Kati ya Young M.A na Nicki Minaj nani anafanya hip hop?

Mkuu hii ngoma ya EAT naikubal knoma hii katoa sh*t umu ndan kwa haterz wake ad raha af ina vibe flan tamu sana
Mwenyewe anapenda kujiita Young M.A shakur ana ngoma yake inaitwa EAT bonge la ngoma. Tukiachana na tabia zake za kisagaji huyu mtoto mkali hao akina Nicki, card B ,remmy ma wote wanasubiri.
 
Who is young MA.!??

Wekeni wimbo wake mmoja hapa.
 
Young M.A. chisel words to move the crowd, the plastic pinky barbie bought her whole body to move the crowd. So basically, one aims to rock the mic and feed your brain, while the other aims to rock your mic having you wish you was getting brains.

I had go for the latter.
 
Mala aimbe mala achane, nilisoma zaidi ya mara 3 ndio nikaja kuelewa kumbe mara aimbe mara achane daaha
Lengo ni kumake money na sio kuimba wala kuchana,msemen nicki ila check anavochkua tuzo za bet
 
Sister p na zay b ndo wanapiga hiphop
 
Huyo Young M.A yupo chini zaidi ya flip flop za Minaj.Usimfananishe Minaji na vitu vya kijinga mkuu
 
acheni kumfananisha young m.a na vitu vya ajabu..kuna ngoma yake(young m.a) inaitwa "same set" kauwa balaa
 
Mimi naona Sister P ndo kiboko ya Hip Hop
 
Mala aimbe mala achane, nilisoma zaidi ya mara 3 ndio nikaja kuelewa kumbe mara aimbe mara achane daaha
kikubwa nashukulu ulinielewa ingawa r na l hazikuwa correct
 
acheni kumfananisha young m.a na vitu vya ajabu..kuna ngoma yake(young m.a) inaitwa "same set" kauwa balaa
ebu waambie wapite YouTube wachek hyo same set jins alivoua....new kids are comin "" kitofaut yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…