Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Yeah Manzese chap tu ukitaka kuingia townKokote naishi kati ya hizo sehemu mbili.
Ila ikatokea ni lazima nichague nitaishi Manzese kwakua ni kama pana access nzuri na barabara kuzidi Tandale.
Ila kote vyura wa kwenda wanapatikana na mimi hayo ndiyo mambo yangu.
Ya inawezekana.Labda anachanganyikiwa na kanisa la wasabato pale tip linaloitwa manzese sda church..
Tungekuwa mapacha nafikiri hili lingewezekana.Nafikiri jaribu tu kuishi kote kuwili ili upate ladha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi ktk ubora wako.Manzese ndo nilikokulia, uswahilini balaa. Unaanza kutafuta ukiwa na miaka 8....
Mbagala ndo nnakooshi....
Nalipa kodi ya nchi
Sivunji sheria
Usiku Mahaba kama kawaida.
Duuuh uchambuzi murua na makini.Tandale ni Makao Makuu ya Uchawi na Manzese ni Makao Makuu ya Ukabaji kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tandale kuna Mbu wengi na Manzese kuna Inzi wengi hasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Malaya wa Tandale unaweza Ukawakopa ila wa Manzese Malipo Kwanza.
Uzuri wa maeneo yote Mawili Tandale na Manzese ni kwamba hata ukiwa tu na Tsh 1,000/= unaweza Ukala chakula na Ukashiba ila hakikisha tu Dawa za Flagili hakiko mbali nawe na hukai mbali sana na kilipo Choo.
Tegemea kukutana na Paka wengi wasiokuogopa Tandale na Kukutana na Mbwa wengi Manzese ambao hutowaona muda wote ila ule wako wa Kupika na Kula Chakula chako utawaona.
Tegemea kukutana na Mashabiki wengi sana wa Simba SC, Liverpool FC na Manchester United FC Tandale na wa Yanga SC, Arsenal FC na Manchester City FC Manzese.
Wana CCM wengi utawakuta Tandale na Wapinzani wengi ( hasa CHADEMA ) utakutana nao Manzese.
Kodi za Kupanga za Tandale ni Nafuu ila zina Masharti hasa hasa ukiwa Bachela ila Kodi za Manzese ni juu kidogo ila uzuri wake hupangiwi aina ya Mgeni wa Kumuingiza ndani mwako.
Maduka mengi ya Tandale Condoms ni adimu sana ila Maduka ya Manzese utazikuta nyingi mno.
Misiba mingi inapatikana Tandale ila Majeneza mengi yanapatikana na Kuuzwa Manzese.
Ukitaka ujue kuitafuta Pesa ishi Tandale ila ukitaka ujue Kuhonga vyema ishi Manzese.
Ukitaka kuyajua Matusi mapya kaishi Tandale na ukitaka kuyazoea yale uliyoyasikia tokea ukiwa Mdogo kaishi Manzese.
Magonjwa Sugu ya Tandale ni Gono, Kaswende na Malaria tu ila kwa Manzese ni TB, UTI na UKIMWI kwa sana.
Tandale Kuchunguliwa wakati Unaoga ni Jambo la Kawaida ila kwa Manzese kupigwa Chabo ukiwa Faragha na Mwenza wako si jambo la Kuuliza au hata Kushangaa.
Kwa Mtu wa Kupenda Kujichanganya na kujua hadi Kuzoea Maisha na kuwa Mvumilivu Kimaisha na kwa Wanadamu wenzako maeneo yote haya Tandale na Manzese ni mazuri tu kwa Kuishi.
Binafsi napapenda pote tu Ndugu na nimepamisi mno hivyo nakushauri Kapange katika Nyumba iliyo mpakani mwa Tandale na Manzese.
Uko mbagala ipi?
Najiandaa kuwa mpangaji wako mwezi ujao.
