Kati ya Vanessa Mdee na Juma Jux nani amepatia?

Nonsense
 
Bro ukishatoka marekani safari inayofuata nikuelekea mars, maana umesha experience maisha ya style 3 tofauti yani yadunia 1,2, na hii dunania 3.

Swala lahela ni hustlin zako, jux ana show off nyingi lakin hajui kujiongeza, simsemi kama namchukia ila that's the reality.

 
 
Hiyo ni saikolojia ya mahusiano
 
ulijuaje kama Tanasha ana sifa za u wife material ulijuaje?? Ulishawahi kukaa nae
Kuna wakati mwingine unamjua mtu kupitia lifestyle yake ya maisha kupitia mitandaoni mfano youtube, insta yake pamoja na kuongoa kwake Kama tunavyomjua gigy money, diva, wema sepetu, Vera sindika, Kim Kardashian n.k
 
Mtoa mada kwa jinsi ulivyoandika kwa hasira nakushauri meza hedex upumzike, duuuh!
 
Kuna wakati mwingine unamjua mtu kupitia lifestyle yake ya maisha kupitia mitandaoni mfano youtube, insta yake pamoja na kuongoa kwake Kama tunavyomjua gigy money, diva, wema sepetu, Vera sindika, Kim Kardashian n.k
Hivi vyote ulivyovitaja mtoa Mada una hakika gani hajavitumia??
 
Kwani hapa vanesa ndo yup na huyo mwanaume ndo yup?
 
Veemoney kapatia aisee watu anao hang nao kwa sasa jux ataishia kuwaona kwenye luninga vee ataendelea kuwa juu tu mitandao mikubwa isha muandika jamaa kule us ni actor pia musician nk.so chain la masela na washikaji wake sio kipole marafiki wa mume lazima wakutane na shemeji yao upande wa jux uyo mchina hana ata jina ni kama videmu tu vile vya mtandaoni unaagizia ka soda tu vee kaokota jiwe la dhababu lazima ang'ae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu we ni jinsia gani?
 
Huyo demu wa jux sajali mwili mzima feki,si bora v money na mtuwe,kwanza humjui vizuri huyu rotimi wewe jamaa yupo vizuri kimziki na uigizaji na kifedha patamu na konekshen na mastaa wakubwa ndio balaa so mbaka hapo vmoney kambwaga mbali hasimu wake,hao watailend baili kichizi jux anapambana na hali yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…