Katiba imevunjwa???

Do you mean MoU? if yes hela zinatolewa kuendesha taasisi za kanisa
Hebu niwekee hicho kipengele kwenye Memo kinachosema hela itatolewa na serikali kwa ajili ya kuendesha shughuli za kanisa.
 

shule ya mazengo ilijengwa na kanisa kabla ya kutaifishwa kama ulikuw ahaujuwi...........iliitwa dododma alliance
 
shule ya mazengo ilijengwa na kanisa kabla ya kutaifishwa kama ulikuw ahaujuwi...........iliitwa dododma alliance

Shule ngapi zilizojengwa na waislamu hazikurudishwa? mfano: Tambaza, Azania, Kichwele etc...

Kama hufahamu hata Muhimbili Hospital ilijengwa Sewa Haji Foundation (taasisi ya kiislam) nyerere mkatoliki kataifisha...na haikuridushwa..

Bado serikali hiyo hiyo inawapendelea wakristo kwa MoU yenye kuwapa hela za umma kuendesha shughuli za kanisa?

Halafu wakristo wanavyopenda ubaguzi na upendeleo wanaona sawa..hakuna anayekataa..as long anapewa ufisadi..

Katiba bado imevunjwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…