Wapambanaji niaje? Kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaocheza hii michezo ya kindege kinachopaaa halafu unakuwa unashinda pesa pale ukiwahi kutoa pesa kabla hakijalipuka.
Nilianza kuijua ZEPPELIN kupitia kampuni ya Sokabet then jana kuna mshkaji akanionyesha hii AVIATOR. Binafsi naona ni michezo ambayo iko sawa ila imezidiana vitu vichache kama Jackpots na muonekano!
Anyways, wewe unapendelea mchezo upi na kwanini?
Nilianza kuijua ZEPPELIN kupitia kampuni ya Sokabet then jana kuna mshkaji akanionyesha hii AVIATOR. Binafsi naona ni michezo ambayo iko sawa ila imezidiana vitu vichache kama Jackpots na muonekano!
Anyways, wewe unapendelea mchezo upi na kwanini?