Kati ya Yanga na Simba, ni bora apite Yanga kwenda Robo fainal

Kati ya Yanga na Simba, ni bora apite Yanga kwenda Robo fainal

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Naamini Yanga anaenda Robo Fainal, Simba habari yake imeshakwisha, hatoboi, Wydad anaimaliza game kwake.

Mpaka sasa Yanga ananafasi kubwa ya kwenda mbele; na mimi naona ni bora apite Yanga angalau anaweza kuleta ushindani robo fainal na nchi ikatambulika.

Yanga wana timu nzuri na Wako serious na sajili zao. Sajili za Yanga ni za mkakati, na malengo yao ni realistic;
Wale wengine eti malengo yao ni kucheza fainal [emoji1787], kwa sajili gani wanazofany?

Malengo ya Simba ni unrealistic na hayatekelezeki kutokana na sajili zao ambazo haziendani na malengo yako .

Simba aishie makundi, hata akipita robo fainal Hawana impact…. Utasikia tu tumekufa kiume kwenye robo fainal, tumechoka na haya maneno.

Common things occur commonly ; simba ameingia robo fainal mara 5 na zote hajawahi kuvuka zaidi ya hapo; hata hi ya sasa akivuka ni hatovuka, so why bother , aishie tu hapo hapo makundi.

Yanga apite atupe ladha mpya ya kuona robo fainal.

Hao Simba wala hawapo serious , tizama hata sajili zao, sajili za kiuniuni na kimchongo ambazo hazina uwezo wala impact.

Yanga kupita ni lazima
 
Ulikua kama sio shabiki ila uliposema makolo ndo tukajua rangi yako

😁😁😁😁

Tulia hatupo kundi moja kwamba ukienda wewe sisi hatuendi
Kila mtu ashinde mechi zake
 
Ulikua kama sio shabiki ila uliposema makolo ndo tukajua rangi yako

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Tulia hatupo kundi moja kwamba ukienda wewe sisi hatuendi
Kila mtu ashinde mechi zake

Hakuna sehemu nimesema makolo
 
Yanga keshamaliza kazi

It is all about investment

Simba endeleeni kulia lia na Chama

Bado mnayo safari ndefu
 
Yanga wana timu nzuri na Wako serious na sajili zao. Sajili za Yanga ni za mkakati, na malengo yao ni realistic;
Wale wengine eti malengo yao ni kucheza fainal
emoji1787.png
, kwa sajili gani wanazofany?
Mudi ni janja janja tu ,bado anaendekeza utapeli.
 
Mudi ni janja janja tu ,bado anaendekeza utapeli.

Yanga wapo serious na anafika mbali maana robo fainal atakutana na timu za kawaida atazipiga

Hebu Yanga ipite tujifunze kitu robo fainal

Maneno ya kufa kiume yafe
 
Naamini Yanga anaenda Robo Fainal, Simba habari yake imeshakwisha, hatoboi, Wydad anaimaliza game kwake.

Mpaka sasa Yanga ananafasi kubwa ya kwenda mbele; na mimi naona ni bora apite Yanga angalau anaweza kuleta ushindani robo fainal na nchi ikatambulika.

Yanga wana timu nzuri na Wako serious na sajili zao. Sajili za Yanga ni za mkakati, na malengo yao ni realistic;
Wale wengine eti malengo yao ni kucheza fainal [emoji1787], kwa sajili gani wanazofany?

Malengo ya Simba ni unrealistic na hayatekelezeki kutokana na sajili zao ambazo haziendani na malengo yako .

Simba aishie makundi, hata akipita robo fainal Hawana impact…. Utasikia tu tumekufa kiume kwenye robo fainal, tumechoka na haya maneno.

Common things occur commonly ; simba ameingia robo fainal mara 5 na zote hajawahi kuvuka zaidi ya hapo; hata hi ya sasa akivuka ni hatovuka, so why bother , aishie tu hapo hapo makundi.

Yanga apite atupe ladha mpya ya kuona robo fainal.

Hao Simba wala hawapo serious , tizama hata sajili zao, sajili za kiuniuni na kimchongo ambazo hazina uwezo wala impact.

Yanga kupita ni lazima
Kwa hali ilivyo inawezekana wakapita wote
 
Back
Top Bottom