Kati ya Watanzania Milioni 64, Maprofesa ni 226 tu. Baba wa Taifa ndiyo wa kubeba hii aibu

Kati ya Watanzania Milioni 64, Maprofesa ni 226 tu. Baba wa Taifa ndiyo wa kubeba hii aibu

Tukiambiwa Tanzania ni Nchi ya wajinga hatutakiwi kubisha.

Yaani Taifa lenye watu takribani Milioni 65 linakuwa na Maprofesa 226 huku Full Professors Wakiwa 63 na Associate Professors Wakiwa 163 tuu,na hizi ni takwimu za 2023.

Tukilinganisha na Wenzetu Kenya wao wana maprofesa 1,619 Kwa takwimu za 2019.Kati Yao Full Professors Wakiwa 710 na Associate Professors Wakiwa 979.

Kiufupi Tanzania ni ya Mwisho level Moja na Burundi Kwa kuwa na jamii yenye Elimu Duni(Mbumbumbu) Kwa Kanda ya hapa Africa Mashariki..

Anaetakiwa kubeba aibu hii kwa sehemu kubwa ni Hayati Mwalimu Nyerere maana huyo bwana yeye hakutaka kabisa ku priotise Elimu Kwa sababu anazozijua yeye na in short ni sababu za Kisiasa kuogopa challenges kutoka Kwa Wasomi ndio sababu aliwatia kizuizini na wengine wakakimbilia uhamishoni.

Hakuna shule Mpya alijenga ukiacha za wakoloni Wala kuhangaika kuwaendeleza watu kielimu.Kitu pekee alichofanya ni kuwapa watu Elimu ya UPE waweze kusoma na kuandika Kwa level ya basic education tuu.

Wanyime watu Elimu Ili uweze kuwatawala.Hii tabia imekuwa inafanywa sana na Viongozi wa lile Dhehebu.Bila JK na Sasa Samia kupanuka Elimu ,Tanzania itaendelea kuwa na watu wajinga ambao wanalishwa propaganda na Watawala.

Mathalani JK ndio alianzisha na kukuza sana shule za Sekondari Kila kata,akaalika private sector kuwekeza kwenye Elimu na awamu yake ndio kulianzoshwa vyuo vikuu vingi sana.

Baada ya hapo Rais Samia nae Kwa Sasa anajenga maelfu ya miundombinu ya Elimu,amewaondoa Watoto wa kike kunyimwa Elimu Kwa visingizio vya mimba na anajenga Veta Kila Wilaya na vyuo vikuu Kwa Kila Mkoa ambao hauna Chuo Kikuu walau tuweze kushindana na Dunia badala ya kuogopa Wageni.

My Take
Dunia ya Sasa bila Elimu na maarifa ni kunidanganya,tupeleke Watoto kupata Elimu badala ya kuogopa Wageni Kwa visingizio visivyo na msingi.
---

Mbunge ataka juhudi za kuongeza maprofesa​

Dodoma. Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Dk Oscar Ishengoma amehoji idadi ya maprofesa wanaozalishwa nchini na wale wanaostaafu, huku Serikali ikisema hadi kufikia mwaka 2022, Tanzania ilikuwa na maprofesa 226.

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga, amesema:Profesa ni ngazi ya kitaaluma, ambayo mhadhiri au mtumishi wa taasisi za elimu ya juu huifikia baada ya matokeo ya kazi za kitaaluma ikiwemo kufanya machapisho na ufundishaji,” amesema na kuongeza;

“Hivyo kupanda cheo kwa mwanataaluma kunatokana na jitihada za mhusika katika ufundishaji, kufanya tafiti na kuchapisha maandiko yake katika majarida yanayokubalika kitaifa na kimataifa.”

Kipanga amesema kuongezeka kwa idadi yao kunategemea zaidi jitihadi za mtu binafsi katika utekelezaji wa majukumu yake na kukubalika kwa jitihada hizo kwa wanataaluma wenziwe kwa kuzingatia miongozo waliyojiwekea.

Amesema hadi kufikia mwaka 2022 tulikuwa na jumla ya maprofesa 226, kati yao 163 wakiwa ni maprofesa washiriki (Associate Professors) na 63 ni maprofesa kamili (Full Professors).

Amesema suala la kustaafu linahusu zaidi vyuo vikuu vya umma ambapo umri wa kustaafu ni miaka 65.

Amesema kwa takwimu za mwaka 2022 idadi ya maprofesa kamili waliostaafu ni wanne na wanaotarajia kustaafu kwa mwaka 2023 ni watano, mwaka 2024 ni wawili na mwaka 2025 ni sita.

Kipanga amesema maprofesa washiriki waliostaafu kwa mwaka 2022 ni mmoja na wanaotarajiwa kustaafu kwa mwaka 2023 ni 18, mwaka 2024 ni wanne na mwaka 2025 ni sita.

Katika swali la nyongeza Ishengoma ametaka umri wakustaafu kwa maprofesa kuongezeka kutoka miaka 65 hadi 70, huku pia akihoji kama kuna mpango wa kuongeza maslahi kwa maprofesa ili kuvutia vijana wengi kusoma kufikia ngazi hiyo ambako kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wanahitajika 161 lakini wapo tisa tu.

