KATIBA: CCT yawasha moto

KATIBA: CCT yawasha moto

Nina wasiwasi kama katiba mpya itawanufaisha zaidi kama hii iliopo sasa.Ukizungumzia mafanikio ya kanisa yanatokana kwa kiasi kikubwa na katiba hii ya sasa. Katika mjadala wa katiba mpya waislam watatka iwekwe mahakam ya kadhi,pia watahitaji OIC ambapo wamekuwa wakihoji kuwepo kwa balozi wa vatican nchini.Haya na mengine mengi huenda yasije kuwa mazuri kwa kanisa.
 
Umoja wa makanisa ya kikristo imetoa tathimini ya uchaguzi mkuu na kusema kuwa lazima katiba iandikwe upya.huu ni mwendelezo wa moto unaowaka chini kwa chini wa kudai katiba mpya,hongera sana cct sasa twasubiri bakwata nao watoe tamko

Sijui wapagani wanawakilishwa na chombo gani...
 
...jee makanisa ya tz yamezaliwa upya?

sikiliza malaria sugu.
unajua maana ya kanisa kuzaliwa upya? nina wasi wasi.
hata hivyo suala la madai ya katiba mpya limetolewa na wadau wengi isipokuwa chama chako tu.
 
Kwanza hayo unayoya shiiiit, si maandiko yangu, ni maandiko na matamshi ya wikiristo wenyewe.

Pili: kama hujui yaliyopelekea Somalia kama ilivyo sasa, bora ukae kimya au anzisha thread tukuonyeshe ni nani alieanzisha chokochoko Somalia.

Tatu: hiyo article niliyoibandika iko wazi kabisa inaonyesha madhambi yaliyofanywa na kanisa hususan kanisa katoliki Rwanda na katika hayo hakuna hata muIslam mmoja aliendika walionukuliwa wote ni wakiristo! Jee huoni? Au hupendi ukweli?

Usikimbie mada ndugu, hapa mwendo wetu ni hoja kwa hoja, kama mimi nimekuelewa ulitaka kuwaaminisha Great Thinkers kwamba kanisa halina haki ya kutoa maoni yake, yaani ni muhimili wa uovu, ok twende taratibu;
1. je ni haki kuhusisha dini ya kiislam na ugaidi?
2. pale Iraq wale wote ni waislam watupu, kwa nini wanauwana kinyama namna ile?
3. Je somalia kuna kanisa?
4. Islamic jihad ziko nyingi sina haja ya kuziorozesha hapa, je umewahi kusikia christian Jihad?

  • Kwa sababu mimi si muumini wa ubaguzi wa aina yoyote sitaki kuongeza zaidi ya hayo kuonesha kwamba wewe upstairs empty.
  • Udini au ukabila au uhafidhina hauwezi kumsaidia mtu yeyote, hapa tunajadili mustkabali wa Taifa letu.
  • kama wewe unajiona ni bingwa wa kuzuia mabadiliko muda unapowadia basi zuia uzee.
  • CHADEMA YATUWA RASMI VIJIJINI, TUSOME ALAMA ZA NYAKATI..jpg
 
You cant fool all people all the time...............hawa ni watu wanachambua wanajua walikotoka na wanajua walipo na wanajua waendako kwa mujibu wa hali halisi ya nchi inavyoenda na kwa hali ya kiongozi mkuu wa nchi anavyoipeleka nchi,,,,,,,,,,,,,usizoee mawazo mgando lazima ukubali mabadiliko.............in this world you have to play according to the rhism
 
