Kati ya Usher Raymond na R-Kelly nani mkali zaidi ya mwenzake kwenye miondoko ya R&B ?

Kati ya Usher Raymond na R-Kelly nani mkali zaidi ya mwenzake kwenye miondoko ya R&B ?

Naona unaanza kumfananisha baba na kaka, au Simba na mbwa [emoji23][emoji23][emoji16][emoji3] hebu niachie huyu jamaa yangu wa Storm is over au tazama kale ka Trapped in the closet utaelewa nachozungumza
 
Usher mwenyeww ukimuuliza atakwambia R-kelly ni mkali.
Sasa mimi na wewe ni akina nani wa kupingana na hilo.
 
Hivi ulikua hauna kazi ya kufanya ama nini?
Haki ya nani ungekua karibu ningekukata makofi ya nguvu ili kutikisa huo ubongo ambao haujakaa sawasawa!!!
Unawezaje kumfananisha R.Kelly na upuuzi!?
 
Mtoto wa Usher aliwahi kusema .."baba ni bora kwenye kucheza ila sio kuimba".
R.KELLY aachwe kama alivyoachwa MICHAEL JACKSON.
 
Nilichogundua hapa nadhni ishu kubwa ni umri, nahisi wenye umri mdogo wanaona usher ni mkali kwa sababu shughuri ya r kelly hawaijui vizuri, R Kerry amehit kila nyimbo aliyotoa au kutunga, ukisikiliza nyimbo kama all my days ya changing faces ft Jay z n R Kelly, fiesta, storm is over na nimbo nyingi sana za Aaliyah na nyingi ambazo zimatajwa huko nyuma nazani utamjua R Kerry vizuri. Labda R Kerry umfananishe labda na akina Baby Face, P,Diddy nk lakini sio Usher. Usher labda umfananishe na akina Ray J, Justin Timberlake nk
 
USHER.. anajua ww.. yule mtu kucheza yupo fiti.. sauti anayo.. sasa huyo Rkelly anaimba kama anafanya MAPAMBIO
 
Back
Top Bottom