Akijibu swali hilo nyongeza, Kipanga amesema kuwa suala la kuongeza umri limechukuliwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na suala la maslahi wamekuwa wakiendelea kuongeza.

Mwananchi
Hao maprofesa tulio nao wana tija gani kwa taifa? Kama maprofesa wetu ni aina ya Kabudi, au Mkumbo hata wakiwa 100,000 taifa halitafaidi chochote.
 
Hao maprofesa tulio nao wana tija gani kwa taifa? Kama maprofesa wetu ni aina ya Kabudi, au Mkumbo hata wakiwa 100,000 taifa halitafaidi chochote.
Kati ya Prof anaesambaza maarifa na wewe kiasi nani ana Tija?
 
Hao maprofesa tulio nao wana tija gani kwa taifa? Kama maprofesa wetu ni aina ya Kabudi, au Mkumbo hata wakiwa 100,000 taifa halitafaidi chochote.
Kati ya Prof anaesambaza maarifa na wewe kiasi nani ana Tija?
 
Kama recategorization tu haitambui Masters Degree unategemea nini?

Watumishi na watu wengine wakasome ili iweje?
Hii ni aibu kwa Taifa kwa kusimamia vitu vya ajabu na kukataa kuwapromote wasomi.
 
mm niko kwenye kada ya afya , moj kati ya kero kubwa kwang ni maprofesaa , kwanza wanataka kujikuta wajuaji hawapend kujifunza , mwishowe ni huduma mbovu , hizi elimu za magharibi zinatufanya wehu , mtz you know you know nying , kwan engli ni bora zaid ya kiswahili
Punguzeni lawama. Maprofesa 63 ndio wakwamishe idera ya Afya? Tuwe wakweli.
 
maprofesaa ni helpless ndo wanaharibu kila mahal , wanaweka rushwa mbele hadi mavyuon , gpa za kupeana na ufanisi wa kaz ni zero
Naona unaongea kwa hisia. Vyuoni Maprofesa ni wangapi?.
 
Tukiambiwa Tanzania ni Nchi ya wajinga hatutakiwi kubisha.

Yaani Taifa lenye watu takribani Milioni 65 linakuwa na Maprofesa 226 huku Full Professors Wakiwa 63 na Associate Professors Wakiwa 163 tuu,na hizi ni takwimu za 2023.

Tukilinganisha na Wenzetu Kenya wao wana maprofesa 1,619 Kwa takwimu za 2019.Kati Yao Full Professors Wakiwa 710 na Associate Professors Wakiwa 979.

Kiufupi Tanzania ni ya Mwisho level Moja na Burundi Kwa kuwa na jamii yenye Elimu Duni(Mbumbumbu) Kwa Kanda ya hapa Africa Mashariki..

Anaetakiwa kubeba aibu hii kwa sehemu kubwa ni Hayati Mwalimu Nyerere maana huyo bwana yeye hakutaka kabisa ku priotise Elimu Kwa sababu anazozijua yeye na in short ni sababu za Kisiasa kuogopa challenges kutoka Kwa Wasomi ndio sababu aliwatia kizuizini na wengine wakakimbilia uhamishoni.

Hakuna shule Mpya alijenga ukiacha za wakoloni Wala kuhangaika kuwaendeleza watu kielimu.Kitu pekee alichofanya ni kuwapa watu Elimu ya UPE waweze kusoma na kuandika Kwa level ya basic education tuu.

Wanyime watu Elimu Ili uweze kuwatawala.Hii tabia imekuwa inafanywa sana na Viongozi wa lile Dhehebu.Bila JK na Sasa Samia kupanuka Elimu ,Tanzania itaendelea kuwa na watu wajinga ambao wanalishwa propaganda na Watawala.

Mathalani JK ndio alianzisha na kukuza sana shule za Sekondari Kila kata,akaalika private sector kuwekeza kwenye Elimu na awamu yake ndio kulianzoshwa vyuo vikuu vingi sana.

Baada ya hapo Rais Samia nae Kwa Sasa anajenga maelfu ya miundombinu ya Elimu,amewaondoa Watoto wa kike kunyimwa Elimu Kwa visingizio vya mimba na anajenga Veta Kila Wilaya na vyuo vikuu Kwa Kila Mkoa ambao hauna Chuo Kikuu walau tuweze kushindana na Dunia badala ya kuogopa Wageni.

My Take
Dunia ya Sasa bila Elimu na maarifa ni kunidanganya,tupeleke Watoto kupata Elimu badala ya kuogopa Wageni Kwa visingizio visivyo na msingi.
---

Mbunge ataka juhudi za kuongeza maprofesa​

Dodoma. Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Dk Oscar Ishengoma amehoji idadi ya maprofesa wanaozalishwa nchini na wale wanaostaafu, huku Serikali ikisema hadi kufikia mwaka 2022, Tanzania ilikuwa na maprofesa 226.

