Kati ya watangazaji hawa maarufu, nani ni zaidi ya mwenzake?

Kati ya watangazaji hawa maarufu, nani ni zaidi ya mwenzake?

Kumbe Ndiyo Maana " Barabara Ya Hassani " Huwa Anapenda Mno Kuvaa High Heels Ili Kutuficha Sisi Watu UMBILIKIMO WAKE! Leo Tumejua.

Na ndio maana wadada wengi wafupi hupenda high heels kufidia kimo mfano Lulu pia huwa vinapendezesha wadada.
 
Ahsante but hapo kwenye magonjwa sayansi bado inakizunguzungu coz every day people dies whether ni wanene au wembamba na hakuna report yoyote ya kitabibu inayoonesha watu wanene ndio wanaongoza kwa magonjwa sana kuliko wembamba..

The fact is we always choose what is bad and what is good and the media ndio kitu pekee kinachotushape saikolojikali kuwa hivi ni sawa na taswira ya mtu mweusi ilivokuwa hapo zamani..

Acha maneno ya kujifariji mkuu huyo demu wako mwambie afanye nazoezi mwili upungue unasingizia tu media bure nijuavyo unene ni matatizo makubwa sana tu hafu hata MTU bonge havutiii kabisa zaidi ya kuwa tepetepe na mzito kuliko kimo.
 
kijana chunusi ni nani? mi namjua babra tu
 
Barbara
 

Attachments

  • Barbra.JPG
    Barbra.JPG
    64.6 KB · Views: 450
Acha maneno ya kujifariji mkuu huyo demu wako mwambie afanye nazoezi mwili upungue unasingizia tu media bure nijuavyo unene ni matatizo makubwa sana tu hafu hata MTU bonge havutiii kabisa zaidi ya kuwa tepetepe na mzito kuliko kimo.

Poa..Ntamwambia afanye mazoezi ila amini nakuambia mimi sijifariji coz I'm happy n I love the way she is..as all we need is not a media beautification..

Unene haujawai kuwa matatizo makubwa tokea dunia ianze but juzi hapa tumeona makampuni ya ulimbwende ya huko ufaransa kupigwa bit na serikali walirecruit watu wenye nyama na sheria mpya imepitishwa kuongoza vipimo kuwa vikubwa kidogo coz wembamba ni matatizo yanasababisha vifo vingi sana kwa warembo.

Uko marekani kuna taasisi na makampuni ukichanganya na makanisa ambayo yanapinga hii propaganda kwamba unene sio uzuri coz hii inapelekea wasichana kujinyima kula na kuwa hawana afya na nguvu kazi na kusababisha vifo vingi miongoni mwao # loveyourself

Halafu mwanamke mbona uzuri unapushiwa na vitu vingi mfano..vipodozi, nywele bandia,mafuta, nguo, viatu na vingine vingi....what if kungekuwa hakuna hivo vitu nilivovitaja... I'm a man speaking from experience
 
Acha maneno ya kujifariji mkuu huyo demu wako mwambie afanye nazoezi mwili upungue unasingizia tu media bure nijuavyo unene ni matatizo makubwa sana tu hafu hata MTU bonge havutiii kabisa zaidi ya kuwa tepetepe na mzito kuliko kimo.

Shoga....khaaaaa!!!
 
Mrembo
 

Attachments

  • barbara.jpg
    barbara.jpg
    53.7 KB · Views: 249
Zile sheria zinasainiwa lini wajameni ?
 
Kuna vitu mtu anaviuliza unajua kabisa huyu anachuki ni vile tu wao tunawaona lakini wewe hatukuoni tungekutoa kasoro zako na wewe
 
Back
Top Bottom