jee jk alisema tz kuna udini, watu wakapinga.
lkn sasa makanisa yanalalamikia tume ya uchaguzi, tume hata mh Lipumba na wadau wengine ukiondoa CHADEMA Waliilamikia. lkn makanisa mwaliona sio kweli na yalipinga kwa nguvu zote. kila aliojaribu kuhoji tume hiyo makanisa yaliona kwamba kama wanataka kuvuruga amani ya nchi yetu.
Hata kule zenj ambapo kila mtu akiona kuna umuhimu wa katiba mpya makanisa kama pale mkunazini kanisa la historia na minara miwili Mji mKongwe yalikuwa hayajali, tena yakikebehi na wakitaka gov ishugulike waliokuwa wakiitwa wachechezi . cuf ikionekana kama chama kitacholeta vurugu kwa kuwa inataka mabadiliko ya tume ya uchaguzi nchini.ilitengwa na makanisa kabisa
makanisa licha ya kushabikia ccm lkn ilikuwa ni sehemu ya malalamiko ya cuf juu kutumiwa kuficha watu wanoitwa mapandikizi wa ccm ili kupiga kura 2. haya yaliandikwa sana na vyombo vya habari hata cuf walitoka hadharani kulisema.makanisa yakiona hilo ni sawa tu. hilo sio tatizo katka kanisa.
huku Dar, makanisa yalikuwa bega kwa bega na ccm.hakuna kanisa lilowahi kuuliza hiitume ya uchaguzi iko vipi?
jee makanisa ya tz yamezaliwa upya?

Malaria Sugu kweli huwezi kuishi bila ya JF....sasa umekuya YAYA
 
Hivi mifumo yote mibovu ya ccm imeanzishwa na Kikwete ?
Ni kwa nini watu wanapokosoa mifumo hiyo wanaonekana wanamkosoa Kikwete.

Binafsi nashindwa kuhusianisha uongozi wa Kikwete na dini yake.Ni vipi kila anayemkosoa anaonekana mdini ?

Malaria sugu nahisi unatumiwa au umetumwa.
 
bakwata wanagoja rais awe mkiristo ndio wadai katiba mpya

Sio mbaya kama BAKWATA wakisubiri rais mkristo ndio wadai katiba. Mbona hata CCT wamesubiri rais muislam ndo wanaona umuhimu wa katiba mpya. Hii ndio reality of Tanzania bwana mkubwa bear with it!
 
Hivi mifumo yote mibovu ya ccm imeanzishwa na Kikwete ?
Ni kwa nini watu wanapokosoa mifumo hiyo wanaonekana wanamkosoa Kikwete.

Binafsi nashindwa kuhusianisha uongozi wa Kikwete na dini yake.Ni vipi kila anayemkosoa anaonekana mdini ?

Malaria sugu nahisi unatumiwa au umetumwa.

Ni vigumu kwao kwenda mbali na mbaya zaidi inakuwa kama maumbile vile.Kwa mfano nyati hawezi kugundua au kutofautisha rangi yoyote zaidi ya Black&white,haya ni maumbile yake hakuna namna ya kujikwamua na hali hiyo.Hii inafanana sana na watu kama hawa!!
 
Kwanza hayo unayoya shiiiit, si maandiko yangu, ni maandiko na matamshi ya wikiristo wenyewe.

Pili: kama hujui yaliyopelekea Somalia kama ilivyo sasa, bora ukae kimya au anzisha thread tukuonyeshe ni nani alieanzisha chokochoko Somalia.

Tatu: hiyo article niliyoibandika iko wazi kabisa inaonyesha madhambi yaliyofanywa na kanisa hususan kanisa katoliki Rwanda na katika hayo hakuna hata muIslam mmoja aliendika walionukuliwa wote ni wakiristo! Jee huoni? Au hupendi ukweli?

Dar Es Salaam,

If You mindset Can not Change with time, Time will Change You.
 
Ni kweli kabisa, suala la Mahakama ya Kadhi wangeepuka kabisa kulitaja . . .

Wamefanya vizuri tu! tunapo andaa mkutano wa katiba kisiachwe kitu waislamu wakristo wapagani mateja hao wote wana haki ktk nchi yao na wanataka kujadili katiba yao iwe vipi wataleta hoja zao jinsi wanavyo taka waongozwe mwisho wa siku hoja za kizalendo zitakuwa katiba (sheria mama)!...
 
Umoja wa makanisa ya kikristo imetoa tathimini ya uchaguzi mkuu na kusema kuwa lazima katiba iandikwe upya.huu ni mwendelezo wa moto unaowaka chini kwa chini wa kudai katiba mpya,hongera sana cct sasa twasubiri bakwata nao watoe tamko

Bakwata = Kikwete = Celina Kombani = Mwinyi. Watakaa kimya ili waonekane sio wadini. Hawajui kwamba katiba hii ni kwa manufaa ya wote including watoto wao!
 
Makanisa yataka katiba mpya

Hata hivyo viongozi hao walikosoa Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa kuwataja mawaziri na viongozi kadhaa wa Serikali ya Kenya kuhusika na mauaji ya watu baada ya uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo na kuhoji kwanini wahusika wa mauaji ya Iraki wasitajwe wala kushitakiwa? . [/COLOR]

CCT mmeongea ponts nzuri sana lkn kwa hili kuhusu Kenya mmechemsha vibaya sana. Hakuna aliye juu ya sheria hivyo basi ni lazma waliohusika kenya washitakiwe na iwe fundisho kwa viongozi wa Tanzania kama walikuwa wanapanga kufanya kama Kenya. Walipaswa kupongeza jitihada za ICC juu ya Kenya then wawakumbushe kutumia model hiyo hiyo kwa nchi nyingine na sio kusema eti kwasabau hamjafanya nchi nyingine basi na Kenya Msifanye.
 
Sio mbaya kama BAKWATA wakisubiri rais mkristo ndio wadai katiba. Mbona hata CCT wamesubiri rais muislam ndo wanaona umuhimu wa katiba mpya. Hii ndio reality of Tanzania bwana mkubwa bear with it!

Sina upande katika hoja ya katiba lakini kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, madai ya katiba mpya hayajaanza wakati wa utawala wa Rais Kikwete. Hapa najaribu tu kuondoa fikra kwamba suala hilo ni hujumu dhidi ya uongozi wa awamu ya nne hasa hujuma za kidini.

Leo Lekamwa alisigina katiba enzi za Mkapa na madai ya CUF na chadema yalikuwepo tangu enzi za mkapa. Kinachoonekana hapa ni kwamba, madai haya yalianza awamu ya tatu lakini mwamko umekuwa mkubwa sasa pengine kutokana na hamasa kuwa kubwa kwa watu kutaka kujua maana ya wingi wa kelele za katiba. kutokana na kelele nyingi juu ya katiba kila mtu ameanza kujiuliza katiba ndio kitabu gani na cha nini hali inayoamsha mjadala zaidi kila siku zinaposonga mbele. Kuthibitisha kwamba, suala la katiba halimlengi mtu, katiba itaendelea kuwapo wakati wote wa uhai wa taifa hili. Makosa ya kuibadili katiba au kuiacha kama ilivyo yanahusu taifa zaidi kuliko mtu mmoja mmoja.

Tujadili Mabadiliko ya katiba au kurekebisha mapungufu kwa kuzingatia mustakabari wa taifa. Katiba sio ya wakristo wala waislamu ni ya watanzania wote na ndio maana natamani tuijadili kwa minajiri ya utaifa.
 
Haya Makanisa tuyaangalie sana, ndio chanzo cha chokochoko za umwagaji damu, hata Rwanda, kanisa lilikuwa ndio chanzo cha mauaji ya kimbari, soma:

Rwanda

Genocide and the role of the Church in Rwanda

What exactly was the role of the Catholic Church in the Rwandan
genocide? NDAHIRO TOM, a Rwandan human rights commissioner, paints a picture of deep historical and political complicity and calls for the Church to restore its credibility by contributing to the process of justice.

16 April 2005 - Ndahiro Tom (A Commissioner of Human Rights in Rwanda.)

Source: PAMBAZUKA
Pambazuka News

Why do they eat my people as they eat bread? (Psalm 14)

All over Rwandan hills, valleys and mountains, thousands of crosses
mark mass graves of genocide victims of 1994. During the genocide, many
Tutsis were massacred in or around places of worship, including Catholic churches – paradoxically, in a country which was the most Christianised in Africa, with Christians representing more than 80% of the population. Catholic bishops in Rwanda have sometimes claimed that all Rwandans believe in God. (Kinyamateka, No. 1614, January 2003, pg. 6) There are hundreds of churches and chapels everywhere and almost every day followers repeatedly recite the prayer, “Our Father who art in heaven”, pleading with the Father to deliver them from evil (Matthew 6:13). From where, then, did the malevolence at the root of the genocide come? How and by whom could it have been overcome? Part of the answer to these questions is the Church and its members.

According to Jean-Pierre Karegeye, a Jesuit priest, genocide is morally hideous, an evil expressed in forgetting God, and hence a new form of atheism. Karegeye asks several pertinent questions which merit consideration: “Christians killing other Christians? How could Rwandan
Christians who manifested commitment to their faith have acted with
such intense cruelty? How did ordinary people come to commit extraordinary evil…? Does the sin of genocide disturb the relationship between God and the perpetrators in official Catholic Church discourse? How can we explain the strange situation of priests involved in the crimes of genocide who are still running parishes in Western countries? Why are they protected by the Vatican against any legal proceedings?” He concludes: “The Church’s attitude towards genocide seems to suggest that the hierarchy of religious values is not usually in proportion to the hierarchy of moral standards.”

Generally, in Rwanda, the leadership of the Christian churches, especially that of the Catholic Church, played a central role in the creation and furtherance of racist ideology. They fostered a system which Europeans introduced and they encouraged. The building blocks of this ideology were numerous, but one can mention a few – first, the racist vision of Rwandan society that the missionaries and colonialists imposed by developing the thesis about which groups came first and last to populate the country (the Hamitic and Bantu myths); second, by rigidly controlling historical and anthropological research; third, by reconfiguring Rwandan society through the manipulation of ethnic identities (from their vague socio-political nature in the pre-colonial period, these identities gradually became racial). From the late 1950s, some concepts became distorted: thus democracy became numerical
democracy or demographic.

The philosophy of ‘rubanda nyamwinshi’ a Kinyarwanda expression, which
politically came to mean ‘the Hutu majority’, prevailed after the so-called social revolution of 1959 ignored the basic tenets of democracy. In my view, recurrent genocides in Rwanda since 1959 were meant to maintain the ‘Hutu majority’ in power, by killing the Tutsi. Distributive justice became equivalent to regional and ethnic quotas; and revolution came to mean legitimised genocide of the Tutsis.

Church authorities contributed to the spread of racist theories mainly
through the schools and seminaries over which they exercised control. The elite who ruled the country after independence trained in these schools. According to Church historian Paul Rutayisire, the stereotypes used by the Hutu-dominated Rwandan government to dehumanise Tutsis, were also spread by some influential clergymen, bishops and priests, before and after the genocide. The Catholic Church and colonial powers orked together in organizing racist political groups like the Party for the Emancipation of the Hutu (Parmehutu).

Mouvement Révolutionnaire National pour le Dévelopment (MRND) was the
party which in the mid-1970s had introduced and institutionalised policies of racial discrimination which they termed “équilibre éthnique et régional” (ethnic and regional equilibrium, a quota system). The Church fully supported the quota system, but on 30 April 1990, five Catholic priests from Nyundo diocese broke the silence. In a letter to the Church’s bishops in Rwanda, they called the quota system ‘racist’ and urged that it was high time “the Church of Jesus Christ established in Rwanda proclaimed aloud and tirelessly” to denounce it, since it constituted “an aberration” within their Church. They maintained that the only sure justice in schools and employment was the one which only took account of individual capacities, regardless of people's origins, and that it was on this condition that the country could have citizens capable of leading it with competence and equity.

In conclusion, they said: “The Church should not be the vassal of the scular powers, but it should be free to speak with sincerity and courage when it proves necessary.” The authors of this letter were Fr.Augustin Ntagara, Fr. Callixte Kalisa, Fr. Aloys Nzaramba, Fr. Jean Baptiste Hategeka, and Fr. Fabien Rwakareke. All but the last two were killed during the genocide.

Within the Catholic Church, this discriminatory policy had long been in the seminaries. According to Fr. Jean Ndolimana, the enrolment of Tutsis in the Nyundo diocese was limited to 4%. On the school card, very seminarian had to indicate his father’s ethnic group. Instead of condemning those who were against the racist system, instead of playing an important role in institutionalising injustice by convincing their congregants to accept a morally reprehensible policy, Church leaders should have spoken out against racist discrimination. Regrettably the Church took the side of the political regimes, and thus was unable to exercise its prophetic role. It did not denounce political and social injustices, nor did it condemn the first mass killings, nor those which followed.

It is difficult to describe the position taken by the institutional Church just before and during the genocide. It is appropriate to take note of a declaration made by some “Christians” who met in London in June 1996: “The church is sick. The historical roots of this sickness lie in part with the “mother churches”. She is facing the most serious crisis in her history. The church has failed in her mission, and lost her credibility, particularly since the genocide. She needs to repent before God and Rwandan society, and seek healing from God.” This diagnosis offers a good summary of the situation. The Church lacks a sense of remorse and therefore cannot repent; hence its active involvement, in my view, is the last stage of genocide – denial.

Twenty-nine Rwandan Catholic priests, from Goma, Zaire, wrote a letter to the Pope in August 1994, demanding that the Rwandan government hould allow all refugees home and then hold a referendum to determine the country’s political future. The authors of this letter had no good programme for the country. All they wanted was to hold in contempt the Pope’s acknowledgment of the genocide. As early as 15 May 1994, the Pope had declared that the massacres in Rwanda were indeed genocide.

The priests wrote to the Pope: “Everybody knows, except those who do not wish to know or understand it, that the massacres which took place in Rwanda are the result of the provocation of the Rwandese people by the RPF.” These priests, contaminated by the genocidal ideology, placed His Holiness the Pope in the category of “those who did not wish to know,” to cover up their own shortcomings and those of the government they served.

Accepting failure is a virtue. Even so, it is difficult for institutions like the Catholic Church that are known to command respect world wide – above all when such institutions, have been party to policies of racial iscrimination and genocide. The Church decided to adopt silence and slander as defence mechanisms. The question is why the Vatican has accepted or tolerated such tendencies.

The call for remorse and repentance still seems unnecessary and roblematical for the Catholic Church. In March 1996, Pope John Paul II told the Rwandan people, “The Church... cannot be held responsible for the guilt of its members that have acted against the evangelic law; they will be called to render account of their own actions. All Church members that have sinned during the genocide must have the courage to assume the consequences of their deeds they have done against God and fellow men.”

Had this been accepted and done, it would have helped to end a culture of impunity that has characterised Rwanda for more than thirty-five years. This could have been an established warning to anyone who harboured the archaic racist ideology. It could have acted as a deterrent to foreign mentors, warning that continuation of such politics contravenes the principle of natural justice and is liable to be punished by law. Thirdly, it offers the only premises on which durable reconciliation; rehabilitation and reconstruction could take place or be cemented.

I chose to write about the Catholic Church and the genocide in Rwanda because I would argue it was the only institution involved in all the stages of genocide. As a layperson, it is astounding to hear about the “love, truth and trust” that the Church has achieved in a country where genocide took more than a million lives in just a hundred days, and to see the institutional Church protecting, instead of punishing, or at least denouncing those among its leadership or in its membership who are accused of genocide.

There is no doubt that throughout the history of Rwanda, Church leaders have had ties with political power. The Church was also involved in the policy of ethnic division, which degenerated into ethnic hatred. In order to succeed in its mission of uniting people, the Church in Rwanda and elsewhere must examine its attitudes, practices, and policies that have too often encouraged ethnic
divisions.

Church leadership should both be on the side of and be perceived to be
on the side of justice and the victims of injustice rather than on the
side of genocide perpetrators and deniers. The Church must remember
what Dietrich Bonhoeffer said in his April 1933 essay, “The Church and
the Jewish Question”.

As he wrote, one way in which Churches could fight political injustices was to question state injustices and call the state to responsibility; another was to help the victims of injustice, whether they were church members or not. To bring an end to the machinery of injustice, he said, the Church was obliged not only to help the victims who had fallen under the wheel, but also to fall into the spokes of the wheel itself.

