Kati ya wanao lumbana CHADEMA, unadhani nani ana uwezekano mkubwa zaidi wa kutimkia CCM na nani anadalili zote kutimkia vyama vingine vya siasa nchi?

Kati ya wanao lumbana CHADEMA, unadhani nani ana uwezekano mkubwa zaidi wa kutimkia CCM na nani anadalili zote kutimkia vyama vingine vya siasa nchi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Friends, ladies and gentlemen.

Unadhani nani atakua wa kwanza miongoni mwa viongozi waandamizi CHADEMA wanaozodoana na kulumbana hadharani kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, atashindwa kustahimili mgandamizo wa joto la kisiasa ndani ya chadema na kukimbilia kwingineko?

Unadhani wa kwanza ataelekea wapi kwa mfano?

Na je,
CHADEMA inaelekea zama mpya.

Na kinachoendelea ni mwanzo wa mwisho wa CHADEMA au mwanzo wa CHADEMA mpya, na kivip?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Friends, ladies and gentlemen.

Unadhani nani atakua wa kwanza miongoni mwa viongozi waandamizi chadema wanaozodoana na kulumbana hadharani kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, atashindwa kustahimili mgandamizo wa joto la kisiasa ndani ya chadema na kukimbilia kwingineko?

Unadhani wa kwanza ataelekea wapi kwa mfano?

Na je,
Chadema inaelekea zama mpya.
Na kinachoendelea ni mwanzo wa mwisho wa Chadema au mwanzo wa Chadema mpya, na kivip?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe unatimkia chadema,choice act na jo anasalia
 
Friends, ladies and gentlemen.

Unadhani nani atakua wa kwanza miongoni mwa viongozi waandamizi chadema wanaozodoana na kulumbana hadharani kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, atashindwa kustahimili mgandamizo wa joto la kisiasa ndani ya chadema na kukimbilia kwingineko?

Unadhani wa kwanza ataelekea wapi kwa mfano?

Na je,
Chadema inaelekea zama mpya.
Na kinachoendelea ni mwanzo wa mwisho wa Chadema au mwanzo wa Chadema mpya, na kivip?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Lissu ataondoka ila hawezi kwenda Fisiem Zaidi zaidi atasajiri chama kipya kitakuwa na nguvu Kuliko ata Chadema..
 
Chadema haiwez kubadilika na kamwe mbowe hawaz kukiacha chama chake labda mwenzake anaweza kuondoka
Gentleman kwa kuzingatia kinachoendelea kwa sasa chadema,

nani kwa mfano anaweza kuondoka mapema zaidi kwa hiyari yake au kwa kutimuliwa kwa vikao halali vya chama na kwa mujibu wa katiba ya Chadema?🐒
 
Lissu akitimkia CCM atakuwa atakuwa Masumbuko Lamwai wa pili.
Lissu hawezi kwenda CCM na wala hakuna ugomvi wa kumfanya atimke.

Ni mambo ya kuwekana sawa, kama ana hoja basi atasikilizwa na zitajadiliwa tatizo lipo wapi?

CDM kuna uhuru wa mwanachama kuongea kama anaona kuna baadhi ya mambo hayaendi sawa.
 
Chadema kama brand haina shida, tatizo lipo kwa watu wachache waliotumia na wanaotumia hiyo brand kwa manufaa yao na sio kwa manufaa ya chama na wananchi kwa ujumla, hivyo hao watu wakiondoka inaweza kuwa haueni kwa chama ikiwa kitasajili watu wazalendo wenye nia ya kweli ya upinzani.
 
Hata chadema yote ikiwa ccm upinzani utaibuka tu kwa sababu upinzani ni ideology na sio chama.
 
Lissu hawezi kwenda CCM na wala hakuna ugomvi wa kumfanya atimke.

Ni mambo ya kuwekana sawa, kama ana hoja basi atasikilizwa na zitajadiliwa tatizo lipo wapi?

CDM kuna uhuru wa mwanachama kuongea kama anaona kuna baadhi ya mambo hayaendi sawa.
huo uhuru umeanza lini gentleman?🤣

unataka kumpotosha nani kwa mfano humu jukwaani?

sasa,
kwa mfano maelezo marefu namna ile ya mkurugenzi wa itifaki kwa eti niaba ya Chadema ni ya nini ikiwa chadema kuna Uhuru wa kuongea?

kwanini viongoz kuzodoana hadharani sasa kwamba anasema chadema haikujiandaa kwa uchaguzi anafanya kazi ya CCM?

haiwezekani popote ulimwengu eti pakawa na chama chenye itikadi au uelekeo moja, halafu all over the sudden kila moja akaanza kuzungumza yake na kuwazodoa wenzake hadharani nje ya chama au taasisi yao.

hakuna mahali mnaweza fika gentleman. Vita vinapiganwa kwa umoja ili kumshinda audui 🐒
 
Chadema kama brand haina shida, tatizo lipo kwa watu wachache waliotumua na wanatumia hiyo brand kwa manufaa yao na sio kwa manufaa ya taida na wananchi kwa ujumla, hivyo hao watu wakiondoka inaweza kuwa haune kwa chama ikiwa kitasajili watu wazalendo wenye nia ya kweli ya upinzani.
sure,
mtu anaitisha press conference kwa platform ya Chadema halafu anazungumzia maoni au mambo yake binafsi, inashangaza sana kwakweli 🐒
 
Back
Top Bottom