Kati ya Yanga na Simba, ni bora apite Yanga kwenda Robo fainal

Kati ya Yanga na Simba, ni bora apite Yanga kwenda Robo fainal

Kama Simba naye atapita ni Bora hatua ya robo akutane na Yanga tupate Raha.
 
Hapa naona ule ujanja ujanja wasimba ktk sajili utaisha..walikua wakiamini kuwa yanga hatafikaga robo fainali
 
Yanga mume wahi kuwa na impact lini.??.. miaka ya nyuma mlikuwa m naenda kushiriki kila mwaka mnaishia hatua za mwanzo mpaka simba alipoanza kufanya kweli ndo mmeamka makenge nyie...

Mimi ni Simba kindakindani

Ila trust me Yanga wapo vizuri

This time wanafika fainal , trust me

Simba hata robo hatuendi

Na tukienda tutakufa kiume
 
Naamini Yanga anaenda Robo Fainal, Simba habari yake imeshakwisha, hatoboi, Wydad anaimaliza game kwake.

Mpaka sasa Yanga ananafasi kubwa ya kwenda mbele; na mimi naona ni bora apite Yanga angalau anaweza kuleta ushindani robo fainal na nchi ikatambulika.

Yanga wana timu nzuri na Wako serious na sajili zao. Sajili za Yanga ni za mkakati, na malengo yao ni realistic;
Wale wengine eti malengo yao ni kucheza fainal [emoji1787], kwa sajili gani wanazofany?

Malengo ya Simba ni unrealistic na hayatekelezeki kutokana na sajili zao ambazo haziendani na malengo yako .

Simba aishie makundi, hata akipita robo fainal Hawana impact…. Utasikia tu tumekufa kiume kwenye robo fainal, tumechoka na haya maneno.

Common things occur commonly ; simba ameingia robo fainal mara 5 na zote hajawahi kuvuka zaidi ya hapo; hata hi ya sasa akivuka ni hatovuka, so why bother , aishie tu hapo hapo makundi.

Yanga apite atupe ladha mpya ya kuona robo fainal.

Hao Simba wala hawapo serious , tizama hata sajili zao, sajili za kiuniuni na kimchongo ambazo hazina uwezo wala impact.

Yanga kupita ni lazima
Mkuu anayeleta utani hapo ni nani kati ya simba na yanga? Kwa uelewa wangu hizi timu zote kila mwaka zinashiriki hii michuano, simba amefika robo mara 5 yanga alikuwa wapi?.
 
Hapa naona ule ujanja ujanja wasimba ktk sajili utaisha..walikua wakiamini kuwa yanga hatafikaga robo fainali

Hauishi

Maana shida inaanzia kwenye ten percent

Kitengo cha sajili cha Yanga kipo makini snaa

Sasa Simba mpaka Leo wanakimbizana na Chama [emoji1787]

Kuna vyombo Africa magharibi, huyo chama ni takataka kabisa

Lakini simba ipo mbio na chama

Wametoa phir na baleke wakaleta takataka nyingine

Sijui hata ni nani aliwashauri

Kitengo cha sajili SSC ni mchongo
 
Mkuu anayeleta utani hapo ni nani kati ya simba na yanga? Kwa uelewa wangu hizi timu zote kila mwaka zinashiriki hii michuano, simba amefika robo mara 5 yanga alikuwa wapi?.

Alikuwa anajenga timu na imekamilika

Haya ndio matunda
 
Mimi ni Simba kindakindani

Ila trust me Yanga wapo vizuri

This time wanafika fainal , trust me

Simba hata robo hatuendi

Na tukienda tutakufa kiume
Kwani ukiandika trust me ndio inakuwa kweli? Yanga wapo vizuri ndio lakini unachoandika inaweza ikawa kinyume chake.
 
