Wewe kijana mbona mtata sana, kwa nini unaruka maswali yangu unadandia hoja za watu? haya ngoja niyapunguze maswali, wakati kanisa linasema Kikwete ni chaguo la mungu mlikuwa wapi wanafki wakubwa kama wewe?
Kwa kukupa elimu kidogo lazima uelewe maana ya admistration limetokea wapi; Roma ndio ilikuwa dola yenye nguvu lakini wakashindwa kubuni admistration nzuri, ilibidi wamfuate Pope wa wakati huo ili watumie admistration ya JESUS ambayo ndio ilikuwa inatumiwa na Vatican, kwa Roma ndio ilikuwa dola kuu kipindi hicho, basi mfumo ule ukakubaliwa nchi nyingi na ndio umeenea leo dunia nzima, sasa kama kuna mtu tu kwa "kuvuta bangi zake wakati wa juwa kali" akaparamia hoja kuhusu kanisa katoliki anajisumbuwa, swala la msingi jiulize kwani madhehebu yako mengi lakini kiongozi mkuu wa wakatoliki tu ndiye anayejulikana na si mwingine ni Pope na kwa sababu pope wa wakati huo ndio aliadopt systeam ya admistration basi hapo unakuta pope licha tu ya kuwa ni kiongozi mkuu wa wakatoliki lakini ni Rais wa nchi ya Vatican, kina cardinary pengo ndio raia wa Vatican automatically.
kwahiyo nashauri don't jump to something without know how, na hii ndio maana kiongozi yeyote kuanzia ngazi ya upadre lazima awe na degree, na ukiwatafuta ma PHD holder upande wa maaskofu ni wakumwaga, kwa hiyo ndio maana baraza la maaskofu linapoketi yaani ni sawa na kikao cha jopo la maprofesa pale chuo kikuu, hakuna mtu anaepewa upadre wala uaskofu wa kanisa katoliki kwa umahili wa kusoma biblia, hapana, sifa ya kwanza lazima uwe na elimu isiotia shaka.
Kwa kumalizia ningeomba unijurishe mufti mkuu wa dunia nzima wa waislamu anaitwa nani? maana nimeona unapenda kujuwa kuhusu kanisa basi si vibaya na mimi nikijuwa kuhusu uongozi wa misikitini unapatikana kwa vigenzo gani? kukariri yale maandishi au lah!
Karibu ndugu uwanja wako huo.