyote alioko kijijini kwenu swali kama hili bila kusita atakuambia ni "MLIMANI" So udsm is the best Followed by hurbert kahiruk then vingne vinafuata..kwa uthibitisho zaid nenda google then u search the best universty in africa.. Then utapata majibu
 
Chuo bora kiko mtaani, we piga huo msuli at last you'll get to know!
 
mmh leo naona mmemwakia huyu dogo..! Leo mme m crush mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom