Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu naomba kujuzwa kwa anae fahamu ubora wa hizi dawa za meno sina nia mbaya juu ya biashara za watu lengo langu ni kupata bidhaa bora kwa ajili ya matumizi na kwa afya zetu.
Wakuu naomba kujuzwa kwa anae fahamu ubora wa hizi dawa za meno sina nia mbaya juu ya biashara za watu lengo langu ni kupata bidhaa bora kwa ajili ya matumizi na kwa afya zetu.
Wakuu naomba kujuzwa kwa anae fahamu ubora wa hizi dawa za meno sina nia mbaya juu ya biashara za watu lengo langu ni kupata bidhaa bora kwa ajili ya matumizi na kwa afya zetu.
Hapo Ni Sawa Na Kuuliza Kiungo Salum Telela ( Whitedent ) Wa Yanga FC Na Xavi Hernandez ( Colgate ) Wa FC Barcelona Nani Zaidi. Tafakari!
Wakuu naomba kujuzwa kwa anae fahamu ubora wa hizi dawa za meno sina nia mbaya juu ya biashara za watu lengo langu ni kupata bidhaa bora kwa ajili ya matumizi na kwa afya zetu.
Mm binafsi natumia mswaki wa mti but no dawa
Hahahah[/QUOTEDuh
hahaha Duh