Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Umemuona lakini huyo mke wake? Mweusi tii kama masizi. Siwezi kabisa kumuoa, kamwe.Nenda ukaolewe na Lissu maana naona wivu umekuzidi
In God we trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemuona lakini huyo mke wake? Mweusi tii kama masizi. Siwezi kabisa kumuoa, kamwe.Nenda ukaolewe na Lissu maana naona wivu umekuzidi
In God we trust
Nasikia baada ya kufukuzwa dar sasa mnarudi kimya kimyaUmemuona lakini huyo mke wake? Mweusi tii kama masizi. Siwezi kabisa kumuoa, kamwe.
Haki ya Mungu wallahi nakwambia, huyo mwanamke siwezi kabisa kumuoa licha ya kumwangalia tu; kamwe.Nasikia baada ya kufukuzwa dar sasa mnarudi kimya kimya
In God we trust
Povu debe
Huyu atakuwa ni mgagagigikokoAi biliivu umemuandikia magufuli kuwa analugha za kuudhi sana!
Those Dr Ben refereed to,right?
But you also were once refereed to as such,hence the true definition of a fool i think best fits you than me because you are the ones who don't even know whether this country was already liberated from colonial masters, PRIMARY SCHOOL KNOWLEDGE.A fool is some one who is ignorance of a certain truth/fact and is reluctant to be educated on it.You posses all the characters of such a personMy reference to the fools, certainly meant you Mr. Idiot!. Hope now you know the position of your brain Mr Stupid Idiot!.
Hoja nilisha andika kwenye thread,usitoke povu bureee kama umechukia sana kale malimao yana vitamin CNaona wewe ni pumbavue tu linalobisha bila hoja. Tangu umeanza kubishana na hoja za kila mtu hapa umeandika hoja gani zaidi ya ubisih wa kipumbavue? unadhani utabadilisha ukweli kwa upumbavue? Umeandika li thread linaoashiria namna gani kichwani hazimo.
Achana basi na Mmawia kwa kuwa siyo saizi yako. Pumbavue umetuchosha na upotoshaji wako wa kipumbavue!. Ishia basi. Huwezi kutetea upumbaveu wako unaishia kubishia watu kipumbavue.
You have been defeated. Ondoka na upumbavue wako ama kama unataka likes, tafuta hoja. Pumbavue.
Human being is dynamic we are not static as robots that's y tuna plan and then along the way we can amend our plans to choose the best one for usjaruri: CCM elimu hafifu kweli. Hivi nani kakwambia kuwa Lissu ni mbunge wa Iramba Mashariki? Unamzungumziaje mtu usiyemjua? Halafu bado mnalilia misaada tu. Mbona mzee wako alitwambia katika kipindi chake hatakopa wala kuhitaji kusaidiwa bali yeye ndiye atakopesha?
CCM ni waongo sana hadi mwenyekiti wenu. Alitwambia katika utawala wake hatamteua mpinzani aingie kwenye serikali yake. Je, hao aliowateua si wapinzani? twambieni basi kwamba hao hawakuwa wapinzani.
Tunaosikiliza hotuba na matamshi yao huyapokea kwa mtazamo tofauti. Yategemea na tafsiri ya kila mmoja.Umenena vyema mkuu,mwambieni Lisu aache kutoa lugha za kuudhi na kuchonganisha.
Basi na wapinzani wakitumia VIVUMISHI msimaindi.Kilaza ni kivumishi cha sifa,,,Alimaanisha wanashindwa kuelewa kuwa katiba hairuhusu mtu kutumia lugha za kuudhi na kuchonganisha ,Ni hawa hawa pia hawajui kuwa Tanzania Ilisha kombolewa mikononi mwa wakoloni hata CIVICS/URAIA Hawajui .Mtu asiejua kitu na hataki kuelimishwa wewe ungemuitaje kwa mfano?
Milioni 6? Ni wepi hawo? Mkapa aliwaita wapumbavu kuna Mnyika na Tundulissu na Sharif Hamad waliokuwa wanasema wataleta "ukombozi" Tanzania huku nchi ilushajitawala tangu 1961. Huo kama siyo upumbafu au ujuha ni nini? You are saying Watanzania milioni 6 kweli hawajui tulipata Uhuru 1961 na Zanzibar 1964? Hata watu 6 hawafiki - ni wewe na Waarabu na kina Tundulissu, basi.Mkapa alirudia tusi mbele ya JPM kwa mara ya pili akiwatukana watanzania zaidi ya mil 6 kuwa ni wapumbavu na malofa,JPM akakenua meno akichekelea!Kwako hilo sio tusi wala lugha ya kuudhi!
Waambie aisee;hao wasiojua uraia walipewa kivumishi cha sifa kinacho wafaaMilioni 6? Ni wepi hawo? Mkapa aliwaita wapumbavu kuna Mnyika na Tundulissu na Sharif Hamad waliokuwa wanasema wataleta "ukombozi" Tanzania huku nchi ilushajitawala tangu 1961. Huo kama siyo upumbafu au ujuha ni nini? You are saying Watanzania milioni 6 kweli hawajui tulipata Uhuru 1961 na Zanzibar 1964? Hata watu 6 hawafiki - ni wewe na Waarabu na kina Tundulissu, basi.
''Kale'' ni neno la lawaida linalotokana na umbo la mtu,meaning he/she has small body stature without meaning an insultTunaosikiliza hotuba na matamshi yao huyapokea kwa mtazamo tofauti. Yategemea na tafsiri ya kila mmoja.
Mfano:Rais aliposema " na kale kabunge ka chama ...." so kila MTU aliichukulia kama ya kuudhi. Lakini in wazi kuwa iliwaudhi baadhi ya watu.Na ile ya " nitachukua wenye akili toka upinzani...". Swali, kuna wasio na akili chama kipi,kina nani,album wapeleka kupimwa akili,akiambiwa yeye atapokeaje?
Sidhani kama kuna mwenye haki ya kutumia lugha ya " kuudhi" na wengine hawana dhidi yake. So ajabu " wanachochewa" kutumia hizo lugha baada ya kuona mfano!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanastahili kutukanwa utu wao????Milioni 6? Ni wepi hawo? Mkapa aliwaita wapumbavu kuna Mnyika na Tundulissu na Sharif Hamad waliokuwa wanasema wataleta "ukombozi" Tanzania huku nchi ilushajitawala tangu 1961. Huo kama siyo upumbafu au ujuha ni nini? You are saying Watanzania milioni 6 kweli hawajui tulipata Uhuru 1961 na Zanzibar 1964? Hata watu 6 hawafiki - ni wewe na Waarabu na kina Tundulissu, basi.
Nami nasema wale waliokuwa wanamsikiliza Mkapa akitukana wengine,ni wapumbavu na majuha!Point of correction. Hakutukana watanzania. Aliwatukana wale wajinga na malofa. Sikusikia popote aliposema nyie watanzania ni wajinga na malofa. Ila kwa huyo zezeta wenu Tundu Lissu alimtaja Raisi Magufuli na Raisi Mstaafu mzee wetu Mwinyi waziwazi. Sijui ni mwanasheria wa wapi anayeweza kutoa kashfa kwa kutaja watu waziwazi. Watoto wa mjini wanasema anatafuta kiki. Ataipata tu.
Ni nani aliyekuambia Rais mstaafu ana kinga kwa uovu atakaoufanya akiwa nje ya madaraka???Kilaza weweNi Rais Mstaafu