Katiba bora, Utawala wa Sheria, Utawala bora, Uchumi imara

Katiba bora, Utawala wa Sheria, Utawala bora, Uchumi imara

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Huwezi kujenga uchumi bila utawala bora na huwezi kuwa na utawala bora bila utawala wa sheria, na huwezi kuwa na utawala wa sheria kama hauheshimu haki za binadamu na uhuru wa mahakama!

Na huwezi kupata hivyo bila katiba bora. Hii ya sasa sio bora tunataka mpya!
 
Mbona wao wana uchumi imara kwa katiba hii hii mbovu?
 
Back
Top Bottom