Sikufahamu kabisa ila naweza kuotea kuwa imetoka kwenye familia ambayo mama ana sauti sana kuliko baba, au familia ya single mother, au familia ambayo umelelewa na kukulia sana upande wa ukoo wa mama yako zaidi.
Hili linajidhihirisha kwa namna unavyojenga hoja zako kwa kuforce kueleweka au kukubalika kuwa unajua sana na kuelewa wanawake kushinda wanaume wote.
Hapa kwa kifupi unachofanya tunaita unasell out kwa wanaume wenzako au tutumie neno common wewe ni simpleton so unasimp.
Wanawake hawavutiwi na wanaume wanaonyesha udhaifu wa hoja kama wewe maana hata wao mwisho wa siku wanajua wanafanya mambo mengi kwa kukosea na wanategemea wanaume tushike nafasi zetu kwenye kuwaongoza.
Huwezi ongoza watu ambao unafanana nao upeo wa kifikra. Wanaume wana namna yao ya kuona mambo tofauti na wanawake. Huu mtazamo wako ni wakike na umechemka sana.
1. Mwanamke habebi ujauzito wa mwanaume ambaye hajataka kuzaa nae hata siku moja. Ukisema wanaume wanapachika mimba na kukimbia hapo umeongelea upande m'moja tu wa hii situation. Upande wa pili yupo mwanamke asiye wajibika na maamuzi anayofanya. Unabebaje ujauzito wa mwanaume ambaye hajakuposa, hajaja kujitambulisha kwenu, hakuna urasmi wa mahusiano yeye anabebaje mimba? Halafu ndipo wanakuja watu kama wewe na kuwakingia kifua kuwa sio kosa lao bali ni la wanaume huo ni upumbavu tu wa kukosa mshipa wa aibu na kuongea vitu ambavyo havina mashiko.
2. Unapozungumzia ndoto za mwanamke ni zipi hizo? Ndoto za kuwa boss lady ambazo huwa hazitimii? Waulize hapa wanawake ndoto zenu ni zipi na huwa zinaishia kuwaacha mazingira yepi utaelewa vema namna umepuyanga na hii hoja yako.
Hivi nje ya maisha ya ndoa mwanamke ana maisha gani? Naomba tu wewe utuelezee kwa kina kwamba mfano binti aamue kuachana na maswala ya Ndoa then aanze sasa kuhangaika na ndoto zake huwa mwisho inakuja kuwa vipi? Mwanamke ana muda mfupi sana wa umri kati ya miaka 16 hadi 29 kucheza kadi zake vema. Akivuka tu huo muda tayari anakuwa chizi fresh na huko nje atakutana na kila aina ya majanga, kuanzia kuzaa na wanaume za watu, kukutana na wanaume reject, kuwa na high body count, kuzaa na watu ambao hana future nao, kuwa single mother, stress, matatizo ya akili, magonjwa yasiyo ya kuambikiza kama kisukari na pressure, etc. Yote kwaajiri ya nini sasa?
3. Jambo usilolijua kuhusu wanawake ni kwamba hawajaumbwa kudeal na mwanaume pekee yao. Yaani mwanamke m'moja hawezi ishi na mwanaume pekee yakw bila msaada wa wanawake wenzake. Kinachofanya hili jambo lionekane ni geni ni mataifa ya magharibi na ideologies zao kuaminisha jamii yoyote kuwa mwanaume m'moja huwa na mwanamke m'moja tu na ndio mapenzi ya kweli. Hiyo si kweli.
Ushahidi wa kuwa mwanamke hajaumbiwa kuishi na mwanaume pekee yake ni kwenye maeneo yafutayo.
> Wanawake hawawezi kuridhika kingono hadi wakutane na mwanaume mzoefu anayejua trick za kila aina za namna ya kumpa mwanamke raha. Hii experience mwanaume anapata wapi akiwa na mwanamke m'moja tu?
> Wanawake ndani ya siku 30 hutumia siku tano na zaidi kuingia period, kuna siku hatokuwa sawa kihisia, ubusy wa majukumu ya familia, uchovu na kadhalika. Hizi vitu kwa ujumla wake vitamtaka mwanamke ndani ya siku 30 kuwa na ufanisi mdogo sana kitandani. Sasa jiulize ni mwanaume gani ambaye ni rijali atakaa na mwanamke siku 30 za kila mwezi na kuwa na siku labda 5 tu za kupata full attention ya mkewe ili kufurahia mahaba?
> Mwanamke anabeba ujauzito miezi 9 na anahitaji kufocus na mtoto kwa muda wa miaka siyopungua 3 ndipo anaweza rudisha akili kwa mumewe. Mwanaume gani ataweza vumilia kuona anatengwa kihisia kwasababu za kihalali kabisa za malezi ya mtoto?
> Tafiti zinaonyesha wanawake hawajui wanalotaka na hivyo kuongozwa ndio tiba ya hilo tatizo. Kukiwa na mfumo rasmi wa kijamii na makubaliano, inawezekana kabisa wanawake 6 kukaa na mwanaume m'moja na wakatulia na kuishi na kufanya maendeleo bila shida. Ila kasumba ya kutoshare mume ambayo inatengenezwa na wazungu ndio chanzo cha mivutano kwenye ndoa za waafrika ambao sio asili yetu kuoa mke m'moja tu, wake ni kuanzia 6 hadi 12.
Jidanganye kuwa wanawake wanaumia hisia kuona mwanaume wake ana mwanamke au wanawake wengine. Kinachokuwa kinampa machungu mwanamke hapo ni kuwa hakuna mfumo rasmi unaolinda maslahi yake na watoto alipata na mwanaume wake, anahofu anaweza pinduliwa dakika yoyote na kupokonywa mali za mumewe. Ila walikaa nyumba moja na kushare matunzo ya mume utaona wanatulia na watamtii tena sana huyo mwanaume.
Sheria ipitishwe tu jamii ibadili mitazamo utaona wadada watakavyogombania uke wenza tena wa kuishi nyumba moja bila kelele zozote. Hapa sasa hivi wanajishaua sababu wanapata maslahi fulani fulani nje ya ndoa ndio maana.
Naona umeamua kuwa mpotoshaji kwa kuvu zote. Nimekushusha sana vyeo.