Kati ya Wanaume na Wanawake nani mabingwa wa kuharibia wenzao maisha?

wanawake wapo chini ya wanaume,sisi tuki fail kuwasimamia ndo mambo yanaenda kombo
tukiwawezesha wanaweza
 
Nimeamua tu kumuachia mungu lakini wanawake wa jamii forums wameniharibia sana maisha, lakini siachi kuwapenda mpaka waniue
 
Nafikiri somo limemuingia umemaliza kila kitu
 
Wanawake wanafanywa vibaya ndiyo mana mpaka kuna visheria vingi kuwalinda na bado maumivu yapo ila laiti kama hizo sheria zisingekuwepo sijui.
 
Nadhani wanawake ndiyo mabingwa...

Sababu mwanamke analindwa na Sheria zaidi ya 200 dhidi ya mwanaume...

Ila mwanaume analindwa na Sheria moja tu... Haki ya kupumua basi...


Cc: Mahondaw
 
Haki ya kupumua lol
Nikikushika chuchu kosa...
Nikikushika kiuno kosa...
Nikikushika ta.ko kosa...
Nikikukonyeza kosa...
Nikikuangalia nimekutamani kosa...
Nikikushika nyuchi kosa...
Nikikufanya nikakupa mimba kosa miaka 30 inanihusu...
Ukinisema vibaya nitakurudishia kosa...
Ukinipiga nikakunyosha kosa...
Nikikunyima kosa...

Kilichokua siyo kosa kwetu dhidi yenu ni kupumua tu...
 
Mie nifanyie vyovyote utakavyo
 
Wanawake Mzee wamefanya mpaka Papa anatukanwa kisa wamezaa Mashoga na Wasagaji

Pardon my language 😭
Walijipa mimba wenyewe? Je kama ushoga ni vinasaba vya baba?
 
Kila kitu kwa muda muafaka na kwa makubaliano!
 
Naenda kuprint hii
 
Safi sana!
 
  • Ukikutana na mwanamke akakamata akili yako kisawasawa, Kwa kutumia mbinu za kiafrika, urudi huku utoe taarifa.
  • Itakuwa huwajui wanawake vizuri - you are too junior.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…