Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,199
Wanasheria nisaidieni, mimi siyo mbunge lakini nina hoja kibao ambazo nimejaribu kuziwasilisha kwa wabunge wangu kila mmoja nikimpa ya kwake, lakini mmojawapo aliichakachua, ikakosa nguvu bungeni, na mwingine amekosa ujasiri wa kuiwasilisha kwa kuwa ni CCM, na watatu ni wa upinzani, nimemwandikia wala hajataka kunijibu. Lakini hoja zangu ninaziona ni za msingi na zinahitaji mjadala bungeni na hata nje ya bunge. Je kuna kifungu cha sheria kinachoniruhusu kwenda bungeni kuwasilisha hoja hizo?