Since justice is an unavoidable integral element of the process of
reconciliation, the Church should be among those asking that the perpetrators of genocide be brought to justice. If the Church contributes to the process of justice, unity can be re-established among Rwandans, in general, and among Christians, in particular. It is the only way that the Church can restore its credibility, and thus be what it is called to be: a witness to faith, hope and love, to truth and justice. Only in this way will the Catholic Church in Rwanda be able to help save the people of Rwanda –all the people - from future suffering and bloodshed.

Source: Genocide and the role of the Church in Rwanda

Try to think aloud. Soma uelewe mada ya CCT na siyo kudandia maa na kutafuta efence zisizo na na msingi. Kutengeneza katiba ya watanzania na kuachana na hii ya ccm kuna vita gani? Kama hujui historia kasome na siyo kuokota mada za kipumbavu. Kwa akili yako hiyo katiba itakuwa ya CCT au watanzania? Elimu ya kufikiri ni muhimu kuliko kukurupuka na argument zisizo za msingi. KATIBA INAYODAIWA NI YA WATANZANIA (WAISILAMU NA WAKRISTO) NA SIYO YA DINI. TAFAKARI!!!!. UNLESS UNATETEA KATIBA ILIYOKO YA CCM ILIYORITHIWA KUTOKA KWA CHAMA CHA TANU.
 
CCT mmeongea ponts nzuri sana lkn kwa hili kuhusu Kenya mmechemsha vibaya sana. Hakuna aliye juu ya sheria hivyo basi ni lazma waliohusika kenya washitakiwe na iwe fundisho kwa viongozi wa Tanzania kama walikuwa wanapanga kufanya kama Kenya. Walipaswa kupongeza jitihada za ICC juu ya Kenya then wawakumbushe kutumia model hiyo hiyo kwa nchi nyingine na sio kusema eti kwasabau hamjafanya nchi nyingine basi na Kenya Msifanye.
.

CCT hawajapinga kutajwa kwa majina ya kenya bali mantiki yao ni kwamba ili mahakama hiyo ionekane ni ya kutenda haki na kuheshimika kimataifa haina budi kuweka mizania sawa katika hukumu zake na ndipo wakatolea mfano kwa waliofanya mauaji huko Iraq na kwingineko mbona hatujasikia wakitajwa ni wahalifu wa kivita?
 
Try to think aloud. Soma uelewe mada ya CCT na siyo kudandia maa na kutafuta efence zisizo na na msingi. Kutengeneza katiba ya watanzania na kuachana na hii ya ccm kuna vita gani? Kama hujui historia kasome na siyo kuokota mada za kipumbavu. Kwa akili yako hiyo katiba itakuwa ya CCT au watanzania? Elimu ya kufikiri ni muhimu kuliko kukurupuka na argument zisizo za msingi. KATIBA INAYODAIWA NI YA WATANZANIA (WAISILAMU NA WAKRISTO) NA SIYO YA DINI. TAFAKARI!!!!. UNLESS UNATETEA KATIBA ILIYOKO YA CCM ILIYORITHIWA KUTOKA KWA CHAMA CHA TANU.

Nani alilipa ruhusu kuusemea uma wa Tanzania?

Katiba hudaiwa bungeni na kufata misingi ya kudai katiba. Kazi ya kanisa si kudai katiba, kazi ya kanisa ni kuchunga kondoo wake waliopotea.

Sitetei CCM wala Tanu hapa, nasema kanisa libaki kanisa na CCM, Chadema, CUF, NCCR na wengineo wabaki vyama vya kisiasa.

Jee, na misikiti ikianza kuwa na muono tofauti kuhusu katiba mtasema ni wadini?
 
Sina upande katika hoja ya katiba lakini kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, madai ya katiba mpya hayajaanza wakati wa utawala wa Rais Kikwete. Hapa najaribu tu kuondoa fikra kwamba suala hilo ni hujumu dhidi ya uongozi wa awamu ya nne hasa hujuma za kidini.