Hauishi

Maana shida inaanzia kwenye ten percent

Kitengo cha sajili cha Yanga kipo makini snaa

Sasa Simba mpaka Leo wanakimbizana na Chama [emoji1787]

Kuna vyombo Africa magharibi, huyo chama ni takataka kabisa

Lakini simba ipo mbio na chama

Wametoa phir na baleke wakaleta takataka nyingine

Sijui hata ni nani aliwashauri

Kitengo cha sajili SSC ni mchongo
Ndo wabaki kuiangalia nusufainal yanga ikicheza...baada ya Simba Kila msimu kuleta janja janja ya sajili...misimu5 Simba wameshindwa pata kiungo mbadala wa chama
 
Ndo wabaki kuiangalia nusufainal yanga ikicheza...baada ya Simba Kila msimu kuleta janja janja ya sajili...misimu5 Simba wameshindwa pata kiungo mbadala wa chama

Wahuni tu

Umeona wapi sehemu inatawaliwa na muhindi na ikawa na maendeleo

Simba UTAPELI

At least we have Yanga in this country . Wachezaji hawana drama na wapo serious na kazi

Simba hadi wachezaji wana drama na usanii usanii

Mtu kama chama very old person full of drama
 
Naamini Yanga anaenda Robo Fainal, Simba habari yake imeshakwisha, hatoboi, Wydad anaimaliza game kwake.

Mpaka sasa Yanga ananafasi kubwa ya kwenda mbele; na mimi naona ni bora apite Yanga angalau anaweza kuleta ushindani robo fainal na nchi ikatambulika.

Yanga wana timu nzuri na Wako serious na sajili zao. Sajili za Yanga ni za mkakati, na malengo yao ni realistic;
Wale wengine eti malengo yao ni kucheza fainal [emoji1787], kwa sajili gani wanazofany?

Malengo ya Simba ni unrealistic na hayatekelezeki kutokana na sajili zao ambazo haziendani na malengo yako .

Simba aishie makundi, hata akipita robo fainal Hawana impact…. Utasikia tu tumekufa kiume kwenye robo fainal, tumechoka na haya maneno.

Common things occur commonly ; simba ameingia robo fainal mara 5 na zote hajawahi kuvuka zaidi ya hapo; hata hi ya sasa akivuka ni hatovuka, so why bother , aishie tu hapo hapo makundi.

Yanga apite atupe ladha mpya ya kuona robo fainal.

Hao Simba wala hawapo serious , tizama hata sajili zao, sajili za kiuniuni na kimchongo ambazo hazina uwezo wala impact.

Yanga kupita ni lazima
Wewe mjinga sana kwani yanga na Simba wako kundi moja? Yanga hamzuii Simba wala Simba hamzuii yanga. Inaonesha hujui hata mashindano yanahusu nini.
 
Wewe mjinga sana kwani yanga na Simba wako kundi moja? Yanga hamzuii Simba wala Simba hamzuii yanga. Inaonesha hujui hata mashindano yanahusu nini.

Kwani uhusiano wa kundi unatoka wapi! ?
 
Wahuni tu

Umeona wapi sehemu inatawaliwa na muhindi na ikawa na maendeleo

Simba UTAPELI

At least we have Yanga in this country . Wachezaji hawana drama na wapo serious na kazi

Simba hadi wachezaji wana drama na usanii usanii

Mtu kama chama very old person full of drama
Ila kweli sjawahi ona duniani muhindi anamiliki timu...mwarabu anapassion na mpira kutoa lpesa na mikakari kwake kwa ajili ya usajili sio ishu kabisa maana nisehemu furaha yale
 
Makolo si wanasajili kwa kuangalia mtu kupiga picha na Ronaldo, acha mvua ya dhiki iwanyee tu.
 
Kwa yanga hii inaleta matumaini yakufika nusu fainal kabisa tofaut nasie simba
Acha nusu fainali,hii ni fainali kabisa.
Niambie ni timu gani zinaweza kuizuia yanga hii ya saa kama si Mamelody tu?
 
Yanga mume wahi kuwa na impact lini.??.. miaka ya nyuma mlikuwa m naenda kushiriki kila mwaka mnaishia hatua za mwanzo mpaka simba alipoanza kufanya kweli ndo mmeamka makenge nyie...
Sidhani kama watakuelewa 😂😂
 

Attachments

  • 1708709286745.jpg
    1708709286745.jpg
    108.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom