Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe
Wadau hamjamboni nyote?
Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania
Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa
Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo
Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi
Pia soma:
Kuelekea 2025 - CCM Zanzibar wapendekeza Rais Mwinyi atawale kwa miaka 7, wasema kufanya uchaguzi 2025 ni hasara na matumizi mabaya ya fedha za umma
Mfano mzuri
Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.
Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.
Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.
Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k
Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo
Niwatakie ijumaa njema
Wadau hamjamboni nyote?
Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania
Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa
Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo
Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi
Pia soma:
Kuelekea 2025 - CCM Zanzibar wapendekeza Rais Mwinyi atawale kwa miaka 7, wasema kufanya uchaguzi 2025 ni hasara na matumizi mabaya ya fedha za umma
Mfano mzuri
Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.
Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.
Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.
Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k
Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo
Niwatakie ijumaa njema