Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 850
- 656
“Habari zenu wkuu"
Naomba msada wa ufanuzi juu ya swala la thamani kati ya Kwacha ya Zambia na shilling ya Tz.
Mara nyingi nmekuwa nikisikia kuwa KWACHA ya Zambia haina thamani mbele ya SHILLING ya Tanzania. Hii ina maana kuwa shilling yetu ina thaman kulko kwacha ya Zambia.
Swali limenijia bada ya kuangalia currency exchange kwa kutumia dollar ambapo:
1$=Tzsh 2230/=
1$=Zkw 14 or 19 iv
Je?suala la thaman ya fedha likoje?
Naona Sis ndio tunaobeba fedha nying mfukon kuliko watu wa Zambia kwa matumiz yale yale kwa pande zote
Wakuu naomba ufafanuz wenu
NOTE:Nakubal kukosolewa ktk uchunguz wangu mdogo nilio ufanya
Naomba msada wa ufanuzi juu ya swala la thamani kati ya Kwacha ya Zambia na shilling ya Tz.
Mara nyingi nmekuwa nikisikia kuwa KWACHA ya Zambia haina thamani mbele ya SHILLING ya Tanzania. Hii ina maana kuwa shilling yetu ina thaman kulko kwacha ya Zambia.
Swali limenijia bada ya kuangalia currency exchange kwa kutumia dollar ambapo:
1$=Tzsh 2230/=
1$=Zkw 14 or 19 iv
Je?suala la thaman ya fedha likoje?
Naona Sis ndio tunaobeba fedha nying mfukon kuliko watu wa Zambia kwa matumiz yale yale kwa pande zote
Wakuu naomba ufafanuz wenu
NOTE:Nakubal kukosolewa ktk uchunguz wangu mdogo nilio ufanya