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga, amesema:Profesa ni ngazi ya kitaaluma, ambayo mhadhiri au mtumishi wa taasisi za elimu ya juu huifikia baada ya matokeo ya kazi za kitaaluma ikiwemo kufanya machapisho na ufundishaji,” amesema na kuongeza;

“Hivyo kupanda cheo kwa mwanataaluma kunatokana na jitihada za mhusika katika ufundishaji, kufanya tafiti na kuchapisha maandiko yake katika majarida yanayokubalika kitaifa na kimataifa.”

Kipanga amesema kuongezeka kwa idadi yao kunategemea zaidi jitihadi za mtu binafsi katika utekelezaji wa majukumu yake na kukubalika kwa jitihada hizo kwa wanataaluma wenziwe kwa kuzingatia miongozo waliyojiwekea.

Amesema hadi kufikia mwaka 2022 tulikuwa na jumla ya maprofesa 226, kati yao 163 wakiwa ni maprofesa washiriki (Associate Professors) na 63 ni maprofesa kamili (Full Professors).

Amesema suala la kustaafu linahusu zaidi vyuo vikuu vya umma ambapo umri wa kustaafu ni miaka 65.

Amesema kwa takwimu za mwaka 2022 idadi ya maprofesa kamili waliostaafu ni wanne na wanaotarajia kustaafu kwa mwaka 2023 ni watano, mwaka 2024 ni wawili na mwaka 2025 ni sita.

Kipanga amesema maprofesa washiriki waliostaafu kwa mwaka 2022 ni mmoja na wanaotarajiwa kustaafu kwa mwaka 2023 ni 18, mwaka 2024 ni wanne na mwaka 2025 ni sita.

Katika swali la nyongeza Ishengoma ametaka umri wakustaafu kwa maprofesa kuongezeka kutoka miaka 65 hadi 70, huku pia akihoji kama kuna mpango wa kuongeza maslahi kwa maprofesa ili kuvutia vijana wengi kusoma kufikia ngazi hiyo ambako kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wanahitajika 161 lakini wapo tisa tu.

Akijibu swali hilo nyongeza, Kipanga amesema kuwa suala la kuongeza umri limechukuliwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na suala la maslahi wamekuwa wakiendelea kuongeza.

Mwananchi
Hao wasomi wa kenya wanamsaidia nini mtu wa chini elimu yao mbona aijaondoa ukabila utabaka ukanda umimi ufisadi,mutu mweusi hata asome vipi elimu hiwezi mbadilisha kulia na kucheka zote kelele tu
 
Kwa akili kama zako angekuwa kaziliwa zama hizi tena angetutawatawala ...

Mpaka lini alaumiwe mtu aliekufa, mtu aliekuta nchi haina mifumo, yenye makabila, hawana kipato cha juu bado kapambana na kasimama na kaachia wengine..

Mtu umezaliwa shule za kata zipo, boarding, kuna abroad kuna mikopo kibao unaweza kubet ,unaweza jiajili population ni kubwa ..mitandao ya kijamii ipoo

Bado unalalamika

Hakika hakukosea kusema ujinga ni moja ya matatizo yetu...

Lawama ni sehemu ya ujinga.
Tatizo vijana wa 2000 wanadhani Nyerere aliichukua hii nchi ikiwa hivi ilivyo Leo.
 
Hao wasomi wa kenya wanamsaidia nini mtu wa chini elimu yao mbona aijaondoa ukabila utabaka ukanda umimi ufisadi,mutu mweusi hata asome vipi elimu hiwezi mbadilisha kulia na kucheka zote kelele tu
Wapumbavu ndio hushikilia mambo ya ukabila na udini na sio wasomi
 
Nipe faida ya profesa au uprofesa?

Swali zuri sana mkuu

Mazingira ya elimu Bongo ni magumu sana . Mtu unasoma lakini Serikali haina promo kwa wasomi. Kiwango cha juu cha elimu kinachotambulika kwao ni BA tu huku MA wakiiweka pembeni.

Hakuna faida ni maumivu
 
Kwa mujibu wa wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Naibu Waziri wake Mh. Juma Kipanga, Tanzania Ina Maprofesa kamili 63 pekee (full professors). Pia Tanzania Ina Associate Professors 163 nchi nzima.

Hivyo inaonekana Tanzania kuwa profesa sio Jambo la mchezo. Pia ukigawanya kwa kozi zilizopo Tanzania, utakuta kila kozi Ina full profesaa watatu Kama sio wawili. Hivyo, tujitahidi kusoma ili kuziba pengo la hao Maprofesa wakistaafu.
Kwa ukanda wa Afrika mashariki kenya ndio nchi yenye wasomi wengi,swali hao wasomi wameisaidia nini kenya mbodo kuna ukabila utabaka ufisadi ukanda ukame mpaka watu wanakosa maji ya kupikia na kuoga hali ya kuwa chini ya aridhi kuna maji ziwa vikitoria lina maji bahari imejaa maji?wasomi wengi sio kigezo cha ukombozi wa muafirika,wapo wasomi wengi hapa mitaani tunawaona walivyo wapumbavu
 
Hata hivyo mleta maada inaonekana nae ni mmoja wa machawa tu.
 
Back
Top Bottom