Hoja yeyote huwasilishwa bungeni na serikali au mbunge hakuna mtu mwingine anaruhusiwa kuwasilisha .Hoja yako mpe mbunge wako .
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa lobbyist/ special interest groups kuwabana wabunge kupeleka hoja bungeni.
An elect tusaidie mtu binafsi atapelekaje hoja bungeni (sio kwenye viwanja vya bunge, ndani ya bunge ijadiliwe). Sijaufahamu utaratibu huu kama upo.
Dah, naona huyu An elect ameamua kujikausha. Nani mwanasheria mwingine atusaidie. Tundu Lissu hayumo humu JF?An elect atuambie ni ibara ipi ktk katiba inaruhusu mtu binafsi kupeleka hoja yake bungeni?
an elect atuambie ni ibara ipi ktk katiba inaruhusu mtu binafsi kupeleka hoja yake bungeni?