Katiba ibadilishwe? Kikwete awe Rais wa Maisha!

Katiba ibadilishwe? Kikwete awe Rais wa Maisha!

TUKAGOMBE UBUNGE"......Ebu nitoe tongo tongo. Ni Jimbo lipi lisilo na mbunge wa maisha.maana wabunge wote wana uhalali kikatiba kuwa wabunge wa milele au hujasoma uhalali wao? Hawaachi majimbo yao mikononi mwa wavuta ndumu na kuwapangia mihula ni kukiuka katiba na ni ubaguzi???kalagha bahoo na ndoto za mchana. Ushauri wangu GOMBEA UKUU WA FAMILIA YAKO WATAKUPA KURA NA UTAWAWAKILISHA IPASAVYO. MUNGU WABARIKI WADANGANYIKA
 
Mwanakijiji,
Huwa nakuchukulia kama mwanamapinduzi wa kweli. Hizi kauli za kukata tamaa, sipendi kuzisikia toka kwako!
 
Hata kama wanaona hawawezi kumpa urais wa maisha waondoe kikomo cha Urais ili agombee kila apendavyo.
 
sijamuona mwingine
kuongoza awezaye
si ndani wala si nje
ya ccm jamani

makini nimechunguza
wote wapo kwa visasi
ikulu kuikodole
kwa macho ya kifisadi

wapo walojiandaa
upinzani wao kutoa
kikwete kumharibia
kitini pake kukaa

mambo mengi kaibua
si kwa fimbo wala mabua
yale yote ya sirini
sasa tumeisha yajua
 
Mwanakijiji taratibu mzee.

Kuna watu hawaelewi sarcasm hapa.
 
Mwanakijiji sometimes unashuka point, lakini kwenye topic nyingine mh.... inaelekea unavichwa viwili...kichwa cha pili inaelekea kina kula sana mvinyo
 
Back
Top Bottom