GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
babra bwana ana sauti nzur na hata muonekano pia
babra bwana ana sauti nzur na hata muonekano pia
ndi kinanani hao wapo bbc.cnn.aljazeera au ni wale wa vipindi vya mchana vya kina bi hindu na mitaabu yao
Ila mfupi sana.
Fina Mango sijui kapotelea wapi?
Wote hawavutii kimuonekano tena huyo Kijana ndo mbovu hana hoja mweupe kichwani na ule mkorogo sasa.Babra ana sauti ila mvuto zero anahitaji mazoezi kanenepa ka kiboko.
Weka picha zao basi tuwaone
Weka picha zao basi tuwaone
Ila mfupi sana.
Fina Mango sijui kapotelea wapi?
Wote hawavutii kimuonekano tena huyo Kijana ndo mbovu hana hoja mweupe kichwani na ule mkorogo sasa.Babra ana sauti ila mvuto zero anahitaji mazoezi kanenepa ka kiboko.
Wote hawavutii kimuonekano tena huyo Kijana ndo mbovu hana hoja mweupe kichwani na ule mkorogo sasa.Babra ana sauti ila mvuto zero anahitaji mazoezi kanenepa ka kiboko.
Nilikuwa napita ila we umenirudisha ..
Kwani kiboko hana mvuto na je unene hauvutii.
Hizi ni media propaganda za Hollywood kwamba watu wanene sio watu wa media na hata kama wakiwepo Basi kwenye scene ya vichekesho au wabaya flani hivi they don't give a credit to BBW.
Mie Binafsi I love my mpenzi ambaye ni bonge na ni most beautiful on my eyes .
Kwangu unene hauvutii na wala haupendezi hata kiafya mwili mkubwa chanzo cha magonjwa mbali mbali .Tena Babra na ule ufupi angepunguza unene angekuwa vizuri mana namwona mnene mno hadi huwa kama anashindwa kupumia.Nakupa hongera kumpenda mpenzi wake pamoja na ubonge wakati mwisho wa siku kila mtu na interest zake wanaopenda mabonge, wengine viportable.
Kwangu unene hauvutii na wala haupendezi hata kiafya mwili mkubwa chanzo cha magonjwa mbali mbali .Tena Babra na ule ufupi angepunguza unene angekuwa vizuri mana namwona mnene mno hadi huwa kama anashindwa kupumia.Nakupa hongera kumpenda mpenzi wake pamoja na ubonge wakati mwisho wa siku kila mtu na interest zake wanaopenda mabonge, wengine viportable.