Leo Lekamwa alisigina katiba enzi za Mkapa na madai ya CUF na chadema yalikuwepo tangu enzi za mkapa. Kinachoonekana hapa ni kwamba, madai haya yalianza awamu ya tatu lakini mwamko umekuwa mkubwa sasa pengine kutokana na hamasa kuwa kubwa kwa watu kutaka kujua maana ya wingi wa kelele za katiba. kutokana na kelele nyingi juu ya katiba kila mtu ameanza kujiuliza katiba ndio kitabu gani na cha nini hali inayoamsha mjadala zaidi kila siku zinaposonga mbele. Kuthibitisha kwamba, suala la katiba halimlengi mtu, katiba itaendelea kuwapo wakati wote wa uhai wa taifa hili. Makosa ya kuibadili katiba au kuiacha kama ilivyo yanahusu taifa zaidi kuliko mtu mmoja mmoja.

Tujadili Mabadiliko ya katiba au kurekebisha mapungufu kwa kuzingatia mustakabari wa taifa. Katiba sio ya wakristo wala waislamu ni ya watanzania wote na ndio maana natamani tuijadili kwa minajiri ya utaifa.

Kweli kabisa, na muundo wa hiyo katiba tuliubandika hapa JF.
 
Nani alilipa ruhusu kuusemea uma wa Tanzania?

Katiba hudaiwa bungeni na kufata misingi ya kudai katiba. Kazi ya kanisa si kudai katiba, kazi ya kanisa ni kuchunga kondoo wake waliopotea.

Sitetei CCM wala Tanu hapa, nasema kanisa libaki kanisa na CCM, Chadema, CUF, NCCR na wengineo wabaki vyama vya kisiasa.

Jee, na misikiti ikianza kuwa na muono tofauti kuhusu katiba mtasema ni wadini?


Wewe kijana mbona mtata sana, kwa nini unaruka maswali yangu unadandia hoja za watu? haya ngoja niyapunguze maswali, wakati kanisa linasema Kikwete ni chaguo la mungu mlikuwa wapi wanafki wakubwa kama wewe?
Kwa kukupa elimu kidogo lazima uelewe maana ya admistration limetokea wapi; Roma ndio ilikuwa dola yenye nguvu lakini wakashindwa kubuni admistration nzuri, ilibidi wamfuate Pope wa wakati huo ili watumie admistration ya JESUS ambayo ndio ilikuwa inatumiwa na Vatican, kwa Roma ndio ilikuwa dola kuu kipindi hicho, basi mfumo ule ukakubaliwa nchi nyingi na ndio umeenea leo dunia nzima, sasa kama kuna mtu tu kwa "kuvuta bangi zake wakati wa juwa kali" akaparamia hoja kuhusu kanisa katoliki anajisumbuwa, swala la msingi jiulize kwani madhehebu yako mengi lakini kiongozi mkuu wa wakatoliki tu ndiye anayejulikana na si mwingine ni Pope na kwa sababu pope wa wakati huo ndio aliadopt systeam ya admistration basi hapo unakuta pope licha tu ya kuwa ni kiongozi mkuu wa wakatoliki lakini ni Rais wa nchi ya Vatican, kina cardinary pengo ndio raia wa Vatican automatically.
kwahiyo nashauri don't jump to something without know how, na hii ndio maana kiongozi yeyote kuanzia ngazi ya upadre lazima awe na degree, na ukiwatafuta ma PHD holder upande wa maaskofu ni wakumwaga, kwa hiyo ndio maana baraza la maaskofu linapoketi yaani ni sawa na kikao cha jopo la maprofesa pale chuo kikuu, hakuna mtu anaepewa upadre wala uaskofu wa kanisa katoliki kwa umahili wa kusoma biblia, hapana, sifa ya kwanza lazima uwe na elimu isiotia shaka.
Kwa kumalizia ningeomba unijurishe mufti mkuu wa dunia nzima wa waislamu anaitwa nani? maana nimeona unapenda kujuwa kuhusu kanisa basi si vibaya na mimi nikijuwa kuhusu uongozi wa misikitini unapatikana kwa vigenzo gani? kukariri yale maandishi au lah!
Karibu ndugu uwanja wako huo.
 
Back
Top Bottom