Muhimu bora mkono uende kinywani.NB: Naomba hii mada ijadiliwe na watu wenye uelewa sio kila mada ina mrengo wa utani na masihara. Kama huna hoja ukae kimya ujifunze.
Wadau nimeona katika teuzi za leo Bw. Daniel Chongolo former General Secretary wa CCM ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa. Hii ni promotion au demotion? Tunaomba watu wenye uelewa wa masuala haya watufahamishe.
Mkuu wa mkoa analazimishwa kuwepo mkutano wa katibu wa chama na kujibu hoja na maswali atakayoulizwa,pia anapokea maelekezo kwa mikono miwili .Kwa wewe anayepokea maelekezo na anayetoa maelekezo nani mkubwaNB: Naomba hii mada ijadiliwe na watu wenye uelewa sio kila mada ina mrengo wa utani na masihara. Kama huna hoja ukae kimya ujifunze.
Wadau nimeona katika teuzi za leo Bw. Daniel Chongolo former General Secretary wa CCM ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa. Hii ni promotion au demotion? Tunaomba watu wenye uelewa wa masuala haya watufahamishe.
Acha na hayo mambo wewe.NB: Naomba hii mada ijadiliwe na watu wenye uelewa sio kila mada ina mrengo wa utani na masihara. Kama huna hoja ukae kimya ujifunze.
Wadau nimeona katika teuzi za leo Bw. Daniel Chongolo former General Secretary wa CCM ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa. Hii ni promotion au demotion? Tunaomba watu wenye uelewa wa masuala haya watufahamishe.
Unaweza kujiuliza na swali hili Dr. Mashinji aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA ilikuwaje akubali uteuzi wa kuwa DC tena mkoani.NB: Naomba hii mada ijadiliwe na watu wenye uelewa sio kila mada ina mrengo wa utani na masihara. Kama huna hoja ukae kimya ujifunze.
Wadau nimeona katika teuzi za leo Bw. Daniel Chongolo former General Secretary wa CCM ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa. Hii ni promotion au demotion? Tunaomba watu wenye uelewa wa masuala haya watufahamishe.
Wewe ambaye huwa hujadili watu, umevumbua hata kibatari cha kuwasha?Dah wee jamaa bana mada zako kila siku ni kujadili maisha ya watu
Vyama Shikizi πππHii sio demotion kwa kuwa kateuliwa kuwa RC akitokea Mtaani
ingekuwa ametoka kuwa Katibu Mkuu akawa RC ingekuwa demotion
tuna Makatibu Wakuu wawili walitoka kwny u RC na kuwa Katibu Mkuu wa CCM
Philip Mangula alitoka kuwa RC Kagera akawa Katibu
Yusuph Makamba alitoka kuwa RC Dsm akawa Katibu Mkuu
ila Makatibu wakuu wa vyama shikizi vyote vilivyobaki wanatamani sana kupata fursa ya kuwa RC
Nji ndiyo nn?Inaonelana Mjumbe tayari una jibu lako mfukoni, sioni kama una niacya dhati kuelimishwa. Lakini ngoja nijsribu. Rais ni Rais wa Kila mtu,ni kama Mbinge ambaye Jimbo lake ni Nji nzima. Ndiye Mkuu wa Nji, Amiri Mkuu wa Majeshi. Anaweza kuthibitisha unyongwe au usinyongwe. Mtu hiyo Si maskhara wachana na wapuuzi kama Dr Slaa anayedai Rais ni mtumishi wake. Kwa vile Rais ni mtu moja hauwezi kuwa Kila mahali na kukalia Kila kiti, ana madaraka pia ya kuteua wa kumwakilisha, iwe Muhimbili au TANESCI au JWTZ au Tarafa ya Njiro. Au kuwa Mkuu wa Mkoa. Kujibu swali lako Rais ni mkubwa kuliko Katibu Mkuu wa CUF. Like I said, nadhani uliuliza kwa Nia nziri nimekujibu kwa Nia nziri. Kuhudu Chongolo kama Chongolo hili tuliachie siku ingine
Ukatibu Mkuu ni mkubwa zaidi. Chama kinaunda serikali na serikali inatekeleza ilani ya chama ambacho msimamizi wake ni katibu mkuu. Kwa mantiki hiyo katibu mkuu anamsimamia mkuu wa mkoaNB: Naomba hii mada ijadiliwe na watu wenye uelewa sio kila mada ina mrengo wa utani na masihara. Kama huna hoja ukae kimya ujifunze.
Wadau nimeona katika teuzi za leo Bw. Daniel Chongolo former General Secretary wa CCM ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa. Hii ni promotion au demotion? Tunaomba watu wenye uelewa wa masuala haya watufahamishe.
SignedKatibu Mkuu wa Chama ni mtendaji Mkuu wa Chama chake. Mkuu wa Mkoa ni mwakilishi wa Rais katika mkoa wake. Kwa hiyo anaongoza watu wote wanao ishi katika mkoa wake bila kujali vyama vyao. Aidha, ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wake.
Amandla...
Taifa lake !!!!.......huyo KM ana nguvu kwa majizi menzake huko huko ccmHakuna cha promotion wala demotion, nafasi ni nafasi kwa wakati wake
Wote ni watendaji ila eneo la kufanyia kazi ndio dogo kwa RC na pana sana kwa KM
RC ana nguvu kwenye mkoa wake, na KM-CCM ana nguvu kwa Taifa lake