Katiba ieleze ni nini maana ya kukashfu dini nyigine

Katiba ieleze ni nini maana ya kukashfu dini nyigine

solja njeree

Senior Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
175
Reaction score
95
KATIBA MPYA IFAFANUE NINI MAANA YA KUKASHIFU DINI. waisilam nhini wametaka katiba ijayo ifafanue kukashifu dini nyingine maana yake ni nini,kupitia kifungu kilichopo katika mapendekezo ya rasim ya katiba kinacho eleza uhuru wa KUTANGAZA DINI. maalim ally basaleh ameyasema hayo akiongea na waislam mara baada ya ibada ya swalakatika mskiti wa idrisa jijin dar,alisema waislam bado wana kumbukumbu ya muislam kuhubiri yesu si munguhadharani ikawa nikosa la jinaiakakamatwa, akashitakiwa nakupatikana na hatia kisha mahakama ikamhukum kweda jela, ukiangalia wakristo wanaamini yesu alisulubiwa, aliuwawa nani mwana wa mungu kwa waisilam hiyo ni kufuru hawaamini hivyo, waislam wanaamini yesu si mungu hajasulubiwa wala haja uwawa, wakristo huona hiyo nikashifa, sasa nani hapa kakashifiwa?alisema na kuhoji. ni marufuku mtu ama kikundi au tasisi ya dini kutumia uhuru wakutangaza dini kwaku kashifu imani na dini nyingne, alisema kifungu hichi kinapaswa kufanyiwa marekebisho, wao waisilam wanapendekeza kifungu hichi kieleze huko kukashifu dini nyingine maana yake nini. maana kifungu kinasema mtu akikashifu dini ya mtu mwingine atakua amekosa, sasa huku kukashifu dini ya mtu mwingine maana yake ni nini? hapa lazima katiba ifafanue kashfa ni nini katika kutangaza imani ya mtu, alisema a kuhoji maalim basaleh, kuhusu swala la muungano alisema ibara ya kwanza kifungu namba mbili kinasema hati ya makubaliano ya muungano iliorejewa katika ibara ngodo ya kwanza ndio msingi wa jamhuri ya muungano, alidai kifungu hichi waisilam walitaka pafanyiwe marekebisho pasomeke, baina ya wananchi wa tanganyika na zanziba ili kubainisha wahusika wa muunano huo ni wakina nani, maalim alisema kifungu cha pili kinachoeleza sikukuu zakitaifa zitakua ni [a] siku ya uhuru wa tanganyika, siku ya mapinduzi ya zanzibar, [c]siku ya muungano wa tanganyika nz zanzibar,[d] sikukuu nyinngine zitakazo ainishwa na sheria ya nchi, maalim basaleh akasema kwamba hizo sikukuu nyingine zitakazo ainishwa na sheria ya nchi ni za kidini. maalim ali lalamika kua imekua ni kama kawaida wakati wa sikukuu za kiislam hukuti ofisi yoyote ikipambwa, lakini akadai sikukuu ya krismas hutoa taswira kua ndio sikukuu rasmi ya serekali, mana maofisi mengi hupambwa hata kwa garama za serkali ilhali sarkal inasema haina dini.
 
hivi nyie waislam huwa hamna hoja yoyote ya kutetea dini yenu ya kigaid* zaidi ya kuuponda Ukristo?
Mbona mnakiogopa hicho kipengere katika katiba?
Wajinga sana nyie na Moh'd wenu
 
Huko ni kufilisika hoja , matusi ya nini......? Na we mtoa hoja sio kila kitu katiba, kamusi ya kiswahili inakazi gani.....?
hivi nyie waislam huwa hamna hoja yoyote ya kutetea dini yenu ya kigaid* zaidi ya kuuponda ukristo?
Mbona mnakiogopa hicho kipengere katika katiba?
Wajinga sana nyie na moh'd wenu
 
Hakyamungu! Hivi kweli hamna hoja ya msingi nyie watu? Kila siku ulalamishi tu?
 
Mfano kukashfu dini nyingine ni pamoja na maneno kama "kumwabudu mungu aliye hai....." Hapa kuna kashfa!!!! Ina maana kuna mungu aliyekwisha kufa na kuna mungu aliye hai? Je huyo Mungu aliyekufa roho yake ilipokelewa na nani huko mbinguni?? Hata kama alikufa kisha akafufuka, kwa sekunde mbili hizo tu dunia aliiongoza nani? Hii ni kashfa kubwa.........
 
hivi nyie waislam huwa hamna hoja yoyote ya kutetea dini yenu ya kigaid* zaidi ya kuuponda ukristo?
Mbona mnakiogopa hicho kipengere katika katiba?
Wajinga sana nyie na moh'd wenu

tumia kauli nzuri
 
Kwa kawaida katiba huwa haifafanue kwa mfano kwenye katiba kunaweza kukawa na kifungu kinachosema ' kila mtanzania ana uhuru wa kuabudu na/ au kutoabudu. ufafanuzi wa sentensi hii hufanywa na mahakama na kuna sentensi ambayo ninaipenda sana 'uhuru wako usiingilie uhuru wa wengine.nk nk.
 
Mfano kukashfu dini nyingine ni pamoja na maneno kama "kumwabudu mungu aliye hai....." Hapa kuna kashfa!!!! Ina maana kuna mungu aliyekwisha kufa na kuna mungu aliye hai? Je huyo Mungu aliyekufa roho yake ilipokelewa na nani huko mbinguni?? Hata kama alikufa kisha akafufuka, kwa sekunde mbili hizo tu dunia aliiongoza nani? Hii ni kashfa kubwa.........
dini yetu ya kikristo imeleta red Cross, shule, hospitali na vyuo vya jamii karibia duniani kote. Suleiman Rushdi msilamu mwenzenu kasema ukweli kuwa dini yenu imeletwa na upepo wa shetani ndio maana mkataka kumua.(satanic verses) sasa ukijifanya kuichambua dini ya kikikristo wakati dini yako haieleweki, unashangaza sana . mimi namsikiliza sana salmani Rushdi kuliko wewe! kwa sbabu dini yenu imeleta al qaida, Boko haramu na al shabaab. wew niambie tuu dini yako imeleta kitu gani kwa manufaa ya wanadamu?
 
Kwa kawaida katiba huwa haifafanue kwa mfano kwenye katiba kunaweza kukawa na kifungu kinachosema ' kila mtanzania ana uhuru wa kuabudu na/ au kutoabudu. ufafanuzi wa sentensi hii hufanywa na mahakama na kuna sentensi ambayo ninaipenda sana 'uhuru wako usiingilie uhuru wa wengine.nk nk.
Yesu kumwita mwana wa mungu ni haki na kweli alikufa na akfufuka siku ya tatu. Kuna mungu mwana , mungu baba na mungu roho mtakatifu. wewe huelewe kuwa kunamtawala mmoja tuu tanzania lakini huyo huyo nim mwenyekiti wa CCM, Raisi wa jamhuri wa Tanzania na amiri jeshi mkuu, sasa unachshangaa kwa yesu kuitwa mungu mwana ni kitu gani wewe ?

Dini yako huijui vizuri na kama unataka kuijua vizuri , basi mwambie Salman Rushdi akufundishe!
 
Yesu kumwita mwana wa mungu ni haki na kweli alikufa na akfufuka siku ya tatu. Kuna mungu mwana , mungu baba na mungu roho mtakatifu. wewe huelewe kuwa kunamtawala mmoja tuu tanzania lakini huyo huyo nim mwenyekiti wa CCM, Raisi wa jamhuri wa Tanzania na amiri jeshi mkuu, sasa unachshangaa kwa yesu kuitwa mungu mwana ni kitu gani wewe ?

Dini yako huijui vizuri na kama unataka kuijua vizuri , basi mwambie Salman Rushdi akufundishe!
Hapo ndipo unapokosea kwani unaingilia haki ya mtu mwingene. kuhusu salman rushdie tatizo ni kati yake na waislamu wenzake [watu wenye imani ya aina moja] kitu alichokifanya yeye ni kufuru naye anajua hivyo na ndiyo maana mwisho wa siku aliwaomba radhi waumini wenzake kwa kosa hilo.
 
dini yetu ya kikristo imeleta red Cross, shule, hospitali na vyuo vya jamii karibia duniani kote. Suleiman Rushdi msilamu mwenzenu kasema ukweli kuwa dini yenu imeletwa na upepo wa shetani ndio maana mkataka kumua.(satanic verses) sasa ukijifanya kuichambua dini ya kikikristo wakati dini yako haieleweki, unashangaza sana . mimi namsikiliza sana salmani Rushdi kuliko wewe! kwa sbabu dini yenu imeleta al qaida, Boko haramu na al shabaab. wew niambie tuu dini yako imeleta kitu gani kwa manufaa ya wanadamu?

Mathayo 10: 34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga
Hilo andiko ni qurani wala siyo biblia........
 
Yesu kumwita mwana wa mungu ni haki na kweli alikufa na akfufuka siku ya tatu. Kuna mungu mwana , mungu baba na mungu roho mtakatifu. wewe huelewe kuwa kunamtawala mmoja tuu tanzania lakini huyo huyo nim mwenyekiti wa CCM, Raisi wa jamhuri wa Tanzania na amiri jeshi mkuu, sasa unachshangaa kwa yesu kuitwa mungu mwana ni kitu gani wewe ?

Dini yako huijui vizuri na kama unataka kuijua vizuri , basi mwambie Salman Rushdi akufundishe!