Manzese na sehemu nyingine yaweza kuwa Bora kuishi IKIWA utatengeneza mazingira yako Bora na kuwa na mtazamo chanya na sehemu husika, ukija utanikuta pale manzese bakhresa wachafu camp nakunywa togwa ahaaaaaaaaaa.Kwann kaka?
[emoji23][emoji23]Nilitegemea kukutana na hikiAchana na mawazo ya kimasikini...uko unapopataja sio maeneo ya kuishi..tafuta maeneo mengine
Kila point noyoisoma nilikuwa namaliza na neno YES. Mkuu, unapafahamu fikaTandale ni Makao Makuu ya Uchawi na Manzese ni Makao Makuu ya Ukabaji kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tandale kuna Mbu wengi na Manzese kuna Inzi wengi hasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Malaya wa Tandale unaweza Ukawakopa ila wa Manzese Malipo Kwanza.
Uzuri wa maeneo yote Mawili Tandale na Manzese ni kwamba hata ukiwa tu na Tsh 1,000/= unaweza Ukala chakula na Ukashiba ila hakikisha tu Dawa za Flagili hakiko mbali nawe na hukai mbali sana na kilipo Choo.
Tegemea kukutana na Paka wengi wasiokuogopa Tandale na Kukutana na Mbwa wengi Manzese ambao hutowaona muda wote ila ule wako wa Kupika na Kula Chakula chako utawaona.
Tegemea kukutana na Mashabiki wengi sana wa Simba SC, Liverpool FC na Manchester United FC Tandale na wa Yanga SC, Arsenal FC na Manchester City FC Manzese.
Wana CCM wengi utawakuta Tandale na Wapinzani wengi ( hasa CHADEMA ) utakutana nao Manzese.
Kodi za Kupanga za Tandale ni Nafuu ila zina Masharti hasa hasa ukiwa Bachela ila Kodi za Manzese ni juu kidogo ila uzuri wake hupangiwi aina ya Mgeni wa Kumuingiza ndani mwako.
Maduka mengi ya Tandale Condoms ni adimu sana ila Maduka ya Manzese utazikuta nyingi mno.
Misiba mingi inapatikana Tandale ila Majeneza mengi yanapatikana na Kuuzwa Manzese.
Ukitaka ujue kuitafuta Pesa ishi Tandale ila ukitaka ujue Kuhonga vyema ishi Manzese.
Ukitaka kuyajua Matusi mapya kaishi Tandale na ukitaka kuyazoea yale uliyoyasikia tokea ukiwa Mdogo kaishi Manzese.
Magonjwa Sugu ya Tandale ni Gono, Kaswende na Malaria tu ila kwa Manzese ni TB, UTI na UKIMWI kwa sana.
Tandale Kuchunguliwa wakati Unaoga ni Jambo la Kawaida ila kwa Manzese kupigwa Chabo ukiwa Faragha na Mwenza wako si jambo la Kuuliza au hata Kushangaa.
Kwa Mtu wa Kupenda Kujichanganya na kujua hadi Kuzoea Maisha na kuwa Mvumilivu Kimaisha na kwa Wanadamu wenzako maeneo yote haya Tandale na Manzese ni mazuri tu kwa Kuishi.
Binafsi napapenda pote tu Ndugu na nimepamisi mno hivyo nakushauri Kapange katika Nyumba iliyo mpakani mwa Tandale na Manzese.
Watu ambao hawajawahi kuishi uswazi wanahisi yale maisha ya kule ni mazuri...yale sio maisha[emoji23][emoji23]Nilitegemea kukutana na hiki
Mbona mie nayapenda sana, ila sijabahatika kuishi kuleeWatu ambao hawajawahi kuishi uswazi wanahisi yale maisha ya kule ni mazuri...yale sio maisha
Shukuru Mungu..ungezaliwa kule sa hv pengine ungekuwa teja au mcheza vigodoroMbona mie nayapenda sana, ila sijabahatika kuishi kulee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye vigodoro hapo ndo napenda sana.Shukuru Mungu..ungezaliwa kule sa hv pengine ungekuwa teja au mcheza vigodoro