Ndugu Invisible, hiyo barua nilioipenda sana na kuonyesha kuwakilisha vilivyo maoni yangu na mimi katika mamilioni wengine nchini; ina maana haikuandikwa kwenye letterhead kabisa???
I mean, I am just being a litle more good nurturedly curious apart from my ever deep respect for the authenticity and authoritativeness of all previous documents presented in here.
This is exactly what i told the fellas the other day.Tunasubiri pia na tamko la BAKWATA. Katiba ya watanzania wote hivyo baada ya Askofu Ruzoka jana (TEC) na Dr Mokiwa leo (CCT) naamini BAKWATA nao watakuja na Positive opinions katika hilo.
Ni tahadhari kabla ya hatari na panapofuka moshi ujue pana moto! Waziri wa sheria fanyia kazi hayo pamoja na yale ya UDASA na wadau wengine, Rais hana cha kupoteza katika katiba ijayo awe fair tu katika mchakato wake kama alivyoanza kuonyesha. I'm just thinking
:yield:
Tunasubiri pia na tamko la BAKWATA. Katiba ya watanzania wote hivyo baada ya Askofu Ruzoka jana (TEC) na Dr Mokiwa leo (CCT) naamini BAKWATA nao watakuja na Positive opinions katika hilo.
Ni tahadhari kabla ya hatari na panapofuka moshi ujue pana moto! Waziri wa sheria fanyia kazi hayo pamoja na yale ya UDASA na wadau wengine, Rais hana cha kupoteza katika katiba ijayo awe fair tu katika mchakato wake kama alivyoanza kuonyesha. I'm just thinking
:yield:
Huwezi kuzuia propaganda za udini kwani wajinga duniani hawataisha hata kama nao ni viongozi wana aina fulani ya ujinga wakati watu tunazungumzia mambo ya kitaifa utawasikia mara yeye askofu anaongea kama nani mara or kama anataka siasa avue majoho, hilo halitutishi sisi tutaunga mkono mtu yeyote anaetetea maslahi ya nchi bila kujali ni kiongozi wa dini wa wacheza madogoli haituhusu ila kwa wajinga hiyo kwao ni isueHofu yangu tu ni wale wanazi wa mambo ya udini wataanza propoganda zao kisa chombo cha kidini kimetoa maoni yao.
Kimsingi naunga mkono hoja zao kwani wameeleza mambo ya msingi kabisa, yaani rais anaendeleza ubabe kwenye katiba mpya.
Kwa maoni yangu huu muswada sio wa katiba mpya bali muendelezo wa katiba ya zamani tena kuikaza zaidi.
Wewe ni mjinga wa mwisho unafikiri askofu kazungumza kama yeye amewakilisha watu!! kuhusu mtu mmoja mmoja kutoa maoni ndicho hawa viongozi wanapigia kelele kwamba kuwe na uhuru na muda wa kutosha kwa watu kutoa maoni yao!! sasa ambacho kinakusumbua hapa ni nini?Na wale wasio na dini lini watatoa tamko! Na mtu mmoja mmoja ni lini wataanza kutoa matamko? Haya matamko yanapoteza mulekeo yaani kila kitu ni Tamko ni km zile tume zisizo na ufanisi ziundwazo kila siku.
Huwezi kuzuia propaganda za udini kwani wajinga duniani hawataisha hata kama nao ni viongozi wana aina fulani ya ujinga wakati watu tunazungumzia mambo ya kitaifa utawasikia mara yeye askofu anaongea kama nani mara or kama anataka siasa avue majoho, hilo halitutishi sisi tutaunga mkono mtu yeyote anaetetea maslahi ya nchi bila kujali ni kiongozi wa dini wa wacheza madogoli haituhusu ila kwa wajinga hiyo kwao ni isue
Na wale wasio na dini lini watatoa tamko! Na mtu mmoja mmoja ni lini wataanza kutoa matamko? Haya matamko yanapoteza mulekeo yaani kila kitu ni Tamko ni km zile tume zisizo na ufanisi ziundwazo kila siku.
Kaka hapo umenena wala hapo hakuna unafiki!!Jamani naomba tusiwatuhumu BAKWATA maana hawajaongea tukawasikia kwa hili. pia tusiwadhanie vibaya, maana wanaweza kuja na hoja nzuri za kuleta ushawishi na mafanikio.
Ila kila mmoja wetu anapaswa kukumbuka kuwa tanzania ni nchi. na nchi ina watu na watu wamegawanyika katika makundi na taasisi mbalimbali. Makundi hayo hayawezi kutengwa hata kidogo katika jambo muhimu kama hili, hata wafungwa, makahaba, wezi na wachawi wana haki ya kuchangia katika hili, sembuse taasisi za kidini?
Mtu yeyote anayetaka kusema kuwa viongozi wa dini hawana haki ya kutoa tamko huyo amefilisika kisera. Viongozi wa dini wanaongoza watu walewale tunaokutana nao kwenye siasa, makazini, kwenye mabunge, kwenye chaguzi n.k ndio hao walio makanisani, misikitiki na kwenye matambiko. Sasa tunawekaje mipaka katika hili?
Lakini pia Taasisi hizi zimeundwa na zinafanya kazi tanzania kwa mujibu wa sheria za tz ambapo katiba ndio sheria mama. Hivyo taasisi yeyote ya kidini inayojishaua kuwa haijiingizi kwenye mchakato wa katiba kwa namna moja au nyingine hiyo ni taasisi mfu. maana Katiba ndio inaruhusu uwepo wa taasisi hizi hapa nchini. Sasa kujitoa na kuwaachia mafisadi si sawa na kumsaliti mama yako mzazi?
MIMI NAWAPONGEZA VIONGOZI WA DINI AMBAO WAMESHATOA MATAMKO YAO NA NAWAOMBA WALE AMBAO HAWAJATOA WATOE HARAKA KABLA MAMBO HAYAJAHARIBIWA NA MAFISADI. NA HAPA UNAFIKI LAZIMA UWEKWE PEMBENI