Kwa hiyo hizo nafsi tatu za Mungu zinafanya kazi tofauti??????
 
dini yetu ya kikristo imeleta red Cross, shule, hospitali na vyuo vya jamii karibia duniani kote. Suleiman Rushdi msilamu mwenzenu kasema ukweli kuwa dini yenu imeletwa na upepo wa shetani ndio maana mkataka kumua.(satanic verses) sasa ukijifanya kuichambua dini ya kikikristo wakati dini yako haieleweki, unashangaza sana . mimi namsikiliza sana salmani Rushdi kuliko wewe! kwa sbabu dini yenu imeleta al qaida, Boko haramu na al shabaab. wew niambie tuu dini yako imeleta kitu gani kwa manufaa ya wanadamu?

Ulishawahi kusoma kitabu kilichoandikwa na shetani? Sasa huyo shetani yuko sawa na aliyeko katika Ayubu 1: 6-12?
 
itafahamika tu,,ni wakinani itakula kwao muda sio mrefu itadhihiri.
 
hivi nyie waislam huwa hamna hoja yoyote ya kutetea dini yenu ya kigaid* zaidi ya kuuponda Ukristo?
Mbona mnakiogopa hicho kipengere katika katiba?
Wajinga sana nyie na Moh'd wenu

Hivi Moh'd ni nafsi ya ngapi ya Mungu?
 
Muislam anaposema kuwa Yesi si Mungu, hiyo ni kashfa kwetu sis Wakristo. Hivyo basi, kunaifanya Koran nzima na Uislam kuwa kashfa kwa Wafuasi wa Mungu Yesu.

Unaona jinsi mambo ya dini yalivyo magumu?
 
Ulishawahi kusoma kitabu kilichoandikwa na shetani? Sasa huyo shetani yuko sawa na aliyeko katika Ayubu 1: 6-12?

In fact, Satan is part of gibrelic faith.

Impeccable Exhibit:
Shaitan was the first to sworn the oath of allegiance from Abu Bakr in the mosque and Shaitan became a muslim. (Israr-e-Muhammad, Page No. 30)
 
Mathayo 10: 34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga
Hilo andiko ni qurani wala siyo biblia........

Jifunze kusema ukweli, angalau mara moja kwa siku. Usiwe kama Allah na mtumwa wake.

Sasa soma hiyo Parable of Minas
[h=3]Luke 19:11-27 NIV - The Parable of the Ten Minas - While - Bible ..[/h]
Unaona tatizo la kufuata dini ya Waarabu kwa mkumbo? Allah alisema, mtume wake hakufahamu kusoma wala kuandika, unafahamu ni kwanini Allah alichagua mtumwa mwenye sifa hizo?

Jiratibu kijana. Biblia si kama Koran iliyo Kopia, inter-alia, Koran yenu si mali kitu.
 
Muislam anaposema kuwa Yesi si Mungu, hiyo ni kashfa kwetu sis Wakristo. Hivyo basi, kunaifanya Koran nzima na Uislam kuwa kashfa kwa Wafuasi wa Mungu Yesu.

Unaona jinsi mambo ya dini yalivyo magumu?

Mungu Yesu??

Yesu akikusikia unampakazia uungu atakasirika sana. Yesu si Mungu analalamika kwa Mungu wake:

“Eli, Eli, lema sabachthani?” (which means “My God, my God, why have you forsaken me?”).Matthew 27:46

Kwa kumwita Yesu ni Mungu unavunja hizi amri za Mungu,The only true God.

And God spoke all these words:


2 “I am the Lord your God, who brought you out of Egypt, out of the land of slavery.

3 “You shall have no other gods before me.

4 “You shall not make for yourself an image in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below.
5 You shall not bow down to them or worship them; for I, the Lord your God, am a jealous God .....Exodus 20


But we know that there is only one God, the Father, who created everything, and we live for him. And there is only one Lord, Jesus Christ, through whom God made everything and through whom we have been given life.
1 Corinthians 8:6

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.John 17:3

Max, acha kukufuru!
 
kimsingi mtoa hoja uko sahihi...kwamba imani ya waislamu yesu si mungu na wanatakiwa watangaze hivo...kwa wakiristu yesu ni mungu na inabidi watangaze hivo.... kashfa ni kutangaza maneno ya uwongo ili kumuharibia mtu wasifu wake....... kwa namna hii mimi nadhani mihadhara izuiwe, nyumba za ibada zitatosha kupeana imani zetu bila kubugudhi wengine.....hii itasaidia sana kwani hakuna mkristu atakayesema wamekashfiwa kama mambo yataongelewa msikitini..... aidha kwa wenzangu wahubiri na walinganiaji na wahadhiri watafte namna sahihi ya kutafuta waumini bila mihadhara ili kuepusha hizo zinazoitwa kashfa...bila hili tutaipoteza amani yetu. Tena kwa ushauri mkubwa serikali isitambue sikukuu yoyote ya kidini. watu wanapiga kazi jioni kafurahi nyumbani kwenu...kusiwe na mapumziko ila siku itakazoamua kuwa mapumziko. Bado nasisitiza waungwana...Imani ikizidi uwezo wa kufikiri unapungua
 
Back
Top Bottom