gear box yake inataka oil yake special ukitumia hizi za sijui total, engen lazima izingue ipe kitu inataka utaenjoyraum mkuu toyota ractis huwa zinasumbua sana gear box hasa kwenye mfumo wa gia
karibu sana jerry empire tukupatie gari ya ndoto yako kwa gharama nafuu na zenye ubora tupo ilala dar es salaam
0623953036
0659756647
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanzania halisi swali juu ya swaliWe umetumia kigezo gani na kipimo gani kusema zinabody sawa
Recommended Oil kwa ajili ya gear box yake ni ipi?gear box yake inataka oil yake special ukitumia hizi za sijui total, engen lazima izingue ipe kitu inataka utaenjoy
Mchango bora kabisaRactis na raum zinatumia engine moja( 1NZ) ingawa kuna Ractis ina matoleo mawili ya engine yaani 1NZ na 2SZ....pia Kwa upande wa body imara Toyota raum iko juu zaidi kuliko Ractis na hata Kwenye spare parts raum iko bei poa zaidi ya Ractis.
Tukija Kwenye upande wa comfortability hasa space ya ndani Ractis ina nafasi ya kutosha kuanzia siti zake za mbele na nyuma Ila kama unataka kumiliki Ractis zaidi ya miaka 5 itakuwa imechoka Sana na utashindwa kuuza Kutokana na body yake tofauti na raum unaweza ukaishi nayo Hadi wajukuu wakaitumia,hivyo angalia mwenyewe moyo wako unapenda nini
vp kuhusu sienta mzee babaRactis,Porte,Passo haya ni Vimeo Ila Kwa muonekano wengi wanaingia mkenge kuyanunua..
Hata Kwenye kuuza lazima utaabike zaidi ya miezi 6 ndipo ufanye biashara tofauti na mnyama raum hii gari ni zaidi ya Ractis mara 50
Sienta iko vizuri Mkuu hata sokoni bado bei yake haishuki sana......
Point to not pia ninkuwa ractis gear box ni CVT wakati raum ni ATFHizo gari zote zina engine sawa labda aangalie vitu vingine, raum ni pana kwa ndani kulikoa Ractis inafaa kwa familia ya kati/ndogo. Ractis nafikiri kuna zinazokuja na seats 2 za watoto nyuma kabisa unazikunja. Baadhi ya Raum zipo chini sana kuliko Ractis.
Zote zina matatizo sawa kwenye oil, 1NZ-FE ukicheza kidogo tu unakaanga engine, kuwa makini na oil za engine na gearbox, coolant n.k, zina tabia ya kutengeneza ukoko kwenye Sampo!!
Note: 1NZ-FE recommended for only 200,000 Km life span.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kaka, RACTIS iko mchanganyiko iko CVT na AT pia;Point to not pia ninkuwa ractis gear box ni CVT wakati raum ni ATF
Ractis ni CVT....raum mkuu toyota ractis huwa zinasumbua sana gear box hasa kwenye mfumo wa gia
karibu sana jerry empire tukupatie gari ya ndoto yako kwa gharama nafuu na zenye ubora tupo ilala dar es salaam
0623953036
0659756647
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you sure kaka kwamba Ractis ni only CVT kwamba hakuna norma AT??Ractis ni CVT....
Are you sure kaka kwamba Ractis ni only CVT kwamba hakuna norma AT??
Hebu sema neno kuhusu hii
View attachment 2075444
Mbona Kuna 2wheel hapo kaka?? Sio kwamba nakupinga ila nataka kupata taarifa sahihi?? Kwamba hao jamaa kwenye Site yao wanatoa taarifa sio au wewe umetoa taarifa sio?? Nisaidie maana nataka nivute hii kwa ajili ya mzee wangu.Ractis za AT ni limited edition.....
Zipo chache mno... af ni 4WD....
Ractis toleo la Kwanza XP100Mbona Kuna 2wheel hapo kaka?? Sio kwamba nakupinga ila nataka kupata taarifa sahihi?? Kwamba hao jamaa kwenye Site yao wanatoa taarifa sio au wewe umetoa taarifa sio?? Nisaidie maana nataka nivute hii kwa ajili ya mzee wangu.
Nimekupata kaka, So huenda hiyo description Befoward wamekosea??? Au huenda zipo ila hujawahi kuziona Physically??? Samahan lakini kama nasumbua; Nataka kujua tu2WD af iwe AT kwa Ractis sijawahi kuiona.
Nimekupata kaka, So huenda hiyo description Befoward wamekosea??? Au huenda zipo ila hujawahi kuziona Physically??? Samahan lakini kama nasumbua; Nataka kujua tu