Kati ya Supplimentary na Carry-Over ipi inawekewa nyota kwenye cheti ngazi ya chuo kikuu?

Kati ya Supplimentary na Carry-Over ipi inawekewa nyota kwenye cheti ngazi ya chuo kikuu?

Ngoja niweke sawa
1. Hakuna star inayowekwa katika transcript

2. Star huwa inawekwa katika matokeo yaliyopo katika account yako ya online kuonesha somo ulilofeli

3. Si kweli ukiwa na sup haupati degree with hons.
Ushauri: Soma kwa bidii, hizi sup ziwe bahati mbaya sana sio nzuri kurudi September conference
Ahsante
 
Kama kwenye Supp hawawek chochote sasa huwa wanajuaje kuwa course fulan ulisapu kwenye interview!! maana kuna kaz zngne huwa wanatangaza kuwa uwe hujawah kusapu,sas watajuaje???
Kazi wanasema usiwe umesup?
 
Sup lazima iwe na star
Star utawekewa kwenye profile ya chuo ya mtandaoni ila at the end hamna cheti chenye alama yoyote' wewe uliesup na yule aliepata C hamtofautiani cheti kinakuja plain na grading zake
 
Hakuna kitu kama hicho we uwe na amani kijana, walikuwa wanaweka miaka ya zamani sana Ila kuanzia 2000's hiyo kitu ikasitishwa rasmi.
 
Mengine nimekuelewa ila hili nina mashaka.
Ooh nadhani sentensi yangu haikukaa sawa nimekusudia huo uvumi unaosema eti ukipata sup hupati degree with hons si kweli.

Ni kwamba unapata degree with Hons hata kama ulipata sup ilimradi tu uwe umezichomoa.
 
PAMBANA Hakuna Nyota yeyote iwekwayo kwenye transcript, Bali ukiwa na Ma "C" Mengi transcript yako inaonekana ulikuwa mtu wa Sup sana. Piga kitabu.

Kwa uhadhiri wanatazama vigezo vyao, Mara zote Ni G.P.A

Kingine jifunze kuandika maneno yakamilike, ukizoea kuandika uandikavyo utadharaulika baadae .
Naam
 
Ngoja niweke sawa
1. Hakuna star inayowekwa katika transcript

2. Star huwa inawekwa katika matokeo yaliyopo katika account yako ya online kuonesha somo ulilofeli

3. Si kweli ukiwa na sup haupati degree with hons.
Ushauri: Soma kwa bidii, hizi sup ziwe bahati mbaya sana sio nzuri kurudi September conference
Ahsante
Ni Kweli.
 
Back
Top Bottom